DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

>Dodoma hata ukienda kwenye ofisi ya waziri mkuu ni vumvi tu imejaa kwenye bati... Maskini dodoma bado nyumba ni za tembe tena ziko manispaa,,, moshi nzima hakuna nyumba yenye nyasi juu hata moja...
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

ifo mondo
 
Moshi hakuna wanachama wa ccm. .moshi kuna WANA-CCM FEKI ,kama dr.feki, trafick, polisi
 
Mimi nimeishi Moshi muda mrefu sana! Wachaga wanajenga vijijini, mjini kuna nyumba za zamani na za ajabu.

Dodoma kuna mabadiliko naishukuru sana CCM! Mwanza mtaharibu mji wenu bure kwa kuichagua CHADEMA msirudie tena!

Mbeya mjini kitendo alichofanya SUGU hakifanani na nyie kabisa, mlitoka nae wapi jamani. Mimi watu wa Mbeya nawajua sio hulka yenu ile.

N:B Chadema bado mnahitaji kujifunza siasa SAFI!
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.
teh teh, mkuu dodoma hali ni mbaya sana kimaendeleo, nenda kongwa, mpwapwa, kondoa, na kwingineko hali ni mbaya! Dodoma ni miongoni mwa mikoa maskini sana! Ccm ni janga, wananchi wa dodoma jiangalieni upya!
 
Nadhani ujinga uliofanywa na KUB mjengoni nisomo tosha kuwa CHADEMA hakuna watu bali viatu.
subiri mwaka 2015 uöne ccm itakavyogalagazwa, job ndugai aishie kuwarubuni watu wa kongwa na si kuligeuza bunge letu kama tawi la ccm!
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Nadhani ujinga uliofanywa na KUB mjengoni nisomo tosha kuwa CHADEMA hakuna watu bali viatu.

Kwani maendeleo hujui yanavyopimwa kijana??

Mimi nimeishi Moshi muda mrefu sana! Wachaga wanajenga vijijini, mjini kuna nyumba za zamani na za ajabu.

Dodoma kuna mabadiliko naishukuru sana CCM! Mwanza mtaharibu mji wenu bure kwa kuichagua CHADEMA msirudie tena!

Mbeya mjini kitendo alichofanya SUGU hakifanani na nyie kabisa, mlitoka nae wapi jamani. Mimi watu wa Mbeya nawajua sio hulka yenu ile.

N:B Chadema bado mnahitaji kujifunza siasa SAFI!

ccm ni wauza unga, majangiri, mafisad na wazembe wa kufikiri wapenda mipasho wazee wa kila aina ya uchafu. Hapa hakuna mwana CCM... Akimaliza JK muda wake sura halisi za watu hawa wanaoifagilia CCM mtandaoni itaonekana. Kuitetea CCM una hitaji kuwa na akili ya mwenda wazimu..
 
mmh kuharakisha maendeleo kama dodoma au? mara yangu ya kwanza kukanyaga dodoma sikutaka kuamini kuwa ndo ipo vile, nafikiri dodoma inaweza kuwa tatu bora kutoka mwisho kwa mikoa yenye maendeleo
teh teh, kwikwii!
 
Teh teh,kweli akutukanaye akuchagulii tusi, yaani idodomya ina maendeleo kweli? Wabunge wake eti ni kina Ndugai!
 
Napita nisije kula ban bureeee! Mleta mada, chunga sana maneno yatokayo kinywani mwako.
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Usitangaze ujinga ulionao humu jamvini.(Pia USIPENDE KUSEMA KILA UNALOLIJUA, BALI PENDA KUJUA KILA UNALOLISEMA) Huna maana yoyote!! Mwangalie!!!
 
Nikwasababu CCM iliwanyima elimu, na sasa wameamka, uchaguzi wa serikali vijiji vya Mphangwe na Mlongia CCM imepigwa chini kwa asilimia nyingi huko dodoma mwezi uliopita..
Kaka!!!!!
Huu uchaguzi wa serikali zq mitaa na vijiji umetoa very bad indication kwa CDM....
Mnajikaza tu kuendelea kujipa moyo ila ki ukweli imekula kwenu.
Umeyaona au kusikia matokeo ya JIMBO LA UBUNGO???
Ni aibu na ni uthibitisho kuwa aina ya siasa zenu hqzikubaliki kijamii.
Poleni kwani 2015 ndio mwisho rasmi wa SACCOS yenu
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.
CCM imeshindwa kuleta maendeleo kwa MIAKA 50,wataweza sasa(CCM IMESHINDWA KULETA MAENDELEO MCHANA KWENYE MWANGA WA MUNGU,ITAWEZA USIKU KWA MWANGA WA MZUNGU?).Eti Baba CCM haikutakata mtoni,inataka kutakatia bafuni,itaweza kweli,aaaaaaaaaah....CCM ni mnara wa BABERI ni lazima uanguke 2015.
 
Elewa Wagogo wengi ni vipofu ndo maana hawaoni uozo wa ccmmafisadi.
 
Hii Akili Maskini kweli kweli!!

Tusali

Nakuombea kwa
Mungu wangu akusaidie,muombe na wa kwako pia!

Akikusaidia uta okoa na wengine,Amen.
 
kifasihi umeongea vyema sana!! message hii ya dhihaka iwafikie wana dodoma wote na waone wanachofanya!!

Kuna haka katimu
Ndugai - Kongwa!
Teu - Mpwapwa! na
Simbachawene - Kibakwe!
pamoja na nafasi walizonazo serikalini. hakuna walichofanya kabisaa!!
 
inaonekana mtoa maada ni mtumiaji wa ile bidhaa ya masogange.
 
Back
Top Bottom