Dola ya Kimarekani inakimbilia 2,600 Tshs muda huu!

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,819
18,563
Hili nalo jambo gumu kati ya mengi yanayotukabili watanzania kipindi hiki kigumu. Dola ya kimarekani ina shoot kwa kasi na punde si punde tunaweza kujikuta tunazoe mahesabu ya 1:3000. Tuzidi kuipambania nchi yetu kila siku.

1708609161092.png
 
Ndio maana mimi kwenye ile 24 hrs as a president wa nchi hii,nitabadilisha mandate ya BOT kutoka iliyopo sasa(too much politics)kuwa ku control and monitor inflation rates, na kuipambania sarafu yetu,pia nitaondoa all zeros na kubakisha 100 note only na nita ichomeka kwa Pula
 
Kuna wajinga walituamisha kwamba vita ya Ukraine na Urusi ingeidondosha dola hadi ifikie Tshs 500 kwa dola.

Maana mataifa mengi ati yangeachana na Dola na kutumia hela zao kuuza na kununua ( China, Korea Kaskazini na nchi zote za Arabuni)
 
Ndio maana mimi kwenye ile 24 hrs as a president wa nchi hii,nitabadilisha mandate ya BOT kutoka iliyopo sasa(too much politics)kuwa ku control and monitor inflation rates, na kuipambania sarafu yetu,pia nitaondoa all zeros na kubakisha 100 note only na nita ichomeka kwa Pula
Watakuambia tunanunua zaidi kuliko kuuza kwa mataifa kifupi sisi ni taifa la wachuuzi. ( wamachinga)
 
Sisi ma comrade tutaipania nchi kama nyie hamtaki na mkiona vp muhame nchi hatuwez wabembeleza kila kitu kulalamika haswa watu wa dar
 
Hili nalo jambo gumu kati ya mengi yanayotukabili watanzania kipindi hiki kigumu. Dola ya kimarekani ina shoot kwa kasi na punde si punde tunaweza kujikuta tunazoe mahesabu ya 1:3000. Tuzidi kuipambania nchi yetu kila siku.

View attachment 2912348
Naombeni mtaalamu kidogo anieleweshe madhara ya hii kwenye bei ya vitu vya nje? Je dollar ikipanda ndo husababisha mfumko wa bei?
 
Hakika hii ni Habari njema sana kwangu.

Jamaa namdai 'Vidoo' kadhaa muda sasa ana ahirisha kila uchao mwenyewe kunilipa akidhani ni ujanja.
Kizuri kajichanganya mwenyewe kwenye Makubaliano aliyoyasaini,
Kuna kipengele kinasema kuwa atanilipa kulingana na Bei ya Soko la Dolari kwa wakati wa kulipa.

Mungu anipe nini?
 
Mi natamani hata kesho ifike Tsh. 10,000/= kwa dollar koja ili tuanze kutumia gesi ya Mtwara (CNG) kwa kuisindika na kuitumia kwenye magari. Na bidhaa zingine tuzalishe humu humu ili tupunguze kuagiza hadi toothpick
 
Sisi ambao tunalipwa kwa dola ni full vicheko, tunaombea na izidi kupanda tu kila kukicha. Ni lazima ifike pahala tuheshimiane mtaani.
 
Back
Top Bottom