DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

DODOMA wameweza, MOSHI, MBEYA na MWANZA tuige!

sijawahi kuona mchaga ---- kama wewe.na nikikuchunguza hujalelewa na wazazi.Moshi unaweza fananisha na dodoma iliyojaa vumbi?
we kweli mlevi wa gongo

Hamna mchaga p u m b a f u
Huyu ni kitu ya Porini
 
Unatmani mkeo na mume wa jirani yako....Soma Amri za mwisho ktk Amri kumi alizopewa Musa.
 
......ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo...

wewe mpuuzi kwelikweli hebu linganisha maendeleo ya dodoma na huku unakosema moshi,mbeya,mwanza
ndipo utajua akilizako zilivyojaa tope
 
Dodoma ni Mji , tuache uongo huwezi kulinganisha na Mikoa Mingi ya Tanzania , mikoa mngi imejaa nyumba za tope , fika Ntwala, singia , Iringa , Mbeya . Karibu Dodoma uone acha ushabiki

Mkuu hata Moshi kuna nyumba nyingi sana za kiswahili. Mbunge wao hawaonyeshi njia kabisa.
 
Mengi alishasema, kuna watu inabidi wapelekwe milembe kwa nguvu.... ..hata huyu mwenye hii thread tumfanyie huo utaratibu
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

wewe umerogwa!!!!!!!
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Hivi Dodoma kuna maendeleo? Omba omba wote si wanatoka mkoa huo?
 
You must be a house boy in one of members of parliament's houses in Dodoma. Poor you. Kwa hiyo unajiona umefika sana. Mtu mzima hovyo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Possible.
 
Habari wana JF!
Ninafurahishwa sana na wapiga kura wa mkoa wa Dodoma kwa kuipa CCM ushindi kila chaguzi.

Natamani watu wa Mwanza, Mbeya na Moshi waige mfano huu ili kuharakisha maendeleo katika mikoa yetu hiyo.

CCM bado ndio chama IMARA Tanzania.

Kwani Mwanza, Mbeya na Kilimanjaro pia kuna wagonjwa?
Hayo maeneo yana watu wenye akili zao hivyo wako huru,
halafu umesahau Iringa Arusha ...........!
 
Kwa aina ya Mbunge wao hawana uwezo wa kujenga hospital kama ile. Iko kwa Mbunge makini na Naibu Waziri Mh. Mwanri.

nimekuita poyoyo nkafikiri hata utaelrewea kitu ile hospital ilijengwa kipindi cha ukoloni na ilikuwa mwaka.1938 na ziko mbili tu nchi nzima huyo mwanri alikuwepo ww ni mzigo kwa ccm moshi kama ni kiongozi
 
Aaaaah, kumbe unatamani. endelea kutamani mpaka pale utakapoona matamanio yako yakishindwa kutimia.
 
Back
Top Bottom