Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

Mdondoaji,
Hapo kwenye bold ndipo kuna utata.Regulations kwa watanzania ni kumbana zaidi mlaji au hata muuzaji bila kuhakikisha ubora au value for money.Ndio sababu nikauliza hizi bodies ziko kwa manufaa ya nani?

" Consumer protection"bado ni kitendawili.

Naam swadakta na ndio maana nikasema Consumer protection board ni muhimu ili serikali ifahamu kuwa customer gets what they deserve. Miezi kama minne iliyopita nilienda kufanya shopping Mlimani City nikakuta Kiatu cha ngozi kinauzwa laki mbili na hamsini, nikajiuliza maswali mengi majibu sikupata nikaenda amazon US nikakuta kiatu kile kile cha laki mbili na nusu nikiagiza na kusafirishiwa mpaka Tanzania kitanigharimu si zaidi ya $60 tena wananiletea na DHL.

Ukitazama laki mbili na nusu ya madafu ni equal to $159.84

Mie nikinunua Amazon na usafirishaji = $60

Tofauti ni = $99.8 approximately $100

Je wateja wanapata value for their money?
 
Naam swadakta na ndio maana nikasema Consumer protection board ni muhimu ili serikali ifahamu kuwa customer gets what they deserve. Miezi kama minne iliyopita nilienda kufanya shopping Mlimani City nikakuta Kiatu cha ngozi kinauzwa laki mbili na hamsini, nikajiuliza maswali mengi majibu sikupata nikaenda amazon US nikakuta kiatu kile kile cha laki mbili na nusu nikiagiza na kusafirishiwa mpaka Tanzania kitanigharimu si zaidi ya $60 tena wananiletea na DHL.

Ukitazama laki mbili na nusu ya madafu ni equal to $159.84

Mie nikinunua Amazon na usafirishaji = $60

Tofauti ni = $99.8 approximately $100

Je wateja wanapata value for their money?
It depends on demand!....if you dont wanna buy it,go to amazon then,that whatr free market means,you cant regulate everything it's just impractical!
 
It depends on demand!....if you dont wanna buy it,go to amazon then,that whatr free market means,you cant regulate everything it's just impractical!

Hivi wewe una akili kweli? So a free market means you rip people off? Free market bila ya regulations umeiona wapi? Nipatie mfano wa nchi ambayo prices haziwi regulated nikuambie board zinahusika kuwa regulate. Wangapi wanawajua Amazon? Vp yule mwanakijiji anayeenda kununua sukari kwa shillingi 2000 wakati muuzaji amepunguza usambazaji maksudi kupandisha bei? By the way it also depends on the supply as well!!!!
 
Hivi wewe una akili kweli? So a free market means you rip people off? Free market bila ya regulations umeiona wapi? Nipatie mfano wa nchi ambayo prices haziwi regulated nikuambie board zinahusika kuwa regulate. Wangapi wanawajua Amazon? Vp yule mwanakijiji anayeenda kununua sukari kwa shillingi 2000 wakati muuzaji amepunguza usambazaji maksudi kupandisha bei? By the way it also depends on the supply as well!!!!
United states doesn't regulate shoe or clothing prices...now gimme the name of the board!
 
MBOWE:Tunampa rais siku tisa apunguze bei ya umeme na vyakula!Pia mafuta,viatu na nguo!
MASHABIKI:Yaaaa!ama sivyo hapatakalika!!!
......Get a life!!.......
 
United states doesn't regulate shoe or clothing prices...now gimme the name of the board!

Kobello ,

Baada ya vita kuu ya pili ya dunia na the Great Depression US walianzisha kitu kinaitwa OPA (Office of Price Stabilization) chini ya administration ya President Franklin Rosevelt. Hii ilifanya kazi ya kufatilia bei za vitu na kuhakika kuna kuwa usimamizi wa mfumuko wa bei. Hii ilidumu mpaka mwaka 1947. Baada ya hapo majukumu ya OPA yakahamishwa katika hii kitu kinaitwa FTC (Federal Trade Commission). Ambapo kazi yao ni kusimamia fairness in competition, prices and consumer protection. Ndani ya FTC kuna department hii na wanasema hivi:-
Bureau of Consumer Protection


The Bureau of Consumer Protection's mandate is to protect consumers against unfair or deceptive acts or practices in commerce. With the written consent of the Commission, Bureau attorneys enforce federal laws related to consumer affairs as well as rules promulgated by the FTC. Its functions include investigations, enforcement actions, and consumer and business education. Areas of principal concern for this bureau are: advertising and marketing, financial products and practices, telemarketing fraud, privacy and identity protection etc. The bureau also is responsible for the United States National Do Not Call Registry. Under the FTC Act, the Commission has the authority, in most cases, to bring its actions in federal court through its own attorneys. In some consumer protection matters, the FTC appears with, or supports, the U.S. Department of Justice.

