Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Kwa lengo lipi badae
 
Kwa lengo lipi badae
yeye kiufupi anapenda mambo ya computer tu...ila tunaona yamegawanywa...ipi bora zaidi? je kuna soko???? vip civil engeneering? japokuwa hii nimeiulizia mimi tu..ila yeye ni computer...na je diploma ana mkopo?
 
yeye kiufupi anapenda mambo ya computer tu...ila tunaona yamegawanywa...ipi bora zaidi? je kuna soko???? vip civil engeneering? japokuwa hii nimeiulizia mimi tu..ila yeye ni computer...na je diploma ana mkopo?
Kwa ufaulu wake akichagua hivyo MUST, DIT au ATC atalipiwa ada na kula bure
inakuwa grant wala sio mkopo kama ạtajaza hizo form zao kama ataenda kama
private anaweza pata mkopo japo sijui utaratbu mikopo ya dip
 
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma computer science ila sasa nafanya kaz katika shirika na kaz nayofanya haiusiani na mambo ya computer,kiufupi kibongo bongo bado sana kuitambua thamani ya hii course,yeye aende kuiridhisha nafsi yake tu ila huku awe anasomea ujuzi mwingine,ila kama ana mpango kuishi nje ya nchi kwa computer science ila deal sana,huku wanadhan kaz zetu ni microsoft word na excel,bado kampuni nyingi zinanunua software na wataalamu wanatumia wa nje zaidi,ningekuwa mimi ningemwambia asome computer alafu aongezee na knowledge nyingi za akili mnemba(AI)+ Na lugha mbili tatu za kimataifa(kifaransa,kispain,kijerumani) labda na ujuzi wa kawaida kama plumbing,umeme wa magari(future car zitakuwa za umeme),(kwa kiasi)....ushauri huu mwambie auandike kwenye diary yake miaka 15 ijayo ataelewa nimeandika nini
 
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma computer science ila sasa nafanya kaz katika shirika na kaz nayofanya haiusiani na mambo ya computer,kiufupi kibongo bongo bado sana kuitambua thamani ya hii course,yeye aende kuiridhisha nafsi yake tu ila huku awe anasomea ujuzi mwingine,ila kama ana mpango kuishi nje ya nchi kwa computer science ila deal sana,huku wanadhan kaz zetu ni microsoft word na excel,bado kampuni nyingi zinanunua software na wataalamu wanatumia wa nje zaidi,ningekuwa mimi ningemwambia asome computer alafu aongezee na knowledge nyingi za akili mnemba(AI)+ Na lugha mbili tatu za kimataifa(kifaransa,kispain,kijerumani) labda na ujuzi wa kawaida kama plumbing,umeme wa magari(future car zitakuwa za umeme),(kwa kiasi)....ushauri huu mwambie auandike kwenye diary yake miaka 15 ijayo ataelewa nimeandika nini
asante mkuu
labda niulize kingine..mfano amechagua hiyo computer...je anawezaje kuongeza hizo skills/fani nyingine....anakuwa anajifundisha au ni mitaala ipo imeongezwa moja kwa moja? mfano programming,coding,AI na mengineyo..kuhusu lugha nahisi hiyo atasoma pembeni private...


kutokana na uzoefu wako hapo akisoma computer soko lipo vizuri?
 
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma computer science ila sasa nafanya kaz katika shirika na kaz nayofanya haiusiani na mambo ya computer,kiufupi kibongo bongo bado sana kuitambua thamani ya hii course,yeye aende kuiridhisha nafsi yake tu ila huku awe anasomea ujuzi mwingine,ila kama ana mpango kuishi nje ya nchi kwa computer science ila deal sana,huku wanadhan kaz zetu ni microsoft word na excel,bado kampuni nyingi zinanunua software na wataalamu wanatumia wa nje zaidi,ningekuwa mimi ningemwambia asome computer alafu aongezee na knowledge nyingi za akili mnemba(AI)+ Na lugha mbili tatu za kimataifa(kifaransa,kispain,kijerumani) labda na ujuzi wa kawaida kama plumbing,umeme wa magari(future car zitakuwa za umeme),(kwa kiasi)....ushauri huu mwambie auandike kwenye diary yake miaka 15 ijayo ataelewa nimeandika nin

Huu ndio ushauri sasa hongera sana tunataka watu kama nyie
 
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma computer science ila sasa nafanya kaz katika shirika na kaz nayofanya haiusiani na mambo ya computer,kiufupi kibongo bongo bado sana kuitambua thamani ya hii course,yeye aende kuiridhisha nafsi yake tu ila huku awe anasomea ujuzi mwingine,ila kama ana mpango kuishi nje ya nchi kwa computer science ila deal sana,huku wanadhan kaz zetu ni microsoft word na excel,bado kampuni nyingi zinanunua software na wataalamu wanatumia wa nje zaidi,ningekuwa mimi ningemwambia asome computer alafu aongezee na knowledge nyingi za akili mnemba(AI)+ Na lugha mbili tatu za kimataifa(kifaransa,kispain,kijerumani) labda na ujuzi wa kawaida kama plumbing,umeme wa magari(future car zitakuwa za umeme),(kwa kiasi)....ushauri huu mwambie auandike kwenye diary yake miaka 15 ijayo ataelewa nimeandika nini
pia mkuu chuo gani au vyuo gani vizuri zaidi ajaze kwenye selection? please
 
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Ushauri wangu kwako ni kwamba,mshauri aende advance,atakuja kukushuru baadae,ni muhimu sana kwa academic career yake aende advance
 
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Computer Science
Computer Engineering
Software Engineering
Data Science
Vyuo kati ya hivi viwili: MUST au DIT
 
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Kama Budget iko fresh mkuu, mpeleke India akasome Software Engineering au CyberSecurity and Forensics
 
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..

Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.

Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?

ipi course nzuri ya computer?

Tunatanguliza shukrani
Mkopo sidhani kama wanatoa kwa Level ya Diploma, Kama kiuchumi uko Fresh, peleka India, Kijana wako / mdogo wako ana uwezo.
 
Vyuo vizuri kwa computer science ni UDSM COICT na UDOM CIVE. Makampuni yanayohitaji sana wataalamu wa CS(makampuni ya fintech kama mabenki na mitandao) yanatoa sana mafunzo/mashindano huko na yanafuatilia wanafunzi wa huko.

Pia mamlaka mpya ya serikali mtandao(e-governmnent) imepanua sana wigo kwa wanafunzi wa CS.

Kusoma diploma-degree hakukupi faida kuliko advance-degree. Kitakachokupa kazi ni ujuzi ulionao unaoonekana kwenye project ulizofanya. Shule anaenda kuchukua cheti tu, ajikite sana kwenye projects.

Kwenda advance kuna faida kadhaa, nilizoziona ni;

1. Big 4 wanaangalia cheti cha ACSEE. Hatoweza kupata kazi ya IT associate kule akienda diploma.

2. Ni ngumu kusoma degree ya CS UDOM na UDSM bila GPA ya 4.0+ diploma(ambayo ni ngumu kupata).

3. CS ina fursa nje kuliko huku. Kama mna moyo wa kujaribu, kwenda kusoma vyuo vya maana nje bila ACSEE ni ngumu;

Inaonekana kijana ana uwezo. Shule kama Feza, IST, UWC East Afica na ALA wana scholarship za high school(wanasaidia sana kupata vyuo nje). Pia vyovyote vile anaweza akapambana akafaulu A-level na taasisi kama TanSAf zikamsaidia apate vyuo kwa ufadhili.

Tena huko TanSAf mkimuwahisha sasa hivi kabla hajaanza A-level mtamsaidia zaidi.

Kuhusu mikopo, sijui sana. Kigezo cha ufaulu anacho ila vigezo huwa ni vingi, hawaeleweki...

#Sisemi kusoma vyuo vingine ni kubaya, ila UDOM na UDSM kuna fursa zaidi. Ukisoma kwingine itabidi ujiongeze pia.
 
Vyuo vizuri kwa computer science ni UDSM COICT na UDOM CIVE. Makampuni yanayohitaji sana wataalamu wa CS(makampuni ya fintech kama mabenki na mitandao) yanatoa sana mafunzo/mashindano huko na yanafuatilia wanafunzi wa huko.

Pia mamlaka mpya ya serikali mtandao(e-governmnent) imepanua sana wigo kwa wanafunzi wa CS.

Kusoma diploma-degree hakukupi faida kuliko advance-degree. Kitakachokupa kazi ni ujuzi ulionao unaoonekana kwenye project ulizofanya. Shule anaenda kuchukua cheti tu, ajikite sana kwenye projects.

Kwenda advance kuna faida kadhaa, nilizoziona ni;

1. Big 4 wanaangalia cheti cha ACSEE. Hatoweza kupata kazi ya IT associate kule akienda diploma.

2. Ni ngumu kusoma degree ya CS UDOM na UDSM bila GPA ya 4.0+ diploma(ambayo ni ngumu kupata).

3. CS ina fursa nje kuliko huku. Kama mna moyo wa kujaribu, kwenda kusoma vyuo vya maana nje bila ACSEE ni ngumu;

Inaonekana kijana ana uwezo. Shule kama Feza, IST, UWC East Afica na ALA wana scholarship za high school(wanasaidia sana kupata vyuo nje). Pia vyovyote vile anaweza akapambana akafaulu A-level na taasisi kama TanSAf zikamsaidia apate vyuo kwa ufadhili.

Tena huko TanSAf mkimuwahisha sasa hivi kabla hajaanza A-level mtamsaidia zaidi.

Kuhusu mikopo, sijui sana. Kigezo cha ufaulu anacho ila vigezo huwa ni vingi, hawaeleweki...

#Sisemi kusoma vyuo vingine ni kubaya, ila UDOM na UDSM kuna fursa zaidi. Ukisoma kwingine itabidi ujiongeze pia.
Hapa ukiuliza swali tena nitakushangaa sana we bro ake dogo ukute ni wewe NDO msomi unasema dogo🤣
 
Yeye anataka nini kwanza, lakini kwa hii AI inavyokuja kwa kasi, inaonekana computer science is pretty much dead
 
Vyuo vizuri kwa computer science ni UDSM COICT na UDOM CIVE. Makampuni yanayohitaji sana wataalamu wa CS(makampuni ya fintech kama mabenki na mitandao) yanatoa sana mafunzo/mashindano huko na yanafuatilia wanafunzi wa huko.

