Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Asome diploma ya cyber security
Arusha Technical college
DIT
MUST mbeya
Kwa sasa hii kozi ina fursa katika TEHAMA
YES kozi za TEHAMA WANAPATA MKOPO Angalia guideline za HESLB
 
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
DIT, ARUSHA TEC au MUST
 
Achana na DIT nimesoma hapo pamekaa kizembe.

Mpelekeni UDSM pale Akaanze certificate (Computing center pale)
Computing Centre ya UDSM? Labda ya zamani, lakini ya sasa, mhh! Watoto wanashare Computer. Kuna dogo alisoma hapo Certificate. Ilipofika Diploma akahamishiwa chuo kingine.
Kuna vyuo vingine vidogo vidogo havina majina makubwa lakini wapo vizuri.
Mfano Unique Academy- Chuo cha wahindi kipo Upanga- DSM. Sasa hivi wanatoa pia shahada ya Cyber Security na pia wanafundisha Professional courses
 
Back
Top Bottom