Na kazi za OPA zilikuwa hizi:-

It became an independent agency under the Emergency Price Control Act, January 30, 1942. The OPA had the power to place ceilings on all prices except agricultural commodities, and to ration scarce supplies of other items, including tires, automobiles, shoes, nylon, sugar, gasoline, fuel oil, coffee, meats and processed foods. At the peak, almost 90% of retail food prices were frozen. It could also authorize subsidies for production of some of those commodities.

Kwahiyo Kobello hata wewe ukihisi unadhulumiwa report kwa hawa jamaa watachunguza na ikionekana kweli wanawapeleka mahakamani wauzaji. Taja nchi nyengine katika fikra zako ambayo hairegulate bei.
 
Kobello ,

Baada ya vita kuu ya pili ya dunia na the Great Depression US walianzisha kitu kinaitwa OPA (Office of Price Stabilization) chini ya administration ya President Franklin Rosevelt. Hii ilifanya kazi ya kufatilia bei za vitu na kuhakika kuna kuwa usimamizi wa mfumuko wa bei. Hii ilidumu mpaka mwaka 1947. Baada ya hapo majukumu ya OPA yakahamishwa katika hii kitu kinaitwa FTC (Federal Trade Commission). Ambapo kazi yao ni kusimamia fairness in competition, prices and consumer protection. Ndani ya FTC kuna department hii na wanasema hivi:-
Bureau of Consumer Protection


The Bureau of Consumer Protection's mandate is to protect consumers against unfair or deceptive acts or practices in commerce. With the written consent of the Commission, Bureau attorneys enforce federal laws related to consumer affairs as well as rules promulgated by the FTC. Its functions include investigations, enforcement actions, and consumer and business education. Areas of principal concern for this bureau are: advertising and marketing, financial products and practices, telemarketing fraud, privacy and identity protection etc. The bureau also is responsible for the United States National Do Not Call Registry. Under the FTC Act, the Commission has the authority, in most cases, to bring its actions in federal court through its own attorneys. In some consumer protection matters, the FTC appears with, or supports, the U.S. Department of Justice.

Na kazi za OPA zilikuwa hizi:-

It became an independent agency under the Emergency Price Control Act, January 30, 1942. The OPA had the power to place ceilings on all prices except agricultural commodities, and to ration scarce supplies of other items, including tires, automobiles, shoes, nylon, sugar, gasoline, fuel oil, coffee, meats and processed foods. At the peak, almost 90% of retail food prices were frozen. It could also authorize subsidies for production of some of those commodities.

Kwahiyo Kobello hata wewe ukihisi unadhulumiwa report kwa hawa jamaa watachunguza na ikionekana kweli wanawapeleka mahakamani wauzaji. Taja nchi nyengine katika fikra zako ambayo hairegulate bei.
Blaza! Trust me that is not a price regulating entity,it just promotes competition in the market,i.e making sure you get what you expected,if they said that was a genuine leather shoe and you came to find out it was fake leather....you call them and they take care of it,but if they said it was leather and they find out it was real leather...it dont matter how much you paid,thats not their problem......ooh and yes!I live in the states!
 
Hatuna. Na haiwezekani. Sera za World Bank na IMF zinasemaje kuhusu hayo?
Sisi ni wafuasi wa sera za mashirika hayo 100%.Lakini baya zaidi ni vikaragosi wa nchi wahisani kwa migongo wa investors wao.
Angalia tunavyo jikanyaga kwa tatizo la hadaa kuhusu upungufu /uhaba wa sukari!
Ingawa uhaba huu unaletwa na kupikwa na mafisadi wa hapa. Kimsingi fisadi hataki kupangiwa bei. Mafisadi wa hapa ni maboss wa serikali yako. So a big no !
 
Kama neno lilivyo free market, mazingira yetu hayaendani kabisa na free market kwa mifano tu;
Income za wafanyakazi private na public sector haziendani - hutegemei hawa watu washindanie same products services bila wengine kuachwa
Shule zetu primary (private) gharama zake zipo wazi na perfomance pia, kwa sababu future economy inategemea crop yao to run it.
Economic gap kati ya very poor na very rich ipo wazi, na inakuwa kila siku, hakuna anayejua hadi lini itaendelea hivi
Kwa sababu ya demand na wachache wenye uwezo, hata bei zikienda juu ipo fraction ya watu hawato feel ile pinch, what about the rest.
NWY, wazo langu kila government inajua weakness za watu wake, na inatakiwa kuziba zile nafasi kama itaangalia income au kuweka control ya prices, kuzuia au kukubali imports e.t.c, wazo langu hata kama sio board, we need some kind of regulation the market is unfair.:smash:
 
Blaza! Trust me that is not a price regulating entity,it just promotes competition in the market,i.e making sure you get what you expected,if they said that was a genuine leather shoe and you came to find out it was fake leather....you call them and they take care of it,but if they said it was leather and they find out it was real leather...it dont matter how much you paid,thats not their problem......ooh and yes!I live in the states!

Mkuu,

Inawezekana uko US ila pengine hufahamu your civil rights. Nakushauri soma hii kesi hapa niambie umejifunza nini? Unafahamu unfair inamaana kubwa sana moja wapo ikiwamo price fixing? Soma kesi hiyo uone watu walivyokaa viti virefu kujipongeza baada ya kulipwa mamilioni yao kutoka kwa huyo jamaa aliyewaumiza.

FTC Reaches Record Financial Settlement To Settle Charges of Price-fixing in Generic Drug Market

The Federal Trade Commission today approved a $100 million settlement with Mylan Laboratories, Inc., the largest monetary settlement in Commission history. If the settlement is approved by the federal district court, Mylan will pay the money into a fund for distribution to injured consumers and state agencies. The settlement would resolve the Commission's charges that four companies, including Mylan, conspired to deny Mylan's competitors ingredients necessary to manufacture two widely-prescribed anti-anxiety drugs, lorazepam and clorazepate. The companies also agreed to the entry of an injunction barring similar unlawful conduct in the future.
"Anticompetitive acts in the pharmaceutical industry potentially cost consumers millions of dollars in higher prescription prices. This settlement serves notice of the Commission's determination to pursue investigations of such behavior and to seek disgorgement of ill-gotten gains in appropriate cases," said Richard Parker, Director of the FTC's Bureau of Competition.
The proposed settlement resolves a complaint that the Commission filed in December 1998 seeking, among other things, a permanent injunction and disgorgement of profits the Commission alleged that Mylan and the other defendants had garnered from their illegal activity. Thirty-two State Attorneys General and the District of Columbia filed parallel actions. The FTC's proposed settlement resolves the States' claims as well. Combined with a settlement in a related suit between the defendants and certain private plaintiffs, Mylan's payments will roughly equal all profits earned from the conduct challenged by the Commission.
The Commission's Suit

The Commission's complaint charged that Mylan, Cambrex Corporation, Profarmaco S.R.L., and
Gyma Laboratories of America, Inc. carried out a plan intended to give Mylan the power to raise the price of generic lorazepam tablets and generic clorazepate tablets by depriving its competitors of the active pharmaceutical ingredient (API) necessary to manufacture each product. Generic drugs are identical versions of branded drugs and typically sell at a substantial discount from the price of the branded drug. Many companies that manufacture generic drugs purchase the API from a third-party.
Lorazepam is the generic form of Ativan, a highly prescribed anti-anxiety medication, and clorazepate is the generic form of Traxene, an anti-anxiety medication also used as an adjunct therapy for nicotine and opiate withdrawal. By early 1997, vigorous competition among generic manufacturers had driven down the prices of both lorazepam and clorazepate to very competitive levels.
Defendant Profarmaco, an API manufacturer, supplied Mylan and most of its competitors with lorazepam API and clorazepate API; Cambrex is the parent company of Profarmaco. Gyma Laboratories distributes Profarmaco's products in the United States.
In late 1997, the defendants entered into exclusive licenses that deprived Mylan's competitors of the API for lorazepam and clorazepate. Pursuant to those licenses, Mylan agreed to share the profits from its sales of lorazepam and clorazepate tablets with Cambrex, Profarmaco, and Gyma.
Without access to the API for lorazepam or clorazepate tablets, the Commission alleged, Mylan's competitors could not effectively compete for the sale of either product. Therefore, Mylan could and did raise prices approximately 2000-3000% depending on the bottle size and strength. For example, in January 1998, Mylan raised the wholesale price of clorazepate from $11.36 to $377.00 for a 500-count bottle of 7.5 mg tablets. In March 1998, Mylan raised the wholesale price of lorazepam from $7.30 to $190 for a 500-count bottle of 1 mg tablets. The Commission's December 1998 complaint, filed in the District Court for the District of Columbia, alleged that through its agreements with the other defendants, Mylan had earned an additional $120 million.
The complaint alleged that Mylan, Cambrex Corporation, Profarmaco, and Gyma violated the Federal Trade Commission Act by agreeing to restrain trade and conspiring to monopolize the generic lorazepam market and the generic clorazepate market. In addition, the complaint alleged that Mylan violated the Federal Trade Commission Act by monopolizing and attempting to monopolize those two markets. The Commission's authority to seek disgorgement under Section 13(b) of the Federal Trade Commission Act was upheld in a July 7, 1999 decision of the District Court.
The Proposed Settlement

