Makokomakoko27
Member
- Aug 5, 2017
- 80
- 39
M
Ona vitu wanavyo zungumza
Mara ooospika ameshindwa kuongoza bunge liwe na nguvu
Mara hoo anaurafiki kimapen na
......
Mara wazibe midomo.
Mara wajenge ukuta hewa.
Nendeni mererani mkaone ukuta wa kweli .
Mara walie na naibu spika.sasa wanalia na spika mwenyewe.mkapige magoti kwa dr slaa akutafutieni agenda.
Manake ya ufisadi mmenyang'anywa
Yaserikali legelege mmepokwa.hhaaaa kazi .kwelikweli.
Sasa huyo mlie mleta hadi leo ameleta agenda gani?
Mkubwa wamepoteza think tank lao 'dr slaa'hakuna tena wa kuumba agenda ye.nye mashiko.GreenCity hizi i.d fake tunazozitumia humu zisikudanganye.
Miye nimetoa huo ushauri kwa Upinzani nikiwaasa kuepuka kuwa bendera fuata upepo kwa kila fupa linalotupwa na Rais au Serikali.
Bali wakomae na ajenda kuhakikisha zinazaa kwanza matunda kabla ya kudandia nyingine!
Ona vitu wanavyo zungumza
Mara ooospika ameshindwa kuongoza bunge liwe na nguvu
Mara hoo anaurafiki kimapen na
......
Mara wazibe midomo.
Mara wajenge ukuta hewa.
Nendeni mererani mkaone ukuta wa kweli .
Mara walie na naibu spika.sasa wanalia na spika mwenyewe.mkapige magoti kwa dr slaa akutafutieni agenda.
Manake ya ufisadi mmenyang'anywa
Yaserikali legelege mmepokwa.hhaaaa kazi .kwelikweli.
Sasa huyo mlie mleta hadi leo ameleta agenda gani?