mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 12,168
- 8,938
Mkuu una dola kibao nini ?ziweke tu hadi ifikie TZS 3000 kwa USD$1 ,itafika muda si mrefu,ngoja niondoke nikabebe box nikirudi sirudi na hata simu mi ni kirudi na pesa ya Obama tu.Kwa hali hii nitanunua sana mapagale MtogoleHiyo ni habari njema sana kwangu!