DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

Unaumwa tena upelekwe kcmc sehemu zoote ambazo chadema inaongoza wameendelea Anglia kaskazini walipo Anglia mwanza walipo Anglia mbeya walipo alafu linganisha na Dodoma japo ni mji mkuu na morogoro afuu utagundua umekurupuka wagogo maskini na hawana elimu ndiyo maana wengi wao wameishia kuomba omba na kawauzia watu wa kaskazini na wahindi sehemu nyet wao wamerudi vijijini bila shaka nawe elimu yako la saba na utakuwa mgogo ulienunua simu poleeeeeee.....
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA a.


Wanaipa ushindi kwa kuwa inawasaidia kuzalisha akina Matonya.
 
Yaani marembo kitengo cha vichaa ila vichaa lke mwenye thread wakiwapo moshi ccm lazima itashinda na lazima tujengewe marembe!
 
Miaka 50 ccm wamefanya nini zaidi zaidi ya umaskini
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Safi sana. Nani atachagua watu wazima wanaobebwa mzobemzobe kutolewa nje ya ukumbi baada ya kuleta mambo ya kitoto.
 
je unayo takwimu ya kiwango cha elimu kwa mkoa wa dodoma ? Kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
 
Kwa hiyo sasa hivi Dodoma kuna maendeleo...? Utayalinganisha na Moshi, Mbeya na Mwanza,...?

Atajuaje wakati hajawahi kusafiri. Kasoma shule ya msingi na sekondari ya kata hapo hapo Dodoma. Msamehe bure.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Akili ya maiti,kwa hiyo kwa mtazamo wako dom inamaendeleo kuliko huko ulikotaja?
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

You must be a house boy in one of members of parliament's houses in Dodoma. Poor you. Kwa hiyo unajiona umefika sana. Mtu mzima hovyo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
  • Kwa wakati tulio nao yatupasa kuwa tunachagua mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi na kuweza kuleta maendeleo kwa walio weni, na sio chama.
 
huyu jamaa atakuwa yuko pale milembe anapata dawa. Mimi nimekaa Dodoma zaidi ya miaka 20. hivi karibuni nimehamia moja ya miji aliyotaja, Wakati nafika kila mtu ilikuwa shikamoo mzee, lakini sasa salamu ni habari yako mkuu. Nilipouliza mmoja aliniambia kuwa nilipokuja nilionekana mzee sana , makunyanzi tele ,lakini sasa ni kijana mwenzao. nilipokimbilia kioo nilishangaa, niliona sura ya mdogo wangu kwenye kioo kumbe ni mimi mwenyewe . Mizaa mingine bwana kama yako inakera sana. Baada ya kuwahurumia wenzako kwa kujaa mitaa ya nchi nzima kuombaomba we unafurahia !!!!!???!!.
 
huyu jamaa atakuwa yuko pale milembe anapata dawa. Mimi nimekaa dodoma zaidi ya miaka 20. Hivi karibuni nimehamia moja ya miji aliyotaja, wakati nafika kila mtu ilikuwa shikamoo mzee, lakini sasa salamu ni habari yako mkuu. Nilipouliza mmoja aliniambia kuwa nilipokuja nilionekana mzee sana , makunyanzi tele ,lakini sasa ni kijana mwenzao. Nilipokimbilia kioo nilishangaa, niliona sura ya mdogo wangu kwenye kioo kumbe ni mimi mwenyewe . Mizaa mingine bwana kama yako inakera sana. Baada ya kuwahurumia wenzako kwa kujaa mitaa ya nchi nzima kuombaomba we unafurahia !!!!!???!!.
matonya
 
Back
Top Bottom