Mkuu ndiyo maana wanasema ni rahisi sana kututawala hata miaka 100..Comment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Labda ni jipya ila matairi kiparaDodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Sasa ulitaka ikae parking mpaka ioze. Acha mtanzania mwenzetu akaitumie. Hata kama angechukua bure ni sawa tu, hakuna mbaya.Comment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Kama life span yake imeisha ni sawa, pia inategemea gari ilinunuliwa ukiwa juu ya mawe au inatembea so kuna maelezo hayajanyoka. Bi kawaida gari kuuzwa baada ya muda fulani.Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Wewe ndiye wa ajabu-mbona 4.9 m ni nyingi maana ki uhasibu thamani ya hilo gari ni TZS 0.00Comment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Huyo Mkanwa Wilaya yake ya Mpwapwa ilikuwa haina maji muda mrefu akiwa Meya miaka 20 iliyopita, wakija wafadhili Wazungu anawakimbia 'maimuna' atajua kweli depreciation?. Anatafuta Kiki, magari mengi ya Serikali au taasisi za Umma ukitaka kufuata taratibu yote ni screpa.Kuna kitu kinaitwa depreciation... Inawezekana kwenye vitsbu tamani yke imeshafika 0 thus hio 4.9 ni income kwa halmashauri.
Comment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Watu wameona hakuna namna, kilichobaki ni kupunguza stress na hasira tu. Nchii hii ukiwa serious unajitesa bure, viongozi wote wapo bize na ishu zao, Unasababisha hasara ya 100 Bilioni unalipa 8 milioni. Wala sio wapumbavu, wamewadharau tu na hilo v8 halirudi sababu aliyenunua lazima ni mwana CCM.Comment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Hakuna cha ajabu hapo,ccm huwa wanajimilikisha tu awamu zote ndio hufanya hivyoDodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya