Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri kwa ajili ya Bunge kumdhibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania leo Novemba 13, 2025.
Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri aliwasilisha Bungeni ujumbe maalum kutoka kwa Mhe. Rais kuhusu uteuzi wa Waziri Mkuu leo Novemba 13, 2025.
Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni kwa ajili ya Waheshimiwa Wabunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania.
Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri kwa ajili ya Bunge kumdhibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania leo Novemba 13, 2025.
Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri aliwasilisha Bungeni ujumbe maalum kutoka kwa Mhe. Rais kuhusu uteuzi wa Waziri Mkuu leo Novemba 13, 2025.
Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni kwa ajili ya Waheshimiwa Wabunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania.