Doctors


WENGI malaya tu na walevi saaaanaa
 
aisee tuko tofauti, dr hanistui kabisa, bora mwanajeshi, tena kama ana nyota au komando mie hoi.

au injinia full mafiziksi na mamshimba mie ON kabisa, dr kutwa nzima sampo.zake K? Njawahi kabisa kutamani.

Hebu waambie bhana, mhandisi akiifanyia pamyuteshen na kombineshen K lazima ikubali kuwa intagretedi tena bila kujali limits. Sasa daktari kila siku anashika K mpaka anakosa apetaiti ya kuipa haki yake.
 
Kwani huo udokta ni ule wakusomea miaka mi5 au hata ukiwa na kasetifiketi ukavaa nguo nyeupe zile,utakuwa unazimikiwa tu?
 
usidhalilishe utu wako kwa nafasi aliyonayo mtu, then wewe una taruma gani mpaka utake daktari

Kiss Guy ni taaluma. Taruma ni lile chuma au mbao inayolazwa juu ya tuta la njia ya treni then reli inalazwa/kufungwa juu yake.
 

mie kabsa thy leave me breathless...huniambii kitu kwa hawa watu...
 
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.

Kama ulikuwa kwenye akili yangu,natamani Mungu anipe mume mwenye proffesionl hii.sijui kwa nn nawapenda!
 
Nadhani umejijibu mwenyewe dokta. Nina watu wa karibu ambao ni madaktari and they are horrible husbands and fathers!!!

Eli 79 Ni sawa na kusema eti ukiolewa na Mchumi mahiri na nyie uchumi wenu utakuwa mzuri kwa sababu ya weledi wake. Au ukiolewa na Banker basi mtakuwa mna pesa nyingi kwa kuwa mume amesomea kutunza pesa?!
 

Na ukiolewa na Mchungaji je? Maana nao wanavaa majoho meupe!!
 
yaani huwezi kuta doctor ananuka jasho,yaani utadhani wanaambizana cologne gani watumie..pili ongea yao tu..am dead ohhh ni wastaarabu sana...mambo yao ni straight..its either yes o no...yaani kudos to you guys
 
Na ukiolewa na Mchungaji je? Maana nao wanavaa majoho meupe!!

Hahaha kuna tofauti ya majoho na makoti, majoho japo ni meupe ila yapo km magauni na hayana vifungo yameshuka moja kwa moja. Yan kwamfano bahat mby japo sitegemei huyu niliye nae tukapishana, mtongozo utakao kuwa kwny shortlisted ni madaktari tu.
 
Hebu waambie bhana, mhandisi akiifanyia pamyuteshen na kombineshen K lazima ikubali kuwa intagretedi tena bila kujali limits. Sasa daktari kila siku anashika K mpaka anakosa apetaiti ya kuipa haki yake.

Jmn dr. kushika hiyo K haina uhusiano kbs na kupoteza hamu ya mke wake. Kumbuka zl K anazozishika zinakuaga gonjwa. Nymbn akikutana na ya wife isiyoumwa raha tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…