DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

Kuzalisha omba omaba wengi, na malaya kuhamia dodoma ndio MOSHI, MBEYA na MWANZA waige? shenzi wewe, umetukosea adabu sisi wa KOngwa...
 
Kuzalisha omba omaba wengi, na malaya kuhamia dodoma ndio MOSHI, MBEYA na MWANZA waige? shenzi wewe, umetukosea adabu sisi wa KOngwa...

Dodoma ya sasa sio ya zamani! Ila Kongwa ni janga la Taifa! Imekuwaje ukaishi huko.
 
>Dodoma hata ukienda kwenye ofisi ya waziri mkuu ni vumvi tu imejaa kwenye bati... Maskini dodoma bado nyumba ni za tembe tena ziko manispaa,,, moshi nzima hakuna nyumba yenye nyasi juu hata moja...

Je, umejaribu kufika kwenye ofisi za CHADEMA za Moshi na Dodoma ukaona matatizo lukuki??
 
kifasihi umeongea vyema sana!! message hii ya dhihaka iwafikie wana dodoma wote na waone wanachofanya!!

Kuna haka katimu
Ndugai - Kongwa!
Teu - Mpwapwa! na
Simbachawene - Kibakwe!
pamoja na nafasi walizonazo serikalini. hakuna walichofanya kabisaa!!

Tofauti ya Rombo na Mpwapwa ni ipi?
Tufikiri kwanza jamani!!
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Wewe sio wa kawaidg sijui wamekutoa lini pale Mirembe hospital mpaka ukapata nafasi ya kuchangia humu, nitakata rufaa urudishwe huko huko kwenye makazi yako unakostahili.
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

kapimwe akili
 
Wewe sio wa kawaidg sijui wamekutoa lini pale Mirembe hospital mpaka ukapata nafasi ya kuchangia humu, nitakata rufaa urudishwe huko huko kwenye makazi yako unakostahili.

Afadhali leo umejitahidi!
 
Mleta thread endelea kuota ndoto za mchana tuu....
 
Unajarbu kuambukza wenzako us*nge huna lolote CCM hampati tena
 
Back
Top Bottom