Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,386
It's my great honor to come before you, I trust you are doing brilliant this day..
Wana JF, ninapenda ku-share na nyinyi hili swala ambalo nimekuwa nikiliwaza wiki hii kwamba katika aspects zote za maisha ya binadamu lazima kuna vitu ambavyo tunakumbana navyo kwa pande zote mbili i.e postive and negative,
Mimi napenda ku-base kwenye negative kwamba je ni kweli kila kitu kinachokuja mbele yako ni kwaajili ya sababu maalum mbeleni au basi tu tunaunganisha matukio ili ku-justfy yale yanayotukuta???
Binafsi kuna mambo mengine naona ni "bad lucky" au kiimani naweza sema ni shetani/balaa/mikosi kwani sidhani kama kweli Mungu anakusudia kuturudisha nyuma na kutuvunja moyo kwa yale mabaya yanayotukumba..
Ningependa tujadili hili swala tukitoka nje kidogo "ki-imani" kwamba kwa atheists kama Kiranga yeye anaweza kuliona hili swala kwa mapana gani??
Lastly, Do you believe everthing happen for a reason??
Be Blessed abundantly..
Wana JF, ninapenda ku-share na nyinyi hili swala ambalo nimekuwa nikiliwaza wiki hii kwamba katika aspects zote za maisha ya binadamu lazima kuna vitu ambavyo tunakumbana navyo kwa pande zote mbili i.e postive and negative,
Mimi napenda ku-base kwenye negative kwamba je ni kweli kila kitu kinachokuja mbele yako ni kwaajili ya sababu maalum mbeleni au basi tu tunaunganisha matukio ili ku-justfy yale yanayotukuta???
Binafsi kuna mambo mengine naona ni "bad lucky" au kiimani naweza sema ni shetani/balaa/mikosi kwani sidhani kama kweli Mungu anakusudia kuturudisha nyuma na kutuvunja moyo kwa yale mabaya yanayotukumba..
Ningependa tujadili hili swala tukitoka nje kidogo "ki-imani" kwamba kwa atheists kama Kiranga yeye anaweza kuliona hili swala kwa mapana gani??
Lastly, Do you believe everthing happen for a reason??
Be Blessed abundantly..
Last edited by a moderator: