gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,885
Waziri wa Marekani Mark Rubio ameonya dola ya marekani kupoteza nguvu baada ya nchi nyingi kutafuta mbadala wa dola
Kuna taarifa kadhaa za nchi husika kufanya biashara kwa sarafu zao badala ya dola ya Marekani
Rubio anaendelea kuonya,baada ya miaka mitano marekani itashindwa kusimamia vikwazo iwekavyo kwa mataifa mbalimbali
EU juzi walikua na majadiliano na china, waziri mkuu UK alienda china, waziri mkuu Canada alienda china, mataifa yote haya yakiamua kufanya biashara na china kutumia sarafu zao,dola chali
Kuna taarifa kadhaa za nchi husika kufanya biashara kwa sarafu zao badala ya dola ya Marekani
Rubio anaendelea kuonya,baada ya miaka mitano marekani itashindwa kusimamia vikwazo iwekavyo kwa mataifa mbalimbali
EU juzi walikua na majadiliano na china, waziri mkuu UK alienda china, waziri mkuu Canada alienda china, mataifa yote haya yakiamua kufanya biashara na china kutumia sarafu zao,dola chali