Dola imefika 1860 toka 1200 mwaka 2005

Dola imefika 1860 toka 1200 mwaka 2005

Watanzania ni watu wa kukalili vitu na sio kufikiria vitu vipya.hiyo theory ya kuexport ili kupata dola haiwezi kusaidia kwa muda huu ambapo viwanda vya ndani vimeshakufa.
 
Watanzania ni watu wa kukalili vitu na sio kufikiria vitu vipya.hiyo theory ya kuexport ili kupata dola haiwezi kusaidia kwa muda huu ambapo viwanda vya ndani vimeshakufa.

= kukariri

Kama vimekufa ni vile vya Nyerere alivyovijenga na alivyovidhulumu (taifisha) aliyefunguwa viwanda bila kuwa na ma industrialist. Mammbo mengine ya kustajaabisha sana.

Kwanini leo hii usifunguwe kiwanda? ukaitumia fursa hii? hata cha pipi tu usafirishe nje.
 
Wewe unatatizo lipi ikiporomoka? kwanini hauchukuwi fursa ukaua bidhaa kwa wingi, ukaleta watalii kwa wingi? Ikipanda wewe una faida ipi?

Ukaua= ukanunua!!!

Ona sasa kutetea uovu wa nchi unavyo kuangusha, hata kuandika unasahau!!
 
Unaweza ukawa umesoma,lakini katika masuala ya uchumi na fedha ni kilaza sana.naomba usiendelee kuchangia Uzi huu hujui lolote.

Huyu ff analeta ushabiki wake wa uccm hadi kwenye mambo ya msingi, huyo siyo kama hajui anajua ila ccm imemuathiri.
Hapo anaona sawa tu shilingi kushuka
 
= kukariri

Kama vimekufa ni vile vya Nyerere alivyovijenga na alivyovidhulumu (taifisha) aliyefunguwa viwanda bila kuwa na ma industrialist. Mammbo mengine ya kustajaabisha sana.

Kwanini leo hii usifunguwe kiwanda? ukaitumia fursa hii? hata cha pipi tu usafirishe nje.

Hizi idea za kuexport ili kupata dola ili kupata dola from outside imeandikwa kwenye vitabu vyote vya economics na finance na karibu nchi zote duniani wanatumia na ninaamini hata wanauchumi wetu kuanzia wale wa wizara ya fedha,wa BOT na hata wale wa kamati ya bunge wanalijua hili.ndio maana nikasema tuache kukariri,jf kama great thinkers other alternatives.
 
Mwaka 2005 dola ya marekani ilikuwa na dhamani 1200 dhidi ya shilingi lkn kutoka mwaka hadi 2015 dola imefikia dhamani 1860 dhidi ya sh je haya ni maendeleo?deni la taifa limekuwa kwa kasi kubwa sana kutoka trion nane mwaka 2005 hadi trion 28 mwaka 2015 hii ni hatari sana kwa uchumi wa nchi

Kwa kasi ya maisha bora kwa kila fisadi sera ya awamu ya nne,wanapotoka madarakani itakuwa zaidi ya 2000 baado safari za kuanga nchi za nje,deni la taifa litakuwa limeongezeka mara mbili.
 
Hizi idea za kuexport ili kupata dola ili kupata dola from outside imeandikwa kwenye vitabu vyote vya economics na finance na karibu nchi zote duniani wanatumia na ninaamini hata wanauchumi wetu kuanzia wale wa wizara ya fedha,wa BOT na hata wale wa kamati ya bunge wanalijua hili.ndio maana nikasema tuache kukariri,jf kama great thinkers other alternatives.

No alternative, simply work hard and export hard.
 
Bandari ya dar es salaam.
Kama serikali ya CCM inataka kudepreciate dola inatakiwa idhamirie kwa dhati kuondoa ukiritimba bandarini.kama tukiweza kuhakikisha ufisadi unaisha bandarini,na kuweka mazingira rafiki ili wafabyabiashara Wa nchi Jirani wanaitumia Bandari yetu
 
Huyu ff analeta ushabiki wake wa uccm hadi kwenye mambo ya msingi, huyo siyo kama hajui anajua ila ccm imemuathiri.
Hapo anaona sawa tu shilingi kushuka

Hapa unaongelewa uchumi. Na njia pekee na nzuri ya kuchukuwa hii advantage ni ku export kwa wingi na ku import watalii kwa wingi. Mimi naona hii ni advantage.