Mylan will pay $100 million in disgorged profits into a fund to compensate injured consumers and state agencies. The State Attorneys General will distribute the fund to patients who paid the increased prices and to state agencies, including Medicaid programs, that purchased lorazepam and clorazepate while the licenses were in effect.
This settlement, when combined with the proposed resolution of private actions involving the same conduct, means that virtually all of the profits Mylan obtained through its allegedly unlawful conduct will be disgorged. In addition to the $100 million settlement, Mylan agreed to pay $8 million in attorney's fees to the State Attorneys General. Separately, Mylan will pay $35 million, plus $4 million in attorney's fees, to settle certain class actions with insurers and managed care organizations.
The defendants have also agreed to an injunction barring similar anticompetitive behavior in the future. The proposed ten-year injunction would prohibit any exclusive agreement on active pharmaceutical ingredients that harms competition or creates a monopoly. The proposed injunction would also prohibit, for five years, any exclusive agreements affecting the raw material for lorazepam or clorazepate tablets.
Under the proposed injunction, for five years, each defendant would have to give the Commission advance notice of any proposed exclusive agreement on any other raw materials. The proposed injunction excludes exclusive agreements related to the development of new branded or generic drugs.
The District Court for the District of Columbia must approve the settlement before any funds are disbursed. Consumers who believe that they were injured by the 1998 lorazepam and clorazepate price increases should contact the Attorney General of their State.
The Commission vote to accept the proposed agreement was 4-1, with Commissioner Thomas Leary dissenting in part and concurring in part.
In his statement, Commissioner Leary stated: "I concur without reservation in the underlying injunctive relief that bars defendants from entering into exclusive agreements similar to those that triggered this lawsuit. However, I am compelled to dissent in part from the financial aspects of the settlement because I believe they may create an undesirable precedent for antitrust enforcement at both the state and the federal levels."
Commissioner Leary added: "If the Commission approves the settlement in this particular case - based on the District Court rulings that we have helped to obtain - I believe it is essential that we somehow communicate our views on the appropriate parameters of the Section 13(b) remedy generally for antitrust cases. At the very least, we might indicate that the remedy will not be sought in cases where the violation is unclear and where private damage remedies are available and being pursued."
According to the Commissioner, "[a] particularly serious spillover effect of the federal court decisions in this case is the potential conflict with federal policy established by the decisions in Hanover Shoe, Inc. v. United Shoe Machinery Corp. and Illinois Brick Co. v. Illinois, and consistently maintained since that time.
"Illinois Brick and Hanover Shoe relied on broad congressional policies to define the recovery that federal antitrust law authorizes under Section 4 of the Clayton Act. While these decisions only involved Section 4, the reliance on federal antitrust policy suggests the Federal Trade Commission remedies should be applied consistently."
Leary concluded: "Illinois Brick has withstood frontal assaults for over 20 years. It would be ironic, indeed, if a barrier against indirect purchaser suits under a federal statute (Clayton Act Section 4) that specifically refers to monetary recoveries in antitrust cases could be so easily avoided by a backdoor approach under a statute (Section 13(b) of the FTC Act) that nowhere specifically authorizes monetary recoveries in antitrust cases and that was never so employed until very recently."
Chairman Pitofsky and Commissioners Anthony and Thompson issued a statement responding to the issues raised by Commissioner Leary. The Chairman and the Commissioners stated: "We agree with Commissioner Leary that the Commission should cautiously exercise its prosecutorial discretion to seek disgorgement in antitrust cases. Such relief is best reserved for cases, like this one, in which the defendants have engaged in particularly egregious conduct. Past history demonstrates that the Commission has used its ability to obtain disgorgement sparingly. The Commission's decision to seek disgorgement in light of the facts of this particular case, and its decision to use the settlement monies to compensate consumers who suffered the consequences of defendants' conduct, were entirely appropriate and consistent with the policy considerations raised by the Supreme Court in Illinois Brick."
 
