Walinyimana ganji haoHapo tozo ziendelee ili V8 mpya inunuliwe, maana hata Kama Ni kesi utasikia faini sh laki 5!
Yani unaweza kupasua cm utafikiri sio kod zaoComment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Kwani hiyo kamati hajui hiyo kanuniKwani principles za valuation za magari zinasemaje? Tusilete hisia.
Mwaka wa kwanza inapungua by 24%, miaka inayofuata inapungua by 15% kila mwaka. Lina miaka mingapi hilo gari?
Naona Mlibahatisha tena mkashinda 2-0 mane akibahatisha pia.La haula la kwata!
Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Wanunue mav8 mengine 😂😂😂
Wewe imekukaa sawa kwakuwa ulishatimuliwa?Siku ukitimuliwa unakolelewa na shemeji yako, akili itakukaa sawa!
Kabisa!!CCM mbere kwa mberee
Assume depreciation ya 10% kwa mwaka Ina maana baada ya miaka kumi bado value ingekua ova 10m.Kuna kitu kinaitwa depreciation... Inawezekana kwenye vitsbu tamani yke imeshafika 0 thus hio 4.9 ni income kwa halmashauri.
Bila Picture Ni Majungubila picha taarifa haijakamilika.