Pia mamlaka mpya ya serikali mtandao(e-governmnent) imepanua sana wigo kwa wanafunzi wa CS.

Kusoma diploma-degree hakukupi faida kuliko advance-degree. Kitakachokupa kazi ni ujuzi ulionao unaoonekana kwenye project ulizofanya. Shule anaenda kuchukua cheti tu, ajikite sana kwenye projects.

Kwenda advance kuna faida kadhaa, nilizoziona ni;

1. Big 4 wanaangalia cheti cha ACSEE. Hatoweza kupata kazi ya IT associate kule akienda diploma.

2. Ni ngumu kusoma degree ya CS UDOM na UDSM bila GPA ya 4.0+ diploma(ambayo ni ngumu kupata).

3. CS ina fursa nje kuliko huku. Kama mna moyo wa kujaribu, kwenda kusoma vyuo vya maana nje bila ACSEE ni ngumu;

Inaonekana kijana ana uwezo. Shule kama Feza, IST, UWC East Afica na ALA wana scholarship za high school(wanasaidia sana kupata vyuo nje). Pia vyovyote vile anaweza akapambana akafaulu A-level na taasisi kama TanSAf zikamsaidia apate vyuo kwa ufadhili.

Tena huko TanSAf mkimuwahisha sasa hivi kabla hajaanza A-level mtamsaidia zaidi.

Kuhusu mikopo, sijui sana. Kigezo cha ufaulu anacho ila vigezo huwa ni vingi, hawaeleweki...

#Sisemi kusoma vyuo vingine ni kubaya, ila UDOM na UDSM kuna fursa zaidi. Ukisoma kwingine itabidi ujiongeze pia.
asante sana mkuu...nimekuelewa saana
 
Computer science tu hamna kingine japo ningekuwa mimi saivi ningeenda uhasibu, make huku uwe engineer, daktari nk. mhasibu lazima akukalishe. Labda kama ana maidea ya kutengeneza kampuni yake sio kuajiriwa au aajiriwe sio bongo.
Uhasibu kibongo bongo ngumu kujiajiri..
Ajira zake pia ushindani mkubwa.
 
Lakini hiyo AI NI ZAO LA KOMPYUTA SAYANSI
Yeah lakini mambo yanabadilika sana, vitu kama coding or writing software is a dead end, ai na automation zinaelekea kumaliza hizo kazi, he can try machine learning and data science maybe
 
asante mkuu
labda niulize kingine..mfano amechagua hiyo computer...je anawezaje kuongeza hizo skills/fani nyingine....anakuwa anajifundisha au ni mitaala ipo imeongezwa moja kwa moja? mfano programming,coding,AI na mengineyo..kuhusu lugha nahisi hiyo atasoma pembeni private...


kutokana na uzoefu wako hapo akisoma computer soko lipo vizuri?
Sijajua chuo gani kizuri kwa course za computer mana mie chuo nilimaliza imepita miaka 20 sasa na mambo mengi yamebadilika,hizo course kama AI ni subcourse ndani ya hyo CS,zingine nje ya hapo ni kujiongeza private pembeni kama ulivosema.kuhusu soko la ajira hapo sasa ndo kigugumizi kinaanza na wengi ukweli hawatak kuambiwa ,kiufupi soko la CS bado sio kubwa sana kwa tanzania,hebu chunguza matangazo mengi ya kazi unaweza kukuta watu wa IT na computer science ni wachache sana wanaohitajika na wengi wao wanaenda kufanya kaz za hardware ,wengine kupiga window installation(vijawa wengi mtaani wanaifanya vizuri tu na chuo hawajaenda)kutumia adobe,sijui kuandika code za language kwa mbaali ndo unaweza kuwakalisha wasiopita CS,bahat mbaya sana sanaaa sanaaa wengi hawajui cs ina mambo makubwa ya kufanya ila wengi (waajiri) hawatambui kutokana na mazingira yetu ya kibongo.nina ndugu yangu (marehemu) alikuwa na kampuni kubwa tu ya masuala ya computer..yeye anakiri kuwa hii kampuni ilikuja kumpa hela uzeeni lakin sehem kubwa ya utajiri kaipata kupitia mifumo mingine ya kifedha wala syo alichosomea,tunasoma ili kuondoa ukungu kwenye bongo zetu ,exposure na labda connection ila syo kwamba utachosomea ndo kitaleta ugali na kukutoa,ni wachache sana,natamani niongee mengi ila sitaeleweka kwa wenye upeo mdogo wa uelewa,mwambie dogo ajue anataka nin,cs ni dude kubwa lenye matakataka meengiiii asije badae kujikuta yupo makumbusho anauza vilaptop na kuvipiga window baasss kishwaa(joke🤣🤣) if hatakuwa na uchaguz wa kueleweka na kutuliza akili
 
Back
Top Bottom