Does Magufuli care?

Does Magufuli care?

sawabho kwani wakienda kwa wananchi watauza ajenda zipi?

Zile za kwao wenyewe walizozisimamia zikaa matunda?

Au zile walizozikwapua toka kwa Serikali au Rais?

Kwani wakati wanafanya kampeni waliahidi nini mkuu?

Hizo ahadi ndiyo nazisema na kuzipigia upatu zitekelezwe!
 
sawabho kwani wakienda kwa wananchi watauza ajenda zipi?

Zile za kwao wenyewe walizozisimamia zikaa matunda?

Au zile walizozikwapua toka kwa Serikali au Rais?

Kwani wakati wanafanya kampeni waliahidi nini mkuu?

Hizo ahadi ndiyo nazisema na kuzipigia upatu zitekelezwe!
Walichoahidi ndicho Serikali inafanyia kazi, kwa hiyo wako makini kuangalia kuwa zinatekelezwa kwa kufuata Katiba ya Nchi kwa kufuata misingi ya Utawala Bora.
 
Rais anajali sana. Asingekuwa anajali asingetengua ubunge wa Abdala Posi. Wala asingesitisha ile operesheni feki ya mihadarati. Asingekuwa anazungumzia uchapakazi wa Makonda. Hii ni mifano michache tu.
 
Aliyekwambia kazi ya upinzani ni kumfanya Marufuku ajali ni nani? Upinzani wanatekekeza wajibu wao, na miongoni mwa wajibu wao ni kukosoa maamuzi au matendo ya hovyo au yaliyo kinyume na katiba-kwamba atajali au hawajali sio suala la upinzani pekee.

Kama upinzani walipiga kelele kwamba Bashite ametenda kosa la jinai au ana tuhuma za jinai na Rais akamkingia kifua, wapinzani wametimiza wajibu wao. Na wananchi nao wamezidi kumwelewa Rais wao.

Wapinzani wnapaswa kufanya kazi zao kwa kuangazia mambo yanayotokea kila siku. Ajenda za upinzani zinapaswa ziangazie utendaji wa serikali. Huwa siwaelewi mnaposema wapinzani hawana ajenda wanarukiarukia!
Umechambua vema kabisa, sijui wao wanataka ajenda ziwe zipi yaan ni kituko kweli
 
GreenCity how?through political rallies in their constituencies.

When?anytime,anywhere,everywhere...

Where?in the mass media,out there,or here on online platforms!
Hahaaa! Eti in their constituencies! Since when rallies zimekuwa limited kisheria "in their constituencies"?

Bungeni kama ilivyo kuwa addressed, kuwa spika awashughulikie ili waongelee nje ambapo ata deal nao!

Bila utawala wa sheria, maoni kwenye thread yako is not practicable!
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?
Rubbish
 
Mtu anavunja katiba, asisemwe!? Sasa mnataka opposition waseme nini jamani? Online Pastor kwanini usijikite kwenye dini tu, you are too weak in politics!

GreenCity hizi i.d fake tunazozitumia humu zisikudanganye.

Miye nimetoa huo ushauri kwa Upinzani nikiwaasa kuepuka kuwa bendera fuata upepo kwa kila fupa linalotupwa na Rais au Serikali.

Bali wakomae na ajenda kuhakikisha zinazaa kwanza matunda kabla ya kudandia nyingine!
yes
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?

Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?[/QUOTE]
yes he does 100%
A person who doesnt care is a careless person. Is he?

yes he does more than 100%
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?
Mhhh.
 
Kuna muda naanza kuamini kuwa Magufuli aidha "anafanya" blunders za makusudi au kwa bahati mbaya ili apate kuzungumzwa na washindani wake wa kisiasa.


Haiwezekani hata wiki haijaisha hoja zote madiwani kununuliwa,Lissu kushambuliwa zishapoa na sasa kila mtu anazungumzia uwalakini wa Magufuli kumteua CC wa Bunge.


Niwaulize wapinzani ni lini Magufuli alishawahi kujali kauli zenu.


Mmemusema Makonda wee,alijali?


Mmemusema Kalemani,alijali?


Na sasa mnausema uteuzi wa Katibu wa Bunge,atawajali?


Ifikie kipindi Upinzani mkomae na ajenda zenu wenyewe badala ya kurukiarukia za wengine ili tu msikike.


Najua Upinzani uko desperate to get any public limelight,wako tayari kusikika hata kwa kumsema Rais,ila anajali.


The Opposition is dying to be heard and for public sympatiy.


But at whose expense?


Magufuli amewarushia fupa la CC wa Bunge mmebweka,na kuhamisha mijadala yote.


Na najua mtasema wee,na kutishia kwenda kwa mahakama ya wananchi na ile iliyo chini CJ.


Na najua na leo atawarushia fupa jingine wakati wa uapishaji wa wateule na mtasahau ajenda zote mnazozipigia kelele ikiwemo uteuzi CC wa Bunge.


Kama kawaida baada ya hotuba yake leo mtaongea sana kwa wiki nzima.


But Does Magufuli care?

If it doesn't disturb your prayer, why bother?
 
Ni moja ya jukum la wapinzani. Japo wapinzani wetu wapo weak sana, chama tawala saivi kinaishi kwa nguvu ya vyombo vya dola tuu.

Wangekuwa weak wasingemiminiwa risasi 40
 
Back
Top Bottom