Doctors

Eli 79 Ni sawa na kusema eti ukiolewa na Mchumi mahiri na nyie uchumi wenu utakuwa mzuri kwa sababu ya weledi wake. Au ukiolewa na Banker basi mtakuwa mna pesa nyingi kwa kuwa mume amesomea kutunza pesa?!

Umeona eeh!! Eti banker akioa basi mtakuwa na pesa...watu wanalinganisha vitu vya ajabu sana!!!
 
Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.

Mimi nampa kabintspecial angalizo; akitaka kujua kuwa hawa Jamaa hawafai, a fanya uchunguzi kwa kufanya ifuatavyo;

Aende hospitali nyingi kwa kadri awezavyo ajidai kuwa ana mimba anataka kuitoa; hapo ndipo atajua kuwa hawafai hao jamaa.

Sharti uwe mzuri kabintspecial; ukiwa dunga embe hawatadhubutu. Lakini ukiwa mrembo 99% ya docs wote utakaowaeleza tatizo lako watataka papuchi kwanza ndio wakusaidie.

Hawataki cha miadi; utagegedwa pale pale kwenye kitanda cha kupimia wagonjwa.

Chezea Madocs weye
 
Mimi nampa kabintspecial angalizo; akitaka kujua kuwa hawa Jamaa hawafai, a fanya uchunguzi kwa kufanya ifuatavyo;

Aende hospitali nyingi kwa kadri awezavyo ajidai kuwa ana mimba anataka kuitoa; hapo ndipo atajua kuwa hawafai hao jamaa.

Sharti uwe mzuri kabintspecial; ukiwa dunga embe hawatadhubutu. Lakini ukiwa mrembo 99% ya docs wote utakaowaeleza tatizo lako watataka papuchi kwanza ndio wakusaidie.

Hawataki cha miadi; utagegedwa pale pale kwenye kitanda cha kupimia wagonjwa.

Chezea Madocs weye
Mkuu hayo yalikua mambo ya zamani hatubguani(machief mnisamehe) ila ilikua enzi zile kuna maclinical officer wengi na assistant medical officer wengi(AMO) lkn siku hizi ma -MD wengi hawafanyi hivyo..wengine hatutoi mimba kabisa yaani..hatutaki sikia hiyo kitu..
 
Back
Top Bottom