me ninayo kwenye nyonga a.k.a kwenye h.i.p.s.i ina light color kuliko color yangu. . . haina umbo kamili!
Madame B,Kama ndo hivyo na mimi nabisha ili unionyeshe
Me nikijiangalia sehemu nazoweza kuona sioni alama, cjui kwa upande wa nyuma mana cna kioo kikubwa cha kujitazamia.
Ohooow... I'd like to witness that.
my eyes wish to land on that area please charminglady
my eyes wish to land on that area please charminglady
my eyes wish to land on that area please charminglady
Umeshawahi kuwa manusura wa kifo?
Vua nguo,kisha muite House boy wako aje akuchungulie.
Afu mwaga data jamvini wapi una alama.
Eeeheeeee!! Sasa hzo ndo alama za freemason.. Mtu akizaliwa tu na ma basmaki ujue ni mwanachama asiyejijua wa firiimasoni.. Duuh! Kumbe na madame bi ni firiimasoni..??!!
Daaaah.... haya bhana..Duh mmenipa homwek hapa ngoja nikamuulize bi mkubwa kama na mi ninayo