Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 64,083
- 114,518
me nilijua nipo pekee yangu...
Upo na mie....
yani nawapenda mfano hakuna
me nilijua nipo pekee yangu...
miss u
Trying your luck huh?
miss u
Hmmm.....
una taaluma ya udaktar?
Ndio....unaumwa?
naumwa ndio. unatibu nini na nini?
Maradhi yote....ila nimespesholaizi kwenye maradhi ya moyo
dah!! vipi maini na ma@kongosho hutibu?
Eli 79 Ni sawa na kusema eti ukiolewa na Mchumi mahiri na nyie uchumi wenu utakuwa mzuri kwa sababu ya weledi wake. Au ukiolewa na Banker basi mtakuwa mna pesa nyingi kwa kuwa mume amesomea kutunza pesa?!
Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.
İla hawa wamezidi, wakiwa shifti za usiku wanapigana miti ile mbaya. Nna ushahidi staki maswali
usijifiche sana! Jitahidi kutembelea hospitali kusalimia wagonjwa utawapata tuu!
Npo mbali mamy..nahangaika na maisha..ila heshima kwako sana Evelyn Salt..mambo mengine ntakupm..Nikija muhimbili ntakuchek doc au haupo hapo lol....
Ha ha ha mkuu Aspirin umefikiria mbali sana..ndo maana nkaweka neno kumuuona tu..!! Umenichekesha sana ..Hahahah tayari amekwisha anza. Jasiri haachia asili bhana....
Duh mkuu kwenye maua kabisa..!!?Tena kwenye maua ya hospital hata mimi ushahidi ninao, babu Asprin
Mkuu hayo yalikua mambo ya zamani hatubguani(machief mnisamehe) ila ilikua enzi zile kuna maclinical officer wengi na assistant medical officer wengi(AMO) lkn siku hizi ma -MD wengi hawafanyi hivyo..wengine hatutoi mimba kabisa yaani..hatutaki sikia hiyo kitu..Mimi nampa kabintspecial angalizo; akitaka kujua kuwa hawa Jamaa hawafai, a fanya uchunguzi kwa kufanya ifuatavyo;
Aende hospitali nyingi kwa kadri awezavyo ajidai kuwa ana mimba anataka kuitoa; hapo ndipo atajua kuwa hawafai hao jamaa.
Sharti uwe mzuri kabintspecial; ukiwa dunga embe hawatadhubutu. Lakini ukiwa mrembo 99% ya docs wote utakaowaeleza tatizo lako watataka papuchi kwanza ndio wakusaidie.
Hawataki cha miadi; utagegedwa pale pale kwenye kitanda cha kupimia wagonjwa.
Chezea Madocs weye