Urusi kuifutia Afrika madeni ya zaidi ya Dola za Kimarekani bilioni 20, Afrika itegemee neema zaidi kutoka kwa mahasimu wa Urusi

Kagosi DJ

Member
May 5, 2020
19
69
Akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World", Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya mataifa ya Afrika yanayofikia zaidi ya Dola bilioni 20.

Vladmir Putin pia amesema kuwa kuimarika kwa uhusiano kati ya Urusi na nchi za Afrika ni lengo lake kuu, hii imetiwa chachu na vikwazo alivyowekewa na Mataifa ya Magharibi kwa kile kinacho endelea nchini Ukraine.

Mataifa ya Afrika yatarajie neema zaidi hasa kwa kipindi hiki ambacho mahusiano baina ya Kremlin na White House si mazuri. Marekani na washirika wake hawatokuwa tayali kuona ushawishi wao unapungua Barani Afrika. Hivyo mengi yanaweza kutokea yenye manufaa kwa Bara la Afrika.
 
Sisi Afrika ni wapumbavu sana, hatuna akili na sidhani kama tutakuja kupata akili. Kwa sababu hizi;

1) Tunashawishiwa kumchukia Russia na nchi za magharibi, na kuna nchi za Afrika zilishatoa tamko kulaani Russia. Ila hatujiulizi;

● Russia ni nchi ambayo haijawahi kutawala taifa lolote kikoloni Afrika (Hakuwahi kuwa mkoloni).

● Russia ndio nchi pekee ya ulaya aliekuwa mbele kusaidia mataifa ya Africa kuwafundisha wanajeshi ili kupigania Uhuru. Picha hii chini inamuonesha Rais Putin akiwa Bagamoyo, pamoja na Rais Wa Mozambique Samora Machel mnamo mwaka 1973 na alikaa Tanzania mpaka mwaka 1977, bagamoyo akifundisha na kuwanoa wanajeshi.

● Russia ni nchi pekee inaekataa mataifa ya magharibi na marekani kuitawala dunia kwa kutumia kivuli cha misaada na vitisho (Ukoloni Mambo Leo).

● Russia ni nchi inaokataa Ushoga duniani.

● Russia ndio adui mkuu wa maadui zetu africa. Na anawanyoosha ipasavyo.

RUSSIA TOKEA KIPINDI CHA AFRIKA KUPIGANIA UHURU, NA WAPIGANIA UHURU MASHUHURI AFRIKA, LILIKUA NI TAIFA LIKITAMBULIKA KAMA "RAFIKI WA AFRIKA".
Screenshot_20230320-230700_Opera%20Mini.jpg
 
Akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World, Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya mataifa ya Afrika yanayofikia zaidi ya dola bilioni 20.

Vladmir Putin pia amesema kuwa kuimarika kwa uhusiano kati ya Urusi na nchi za Afrika ni lengo lake Kuu, hii imetiwa chachu na vikwazo alivyowekewa na mataifa ya Magharibi kwa kile kinacho endelea nchini Ukraine.

Mataifa ya Africa yatarajie neema zaidi hasa kwa kipindi hiki ambacho mahusiano baina ya kremlin na white House si mazuri. Marekani na washirika wake hawatokuwa tayali kuona ushawishi wao unapungua Barani Africa. Hivyo mengi yanaweza kutokea yenye manufaa kwa Bara la Africa.
Mungu ameikumbuka Africa, njia za Mungu huwa za juu sana na ukijidai wewe mjanja huwa anawaacha mnatengeneza mali kisha ukiisha ijaza anamkabidhi mwenye haki wake...Africa inaenda kuneemeka pasipo jasho
 
Sisi Afrika ni wapumbavu sana, hatuna akili na sidhani kama tutakuja kupata akili. Kwa sababu hizi;

1) Tunashawishiwa kumchukia Russia na nchi za magharibi, na kuna nchi za Afrika zilishatoa tamko kulaani Russia. Ila hatujiulizi;

● Russia ni nchi ambayo haijawahi kutawala taifa lolote kikoloni Afrika (Hakuwahi kuwa mkoloni).

● Russia ndio nchi pekee ya ulaya aliekuwa mbele kusaidia mataifa ya Africa kuwafundisha wanajeshi ili kupigania Uhuru. Picha hii chini inamuonesha Rais Putin akiwa Bagamoyo, pamoja na Rais Wa Mozambique Samora Machel mnamo mwaka 1973 na alikaa Tanzania mpaka mwaka 1977, bagamoyo akifundisha na kuwanoa wanajeshi.

● Russia ni nchi pekee inaekataa mataifa ya magharibi na marekani kuitawala dunia kwa kutumia kivuli cha misaada na vitisho (Ukoloni Mambo Leo).

● Russia ni nchi inaokataa Ushoga duniani.

● Russia ndio adui mkuu wa maadui zetu africa. Na anawanyoosha ipasavyo.

RUSSIA TOKEA KIPINDI CHA AFRIKA KUPIGANIA UHURU, NA WAPIGANIA UHURU MASHUHURI AFRIKA, LILIKUA NI TAIFA LIKITAMBULIKA KAMA "RAFIKI WA AFRIKA".View attachment 2559829
Waafrika wengi wanavuka mpaka kuzamia kwenda kwa wakoloni wao UK, Germany ,France. Hawana hamu na Russia
 
Tahadhari:
A
frika tusikubali kugeuzwa uwanja wa vita vya wababe..
UkrainIme imeigizwa kingi na Myahudi Zelensky Raisi Msanii. Nchi yake inavunjwa na watu wake wamegeuzwa wahanga wa Mabeberu.
Hivi sasa wanatafuta Taifa jingine ili waweze kuleta vita na waanze kutupiana makombora.
-Kurudi kwa Uhusiano kati ya Saudia na Iran ni ishara ya kuwa Kambi ya Mashariki inaongeza wafuasi wa kuipambania kambi ya Mashariki.
-Mchina yuko mbioni kuweka ngome zake imara ,huku Ulaya wakiendelea kummina silaha Ukrain.
Siku Kombora likianguka Mosco ndo siku hiyo hiyo majibu yatapelekwa London, Paris na Germany na Ikiwezekana Washington DC.
Lakini Marekani anataka kuwapambanisha Ulaya na urusi halafu yeye abaki salama.
Je Ulaya watakubali kuingia kwenye mtego huu?
 
Akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World", Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya mataifa ya Afrika yanayofikia zaidi ya Dola bilioni 20.

Vladmir Putin pia amesema kuwa kuimarika kwa uhusiano kati ya Urusi na nchi za Afrika ni lengo lake kuu, hii imetiwa chachu na vikwazo alivyowekewa na Mataifa ya Magharibi kwa kile kinacho endelea nchini Ukraine.

Mataifa ya Afrika yatarajie neema zaidi hasa kwa kipindi hiki ambacho mahusiano baina ya Kremlin na White House si mazuri. Marekani na washirika wake hawatokuwa tayali kuona ushawishi wao unapungua Barani Afrika. Hivyo mengi yanaweza kutokea yenye manufaa kwa Bara la Afrika.

Kule kufutia Afrika madeni Je haitakua ni hongo(bribe) ili Afrika ikubali na kutambua kuwa uvamizi wake nchi huru ya Ukraine na kumega majimbo ya Ukraine kuwa sehemu ya Russia ni halali? Rais wa zamani wa Uganda alipovamia jimbo la Kagera na kutamba kuwa ni sehemu ya Uganda, Baba wa Taifa Mwl Nyerere alimfanyia nini yule nduli AMIN? alipigwa, alifukuzwa na kakimbia nchi yake na kwenda kufia Saudi Arabia, sasa Putin wa Russia afanyiwe nini na Ukrainians na Warusi wanaopenda amani idumu duniani? Russia iondoe majeshi yake ya uvamizi kule Ukraine na aeshimu mipaka ya nchi huru(sovereign and independent nation). Afrika isiwe na unafiki! Period.
 
Yaani ukae na ujiadanganye kwamba ukiondoka ukiranja wa USA basi haukutokuwepo ukiranja mwingine? Yaani Russia leo amwangushe USA alafu yeye akuachie ujitawale? Ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kuwa na mawazo ya aina iyo, tukae tukitambua "heri zimwi likujualo maana halikuli likakwisha" lakini huyu zimwi mpya tunayemshabikia wajukuu zetu watalia na kusaga meno.
 
Akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World", Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya mataifa ya Afrika yanayofikia zaidi ya Dola bilioni 20.

Vladmir Putin pia amesema kuwa kuimarika kwa uhusiano kati ya Urusi na nchi za Afrika ni lengo lake kuu, hii imetiwa chachu na vikwazo alivyowekewa na Mataifa ya Magharibi kwa kile kinacho endelea nchini Ukraine.

Mataifa ya Afrika yatarajie neema zaidi hasa kwa kipindi hiki ambacho mahusiano baina ya Kremlin na White House si mazuri. Marekani na washirika wake hawatokuwa tayali kuona ushawishi wao unapungua Barani Afrika. Hivyo mengi yanaweza kutokea yenye manufaa kwa Bara la Afrika.
Ni jambo zuri
 
Akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World", Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya mataifa ya Afrika yanayofikia zaidi ya Dola bilioni 20.

Vladmir Putin pia amesema kuwa kuimarika kwa uhusiano kati ya Urusi na nchi za Afrika ni lengo lake kuu, hii imetiwa chachu na vikwazo alivyowekewa na Mataifa ya Magharibi kwa kile kinacho endelea nchini Ukraine.

Mataifa ya Afrika yatarajie neema zaidi hasa kwa kipindi hiki ambacho mahusiano baina ya Kremlin na White House si mazuri. Marekani na washirika wake hawatokuwa tayali kuona ushawishi wao unapungua Barani Afrika. Hivyo mengi yanaweza kutokea yenye manufaa kwa Bara la Afrika.
Africa bwana akili zetu tunazijua wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sisi Afrika ni wapumbavu sana, hatuna akili na sidhani kama tutakuja kupata akili. Kwa sababu hizi;

1) Tunashawishiwa kumchukia Russia na nchi za magharibi, na kuna nchi za Afrika zilishatoa tamko kulaani Russia. Ila hatujiulizi;

● Russia ni nchi ambayo haijawahi kutawala taifa lolote kikoloni Afrika (Hakuwahi kuwa mkoloni).

● Russia ndio nchi pekee ya ulaya aliekuwa mbele kusaidia mataifa ya Africa kuwafundisha wanajeshi ili kupigania Uhuru. Picha hii chini inamuonesha Rais Putin akiwa Bagamoyo, pamoja na Rais Wa Mozambique Samora Machel mnamo mwaka 1973 na alikaa Tanzania mpaka mwaka 1977, bagamoyo akifundisha na kuwanoa wanajeshi.

● Russia ni nchi pekee inaekataa mataifa ya magharibi na marekani kuitawala dunia kwa kutumia kivuli cha misaada na vitisho (Ukoloni Mambo Leo).

● Russia ni nchi inaokataa Ushoga duniani.

● Russia ndio adui mkuu wa maadui zetu africa. Na anawanyoosha ipasavyo.

RUSSIA TOKEA KIPINDI CHA AFRIKA KUPIGANIA UHURU, NA WAPIGANIA UHURU MASHUHURI AFRIKA, LILIKUA NI TAIFA LIKITAMBULIKA KAMA "RAFIKI WA AFRIKA".View attachment 2559829
Subiri waje wanaojitoa ufahamu watakwambia wanafadhiliwa vyandarua na condom kutoka marekani
 
Nimeona video moja kwenye vikao vya matajiri akina Billgeti na wenzake jamaa kutoka serekali ya marekani anaongea kuwa sisi ndio tuliotengeneza system ya nchi karibia zote za kiafrica zitutegemee na hatupendi kuona nchi hizo zikijitegemea kimaendeleo, aliongea mengi ya kuumiza kwakweli yaani ukiangalia hio video kama ulikua ukiwapenda marekani naapa utaanza kuwachukia, ile video haikuchukua muda YouTube wakaitoa, kinachoumiza zaidi jamaa wanaongea huku wanapiga makofi na kutabasamu, pia tweeter waliitoa faster
 
Kule kufutia Afrika madeni Je haitakua ni hongo(bribe) ili Afrika ikubali na kutambua kuwa uvamizi wake nchi huru ya Ukraine na kumega majimbo ya Ukraine kuwa sehemu ya Russia ni halali? Rais wa zamani wa Uganda alipovamia jimbo la Kagera na kutamba kuwa ni sehemu ya Uganda, Baba wa Taifa Mwl Nyerere alimfanyia nini yule nduli AMIN? alipigwa, alifukuzwa na kakimbia nchi yake na kwenda kufia Saudi Arabia, sasa Putin wa Russia afanyiwe nini na Ukrainians na Warusi wanaopenda amani idumu duniani? Russia iondoe majeshi yake ya uvamizi kule Ukraine na aeshimu mipaka ya nchi huru(sovereign and independent nation). Afrika isiwe na unafiki! Period.
Russia hana shida na sisi, sisi ndio wenye shida, kufutiwa madeni sio hongo
 
Yaani ukae na ujiadanganye kwamba ukiondoka ukiranja wa USA basi haukutokuwepo ukiranja mwingine? Yaani Russia leo amwangushe USA alafu yeye akuachie ujitawale? Ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kuwa na mawazo ya aina iyo, tukae tukitambua "heri zimwi likujualo maana halikuli likakwisha" lakini huyu zimwi mpya tunayemshabikia wajukuu zetu watalia na kusaga meno.
What if tutatawala naye kuwadhibiti America na Europe?
 
Back
Top Bottom