DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

Ndo maana mirembe imejengwa dodoma ili kuwahudumia wa2 kama nyie
 
Kwa kuwa mimi ni mwananchi mzalendo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nilitegemea kulelewa na serikali inayayoendeshwa kwa kufuata misingi ya uhuru,haki, udugu na amani!

Na kwakuwa misingi hiyo ingeweza kutekelezwa tu na serikali inayoendeshwa kidemokrasia chini ya Bunge lililoundwa na wawakilishi wa Wananchi,na mahakama inayosimamia isiyofungamana na upande wowote katika shughuli zake za utoaji wa haki bila upendeleo.

Kwa kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia sera zake,na kwa kuwa maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa duni,na kwa kuwa uhusiano wa wananchi umezidi kuwa wa mashaka,na kwa kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia taasisi nyingi zilizoko chini yake,Kwa kuwa Serikali hii imekuwa kama taasisi ya watu binafsi,kwa kuwa Serikali ya CCM haina Dira na imepoteza mwelekeo. Ni kwanini tunataka bado iendelee kuwepo madarakani...

Ni jambo gani ambalo wameshindwa kulifanya kwa miaka 50 ambalo wanaweza kulifanya tukiwapa iaka 50 minginge? Kwanini maisha ya Watanzania yaendelee kuwa ya majaribio?
CCM ya akina Ndugai,CCM ya akina Mwigulu,CCM ambayo hata wake za wakubwa wanasimama kama viongozi wa kitaifa,CCM ya wabadhirifu,wahujumu,wafanyabiashara wa mihadarati na Wawakilishi wa majibu mepesi kwenye maswali magumu! HAPANA...Iondoke tu! Ni makaburu wa akili tu wanaoweza kuishabikia CCM!
 
Kwa kuwa mimi ni mwananchi mzalendo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nilitegemea kulelewa na serikali inayayoendeshwa kwa kufuata misingi ya uhuru,haki, udugu na amani!

Na kwakuwa misingi hiyo ingeweza kutekelezwa tu na serikali inayoendeshwa kidemokrasia chini ya Bunge lililoundwa na wawakilishi wa Wananchi,na mahakama inayosimamia isiyofungamana na upande wowote katika shughuli zake za utoaji wa haki bila upendeleo.

Kwa kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia sera zake,na kwa kuwa maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa duni,na kwa kuwa uhusiano wa wananchi umezidi kuwa wa mashaka,na kwa kuwa serikali ya CCM imeshindwa kusimamia taasisi nyingi zilizoko chini yake,Kwa kuwa Serikali hii imekuwa kama taasisi ya watu binafsi,kwa kuwa Serikali ya CCM haina Dira na imepoteza mwelekeo. Ni kwanini tunataka bado iendelee kuwepo madarakani...

Ni jambo gani ambalo wameshindwa kulifanya kwa miaka 50 ambalo wanaweza kulifanya tukiwapa iaka 50 minginge? Kwanini maisha ya Watanzania yaendelee kuwa ya majaribio?
CCM ya akina Ndugai,CCM ya akina Mwigulu,CCM ambayo hata wake za wakubwa wanasimama kama viongozi wa kitaifa,CCM ya wabadhirifu,wahujumu,wafanyabiashara wa mihadarati na Wawakilishi wa majibu mepesi kwenye maswali magumu! HAPANA...Iondoke tu! Ni makaburu wa akili tu wanaoweza kuishabikia CCM!

Unajua idadi ya Madiwani na Wabunge Tanzania?
2015 hata mkipata wabunge 100, niko tayari kujiunga na hiyo SACCOS yenu.
 
Maswali ya kipuuzi yanahitaji majibu ya kipuuzi...nadhani unajaribu kupima tention za watu!
 
Wewe mwehu kweli hivi Dodoma kuna maendeleo kuzidi Mbeya na mwanza?
Nadhani ujinga uliofanywa na KUB mjengoni nisomo tosha kuwa CHADEMA hakuna watu bali viatu.
 
Wewe ni mwehu kweli hivi dodoma wamendelea kuliko Mwanza na Mbeya. Vitu vingine muwemunaangalia hata wakati mnatumwa. Tumieni akili zenu vizuri
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

We ni pimbi kabisa! Iweje mwanza, mbeya, Moshi waige Dodoma ili kupata maendeleo wakati Dodoma yenyewe ipo nyuma kimaendeleo ukilinganisha na hiyo mikoa?
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Wewe hujitambui miaka 50 wapo madarakan watu si wangeona huko moshi,mbeya na mwanza unakosema acha ushenzi
 
Diwani aliye katikati ya mji hata hivyo anatoka CHADEMA. Diwani wa Dodoma Makulu na Hombolo wote wanatoka CHADEMA. Zaidi sana mgombea wa ubunge CHADEMA 2010 jimbo la Dodoma mjini na ambaye hakufahamika kabisa kwa wananchi alipata kura zaidi ya 15,000 na kumkaribia sana mbunge wa CCM. Dodoma imebadilika sana ndugu yangu!
 
Kwa ambao hawajafika Moshi msidanganyike! Mjini hamna kitu, watu wanajenga mlimani! Wachaga waoga wa kukaa mjini!!

Watu wa Mbeya Sugu kawavua nguo jamani!!
 
huyu jamaa atakuwa yuko pale milembe anapata dawa. Mimi nimekaa Dodoma zaidi ya miaka 20. hivi karibuni nimehamia moja ya miji aliyotaja, Wakati nafika kila mtu ilikuwa shikamoo mzee, lakini sasa salamu ni habari yako mkuu. Nilipouliza mmoja aliniambia kuwa nilipokuja nilionekana mzee sana , makunyanzi tele ,lakini sasa ni kijana mwenzao. nilipokimbilia kioo nilishangaa, niliona sura ya mdogo wangu kwenye kioo kumbe ni mimi mwenyewe . Mizaa mingine bwana kama yako inakera sana. Baada ya kuwahurumia wenzako kwa kujaa mitaa ya nchi nzima kuombaomba we unafurahia !!!!!???!!.

Ha ha haa..
 
Kwa ambao hawajafika Moshi msidanganyike! Mjini hamna kitu, watu wanajenga mlimani! Wachaga waoga wa kukaa mjini!!

Watu wa Mbeya Sugu kawavua nguo jamani!!

Wewe huijui Moshi..acha uwongo
 
Back
Top Bottom