Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,012
kweli, pia inaruhusu uingizajji wa cheap sugar. unafikiri nani atakubali kuwekeza kwenye miwa?Muongo.
kweli, pia inaruhusu uingizajji wa cheap sugar. unafikiri nani atakubali kuwekeza kwenye miwa?Muongo.
Unaweza ukawa umesoma,lakini katika masuala ya uchumi na fedha ni kilaza sana.naomba usiendelee kuchangia Uzi huu hujui lolote.
Mwaka 2005 dola ya marekani ilikuwa na dhamani 1200 dhidi ya shilingi lkn kutoka mwaka hadi 2015 dola imefikia dhamani 1860 dhidi ya sh je haya ni maendeleo?deni la taifa limekuwa kwa kasi kubwa sana kutoka trion nane mwaka 2005 hadi trion 28 mwaka 2015 hii ni hatari sana kwa uchumi wa nchi
Mafuta yamefika 1700 kutoka 840 mwaka 2005. Nyama imefika kilo 6000 toka 1800 mwaka 2005 sukar na mchele tola 650 /700 mpaka 2000/2500 maharage mboga ya wanyonge toka 240 mpaka 1500/ yaan hii serikali haina hata huruma mishahara inakopa mifuko ya wastaafu haina pesa TRA kwa mwezi wanakusanya bilion 800/
Muongo.
Wakulima wa Korosho huko Tanga wamekatazwa kuuza korosho nje mpaka wapewe kibal na bodi ya Korosho-East Afrika redio jana
tujiulize kwenye kulima waliwapa vibali?
He unategemea nin kwa gavana ambaye anakuambia hela ikiwa inatoa rangi ndio original, unategemea jipya kwa mtu kama huyo ?hivi nch hii tunaye gavana wa benk kuu? Rais anashtuka kuhusu hili? FaizaFoxy huwa unatetea mengi ya hii serikali, kama upo karibu nao waambie ebu wang'ate masikio hao majuha!
Mwaka 2005 dola ya marekani ilikuwa na dhamani 1200 dhidi ya shilingi lkn kutoka mwaka hadi 2015 dola imefikia dhamani 1860 dhidi ya sh je haya ni maendeleo?deni la taifa limekuwa kwa kasi kubwa sana kutoka trion nane mwaka 2005 hadi trion 28 mwaka 2015 hii ni hatari sana kwa uchumi wa nchi
mkuu hawa hawajui kuwa dolla ndo inayosababisha bidhaa kupanda , ndoo hawa hawa wanaandamana kutetea palestina wakati bongo watu wanajichotea mabilioni wapo kimyaHapa ndo kuna tatizo!!!! who cares?
mkuu hawa hawajui kuwa dolla ndo inayosababisha bidhaa kupanda , ndoo hawa hawa wanaandamana kutetea palestina wakati bongo watu wanajichotea mabilioni wapo kimya
wewe kilaza hatua ya haraka ya kuzuia dollar ispande yani kuirudisha ilipokuwa 1600 au 1500 ndio hiyoo??exactly mkuu...that z the very good way we can be giant and stable ecomy..kama ni viwand tufufue tuzalishe world standard goods tu export ..af tuone kam tutalialia hap dola kupanda..
Kwanza kumbuka, kutakiwa uwe na kibali cha kusafirisha korosho nje haina maana umekatazwa kuuza nje. Usiwe punguani.
Mmeshasahau? Wauzaji wa korosho walivyokuwa wanaumizwa sana.
Kuhusu vibali vya mazao aina fulani kutolewa si kituko Tanzania kuamua hivyo, kuna sababu muhimu na nzuri sana. Nchi nyingi duniani zinafanya hivyo, mfano wa hapa jirani zetu, nenda Comoro kasafirishe Vanilla ujionee. Au nenda Zanzibar kasafirishe karafuu.
Isitoshe, hakuna nchi duniani ambapo unasafirisha tu mazao nje kiholela bila kibali, afadhali ya kwetu hapa kuna mazao unasafrisha bila kibali chochote, thubutu nchi nyingine uganye hivyo. Leo unaweza kwenda Muheza msimu wa machungwa unanunua machungwa yako unayapeleka Kenya hauulizwi chochote. Jaribu nchi nyingine ujionee.
Hivi hizo shule huwa mnakwenda kusomea ujinga?
Mahitaji ya USD yamekuwa makubwa sana,hivyo uhitaji wa dola umepanda maradufu kulinganisha na wao au watu wanavyohitaji shilingi,chakusukitisha mahitaji mengine ya dollar nchini haya faida na serikali matokeo yake ni kuendelea kuididimiza shilingi,leo nimetoka hospital inaitwa PRIMIER CARE,malipo yote yanafanyika kwa USD na kama huna wanakupa exchange rate,Leo nimepewa rate ya USD kwa Sh. ni 1800....,mahotelini pia hivyo hivyo,sasa uhitaji wa sh unaongezekaje hapa.....sawa makampuni yanayumia pesa nyingi kuagiza vifaa na mitambo kwa dolar,lakini pia mazao mengi ya biashara kipindi cha mwalimu kama,kahawa,katani,chai,pamba hayauzwi tena kwa wingi nje ya nchi kama zamani,kumbuka kipindi cha mwalimu tulikuwa hatununui nje vitu vingi kama,toothpaste,margarines,clothes,agricultural pestsides and equipments,cooking oil,....jst imagine now tunaagiza vitu hivyo vyote nje....achilia mbali..mawigi..yeboyebo...na uchafu mwingine wa mitumba....viongozi hawako serious!...upuuzi mtupu,kuna haja gani yakuwa na shilling wakati tumeiacha dolla izurure mtaani...hatuwajali wakulima...tunaacha milango wazi kama wapuuzi hamna hata kiwanda kimoja vyote tuimeua..matairi tunaagiza,ceillings tunaagiza kila kitu!..inasikitisha saana!Mwaka 2005 dola ya marekani ilikuwa na dhamani 1200 dhidi ya shilingi lkn kutoka mwaka hadi 2015 dola imefikia dhamani 1860 dhidi ya sh je haya ni maendeleo?deni la taifa limekuwa kwa kasi kubwa sana kutoka trion nane mwaka 2005 hadi trion 28 mwaka 2015 hii ni hatari sana kwa uchumi wa nchi
Wewe si ni diaspora? hivi unajua kinachoendelea katika nchi hii? au unaongea kwa vile una mahaba na tabaka
tawala? ubinafsi ndo chanzo kikubwa cha comments kama za kwako.
Nikiwa diaspora ndio inahusu nini zaidi? Au una usongo tu na diaspora?
Naijuwa hii nchi kabla haijawa Tanzania. Wewe Jee?
Tanzanite
Dhahabu
Almasi
Madini mengine
Utalii
Mali asili ya misitu
Bandari
Duu kama somalia