Wacha ushabiki wa Simba na Yanga.
 
2.kuimarisha reli ya kati na tazara.
Usafirishaji wa mizigo kutoka bandarini mpaka nchi Jirani kama DRC,Rwanda na Burundi ni wagharama sana kulinganisha na kusafirisha mizigo kwa njia ya treni.
Na kama treni ya kati itarudi kwenye ubora wake naamini tutavuna dola nyingi mno sababu nchi Jirani wataitumia sana Bandari yetu maradufu kuliko wanavyoitumia sasahivi .na hawatakimbilia Mombasa kama ilivyo sasa.
Kiukweli usafirishaji Wa malori ni wa gharama sana na ndio maana kenya,Uganda na Rwanda wamekubaliana kujenga reli Kutoka mombasa(Bandar ya Kenya) kupitia Uganda na kuishia Rwanda.kama mnakumbuka haya makubaliano Tz haikuhusishwa.
 
3.kuutangaza utalii
Kiukweli Tanzania hatujawa serious kutangaza utalii wetu,tunakwepa gharama kuutangaza.
Waafrika wengi wanalaani kwamba vyombo vya habari vya magharibi vinatangaza vitu vibaya vya Africa kama maradhi,vita,umaskini na mauaji lakini sio mazuri ya Africa .
Huu ni ukweli wanakosea kwa upande wetu,lakini kwa upande Wa kwao wapo sawa maana nia ni Ku discourage watalii wasije Africa hizo hela zao zibaki ulaya na marekani.
Kwahiyo na sisi tunajukumu la kuanza kujitangaza kwa nguvu sana ili tuweze kuvuna hizi dola zao
 
ndio maana yule mpiga dili wa magogoni anaona ni hela za madafu tu hazina maana tena kwake!
 
Watanzania ni watu wa kukalili vitu na sio kufikiria vitu vipya.hiyo theory ya kuexport ili kupata dola haiwezi kusaidia kwa muda huu ambapo viwanda vya ndani vimeshakufa.

we kma GT unashauri alternativ way iwe ipi...nimependekeza option 2 apo juu....bas tufufue viwanda ili tuwez kuexport kwa wingi,hatuwez kukwepa ilo mkuu trust me...Nchi kama kenya wako kweny uchumi wa kati coz of that,ata china ndicho kinachhompa nguvu ndo maana ata US anahaha.. ..
Viwand tumeua sisi na ni wajib wetu kuvifufua...sio kutumia kama excuse sabab vimekufa so hatuwezi export!!..very poor sugestion mkuu IFRS
 
No alternative, simply work hard and export hard.

exactly mkuu...that z the very good way we can be giant and stable ecomy..kama ni viwand tufufue tuzalishe world standard goods tu export ..af tuone kam tutalialia hap dola kupanda..
 
3.kuutangaza utalii
Kiukweli Tanzania hatujawa serious kutangaza utalii wetu,tunakwepa gharama kuutangaza.
Waafrika wengi wanalaani kwamba vyombo vya habari vya magharibi vinatangaza vitu vibaya vya Africa kama maradhi,vita,umaskini na mauaji lakini sio mazuri ya Africa .
Huu ni ukweli wanakosea kwa upande wetu,lakini kwa upande Wa kwao wapo sawa maana nia ni Ku discourage watalii wasije Africa hizo hela zao zibaki ulaya na marekani.
Kwahiyo na sisi tunajukumu la kuanza kujitangaza kwa nguvu sana ili tuweze kuvuna hizi dola zao
utalii unahitaji miundombnu. hotel nzuri, barabara nzuri ,ulinzi, migahawa usafiri nk. unafikiri watalii wanapenda miji depressive kama Arusha na Dar?.
 
Watanzania badala ya kuiona fursa hii mkasafirisha mazao na bidhaa nje mnaona ni kituko, amma kweli Tanzania kuna mambo.

serikali yako inatukataza kuuza mazao nje ili inunue kwa kutukopa na mengine yatuozee.
 
Back
Top Bottom