Does Magufuli care?

Does Magufuli care?

Songambele

Kama hajali,sasa hizi kelele mnampigia za nini?

Apigiwi kelele watu wanaweka records sawa! ndio maana hakuna aliyemwandikia barua yanasemwa humu kwa wana nzengo ili nyie watu wake mkamwambie mbeleni asije rusha ngumi na kuumiza watu wasio na hatia.
 
Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.
Ukijua uwepo wa vyama vya upinzani na kazi zake,na zilizofanywa na kuonekana toka vianzishwe huwezi kuja na kauli kama hizi, kama wewe huzioni ni wewe na hili sio tatizo lako tu unaejiita pastor no ni la mashekh,maaskofu,wachungaji wainjilisti nk MMEJAA UNAFIKI TU,MAHALI PA KUSEMA SIO MNASEMA NDIO NA SEHEMU YA NDIO MNASEMA SIO kisa kuiogopa serikali isije ikawafuatilia na kufunga makanisa yenu mkakosa sadaka na mafungu ya kuni,subirini siku inakuja mtatakiwa kujibu HUU UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA MLIVITOA WAPI.
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?
You are not a Tanzanian. If by chance you are then there is something seriously wrong with your brain
 
Magu he doesn't care about nothing.


Swissme
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?
kama anadhani ya Lissu yatasahaulika anajidanganya ni mpaka atakapofungwa ndipo tutanyamaza
 
Tetty huu uandishi wenu uwa unanikera sana.

Mnaandika kilawalawama na kwa kususasusa kama watoto.

Grow up.

Pole sana,huwa napenda kuuweka uandishi wangu kwenye lugha ya kwangu na sijalalamika nimeuweka ukweli niuonao mimi.Pole sana.

Watanzania bila kujali ITIKADI zetu tunatakiwa tujitathmini kama tunalitendea HAKI TAIFA letu.

Kubwa kuliko yote TANZANIA ni yetu sote hata mgeni akija akipendezewa bado anahaki ya kuishi ilimradi afuate sheria na taratibu zetu.

Pili tukubali kwamba bila UPENDO wa sisi wenyewe kwa wenyewe watawala watatumaliza.Tusijetukajiona ukiwa upande huu ni first class na ukiwa upande huu hufai,moja kubwa Tanzania yetu sote hakuna mwenye haki na Tanzania.

Tanzania si ya CCM wala Magufuli,Tanzania ni ya watanzania ataondoka itabaki.

HAKI,UMOJA na UHURU ndivyo tunavyovihitaji kwa sasa.Bila HAKI na UMOJA AMANI na MAENDELELO tutayasikia UCHINA.

Hakuna mgeni anayekuja hapa kwa nia ya kuliendeleza Taifa letu,waot wapo kwa ajili ya kula.

Mtawala anayjitahidi kutugawa tunatakiwa tumuogope kama UKOMA,hatufai.
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?
Unaupatia upinzania kidole kati. Ana ghadhabu na upinzani, na bahati mbaya watanzania hatujui aliichukulia wapi, au ni wapi upinzania ulimkwaza kiasi hicho.
 
why not !! a second president after Nyerere to have a philosophy ... he knows what he wants from himself and what he expects from his subordinates. The main problem:- people hate changes, they get used to loose systems, we did /do not have a better education system, we are the product of a poor education system, we are failing to solve our problems, we are failing to make informed decisions. WE ARE CONTROLLED BY HATE AND EMOTIONS. THE EDUCATION SYSTEM must be changed or updated for the sake of our future generations. JPM is not to blame bro! this country is rotten to the core, no accountability, professionalism, integrity etc. Let him rebuilds this rotten shit!! at least he saw something that other cowards did not see. Most politicians are attention seekers let them take actions not speaking like fools, You can not win a person by your mouth but a brain...actions speak louder than words..
Haya!

Em sema, magufuli anajenga kwa kutoipa kipaumbele na kuivunja katiba? "

Je magufuli anajenga nchi kwa double standard za vyeti feki na uchapakazi kwa Bashite, YES! But vyeti feki na uchapakazi kwa wafanyakazi wa kawaida BIG NO?

Je Magufuli anajenga nchi kwa kujenga Airport Chato?

Je magufuli anajenga nchi kwa kujihidhinishia kodi zetu mwenyewe na kwenda kununua bambodier q400 mwenyewe bila bunge?

Magufuli anajenga nchi kwa kutoa ahadi za uongo kwa wananchi wake?

