Kwa kuongezea kaka MTM,Nitaomba kuuliza na kusema yafuatayo:
1. "REGULATORY BODIES AND REGULATORY FUNCTIONS" sijui kama kwa Tanzania tunaelewa kinachotakiwa wafanye (WAJIBU).Hapa nazungumzia zote na siyo za bei tu.
2. PRICE REGULATORY BODIES ZILIZOPO zinafanya kazi kwa maslahi ya nani?
Kila Agency iliyoanzishwa na kupewa hizi 'regulatory" functions kimsingi zinatakiwa kuwa na uelewa mpana wa sector husika na pia kujua vilivyo hadidu za rejea.Kazi kubwa ni kuhakikisha interests za pande zote zinahuishwa.Ubora vs compliance.
Kuna maeneo hizo bodies zinafanikiwa na mengine hazifanikiwi.Kuna mtu kagusia bei za nauli na hata mafuta - petrol, diesel etc. Hii sijui tutaielezea vipi. Je hizi bidhaa zina bearing yoyote katika uendeshaji wa serikali??Kwanini bei za bidhaa nyingine huyumba kutegemeana na soko linavyotaka? Kwanini bei ya umeme kwa mfano haiangalii kumpunguzia mwananchi mzigo na badala yake humwongezea au kumbebesha mzigo zaidi? Najua kuna mengi yatakayosemwa kwenye hili la umeme.
Oil can't easily be regulated,in order to regulate in a free market you have to subsidize,it's almost impossible to subsidize while you are poor,thats why free market in third world countries is so laissez faire.Tanzania spends 3mil USD a day on oil(hard earned dollars) and cant afford to distribute and sell at break even.With hydroelectricity going down,we become more dependent on oil as a source of energy,this is disastrous!
Every country on this planet needs oil and major reserves are declining at a rate of 4 to 6%.We need to be less dependent on oil and start investing on other forms of energy.
Tanzania has one of the lowest kwh price in subsaharan africa,and honestly electricity is almost subsidized in Tanzania.eg;We pay like 0.12$ per Kwh and US price is like 0.3$.So if we keep on depending on oil to run our generators,expect price hikes just bcos it's too expensive to generate electricity using oil.