Magufuli anajenga nchi kwa kutokemea wateule wake kuwanyima wananchi uhuru wao kama kusali na kutoa maoni kuhusu Lissu?

Yaani unadhani labda kipindi hiki cha magufuli ataleta mambo yapi mapya ktk elimu na kuifanya iwe bora na kutofautiana na ya zamani?

Yaani mkuu mimi naona bora ukae kimya na ccm yako maana mwenyekiti wenu anaivuruga hii nchi
 
niah

Wakosoe ili wasipayuke.

Wakosne kama Mbowe,ambaye alishalipigia kelele swala la Wizara moja kuna na madini na nishati sehemu moja.

Inshu ya CC wa Bunge kikatiba haina shida,labda kisheria

sasa badala ya wabunge kuaandaa hoja binafsi ya kubadili ibara 87 ya katiba kifungu cha sheria na 15 ya Buoge,wanakuja humu kulialia ili kupata publicity.

Kwani kati ya Katiba na sheria ipi iko juu ya mwenzake?

Aya ameapishwa,ushasikia tena kelele za akina Zitto?

Hizo ndizo miye naziita unnecesary and uncalled for jabberings.
 
Ni moja ya jukum la wapinzani. Japo wapinzani wetu wapo weak sana, chama tawala saivi kinaishi kwa nguvu ya vyombo vya dola tuu.
Mkuu,nadhani ulitaka kusema chama tawala kiko weak sana na kinaishi kwa kuvu za dola,watawala nchi hii hawataki kusikia kusanyiko lolote la wapinzani liwe la nje au mkutano wa ndani demokrasia imerudi nyuma miaka 25,unajiuliza nini hofu ya watawala??HAWAJIAMINI.??
 
Adili

Magufuli ana madhaifu yake tena mengi tu.

Hivyo ni haki kukosolewa.

Ila kuna wakati Upinzani wanapayuka payuka kuhusu vitu obvious na visivyo na impact yoyote.
 
Ileje

Kuna kukosoa na kupayuka.

Elewa hilo.
Vyote ni sawa tu! Kwa sasa haiwezekani kabisa chama cha upinzani kupata wanachama wapya katika maeneo ambao hakina uawakilishia wa diwani au mbunge! Wanachama wapya hupatikana kwa kufanya mikutano ya hadharaambayo imepigwa marufuku! Lakini yeye mwenyewe anazunguka nchi nzima akipokea wanachama wapya!!

Ajenda na sera za chama cha siasa hufafanuliwa katika mikutano ya hadhara, vipeperushi na matangazo ya redio na TV ni ziada!!
 
Adili

Magufuli ana madhaifu yake tena mengi tu.

Hivyo ni haki kukosolewa.

Ila kuna wakati Upinzani wanapayuka payuka kuhusu vitu obvious na visivyo na impact yoyote.
Tumieni nguvu ya hoja. Wapo waTanzania wenye uwezo wa kupambanua (na wanazidi kuongezeka) kati ya mchele na pumba. Kuukandamiza upinzani ni dalili ya kutojiamini au kama ilivyosikika ni dalili za udikiteta.
 
niah

Wakosoe ili wasipayuke.

Wakosne kama Mbowe,ambaye alishalipigia kelele swala la Wizara moja kuna na madini na nishati sehemu moja.

Inshu ya CC wa Bunge kikatiba haina shida,labda kisheria

sasa badala ya wabunge kuaandaa hoja binafsi ya kubadili ibara 87 ya katiba kifungu cha sheria na 15 ya Buoge,wanakuja humu kulialia ili kupata publicity. Nani atawapa nafasi ya kusikilizwa si kila siku wanagonga mwamba?


Kwani kati ya Katiba na sheria ipi iko juu ya mwenzake?

Aya ameapishwa,ushasikia tena kelele za akina Zitto?

Hizo ndizo miye naziita unnecesary and uncalled for jabberings.

Nashindwa kukujibu sababu sisikilizi bunge maana hatulioni, lakini ninachokisoma ni kwamba kila wabunge wa upinzani wakijaribu kutoa hoja zinazimwa. Kumbu kumbu zipo bungeni kuna siku tutaziona au wajukuu zetu. Ukweli mwingine unaona kila mbunge wa upinzani anayeongea, anashitakiwa kwa kusema uongo wakati hawamuombi vielelezo vyote au sauti kusikia wapi maneno fulani yalisemwa na nani na wapi. Well wengine tumefika mahala tunasema bora liende ila nawaonewa wajukuu zetu maana watoto wameshaathrika tayari.
 
Back
Top Bottom