Kama neno lilivyo free market, mazingira yetu hayaendani kabisa na free market kwa mifano tu;
Income za wafanyakazi private na public sector haziendani - hutegemei hawa watu washindanie same products services bila wengine kuachwa
Shule zetu primary (private) gharama zake zipo wazi na perfomance pia, kwa sababu future economy inategemea crop yao to run it.
Economic gap kati ya very poor na very rich ipo wazi, na inakuwa kila siku, hakuna anayejua hadi lini itaendelea hivi
Kwa sababu ya demand na wachache wenye uwezo, hata bei zikienda juu ipo fraction ya watu hawato feel ile pinch, what about the rest.
NWY, wazo langu kila government inajua weakness za watu wake, na inatakiwa kuziba zile nafasi kama itaangalia income au kuweka control ya prices, kuzuia au kukubali imports e.t.c, wazo langu hata kama sio board, we need some kind of regulation the market is unfair.:smash:
The question is,do we have price regulating bureau?....uh nope!...it's just impractical especially when you have a broke a** government!
 
MDONDOAJI,
Thats exactly what I said,MONOPLOY!(they monopolized the active ingredient),monopoly brings about unfair competition,and in free market you need competition.So actually that is vice versa to what you think!You can tag any price but don't deny other people access to the market! Try to understand the concept and don't just cut and paste!
 
MDONDOAJI,
Thats exactly what I said,MONOPLOY!(they monopolized the active ingredient),monopoly brings about unfair competition,and in free market you need competition.So actually that is vice versa to what you think!You can tag any price but don't deny other people access to the market! Try to understand the concept and don't just cut and paste!

KOBELLO,

Hakuna na wala hapata wahi kutokea kitu kinaitwa free market economy hii ni nadharia tu katika theory in practical it does not work. Hiyo kesi hapo waliwashitaki sio kwa monopolise soko bali price fixing na ukisoma chini wanakufafanulia. Unachotaka kusema US wauzaji wanajiamulia navyoifahamu mie hiyo land of opportunity (USA) watu wangelishindwa kuishi na kungelikuwapo na price hike ya juu kabisa. Ndio sababu za kuwapo sheria za competition, fraud na misrepresentations etc kuzuia watu wasijipangie tu mabei vile wanavyopenda wao.
 
KOBELLO,

Hakuna na wala hapata wahi kutokea kitu kinaitwa free market economy hii ni nadharia tu katika theory in practical it does not work. Hiyo kesi hapo waliwashitaki sio kwa monopolise soko bali price fixing na ukisoma chini wanakufafanulia. Unachotaka kusema US wauzaji wanajiamulia navyoifahamu mie hiyo land of opportunity (USA) watu wangelishindwa kuishi na kungelikuwapo na price hike ya juu kabisa. Ndio sababu za kuwapo sheria za competition, fraud na misrepresentations etc kuzuia watu wasijipangie tu mabei vile wanavyopenda wao.
Thats a fact,however free market siyo soko holela.Free market ni soko ambalo bei zina come across demand/supply BUT there should be regulations to assure fair competition between supply and demand.
Price fixing can be done by both suppliers and consumers and when the government "fix" the price,it does so on consumers side.This discourages supply and brings about economic chaos.
Theres free market in nordic countries,controlled by consumers,very suitable for Tanzania!
 
and about your case,price fixing is the main thing in monopolization.Thats the aim.like OPEC is here to fix price,period.But in the free market economy,the government just subsidize,remove tarrifs etc to "stimulate" the market.
 
Kwa bahati mbaya nasoma mada hii toka ktk simu lakini ningependa sana kusoma mawazo ya wenzangu kisha ndio nitoe mchango wangu lakini ndio haiwezekani..kumradhini.

Hivyo yanibidi kuandika tu mawazo yangu kulingana na hoja kama nilivyoikuta hapa.
Nasema - Tanzania inahitaji sana serikali kuweka regulations na yeyote anayepinga hili ni msomi anayenukuu maandishi au kasoma vitabu vya uchumi pasipo kuzingatia WATU na MAZINGIRA

Jamani ikumbukwe tu kwamba Marehemu waziri mkuu nd. Sokoine hakulianzisha zoezi la kukamata wahujumu uchumi out of blue...

Nakumbuka vizuri sana kilichotangulia ni ufichaji wa bidhaa muhimu kama sukari, matairi ya gereral tyre, mafuta ya kupikia,sigara na kadhalikavitu ambavyo vilikuwa vikitengenezwa hapa nchini..

Dhumuni la walanguzi lilikuwa ku create demand kubwa zaidi ya supply iliyopo Hivyo kimsingi ndipo bei ya vitu hivyo hupanda.

Siku zote tukumbuke kwamba ili demand na supply iweze kufanya kazi ipasavyo basi pasiwepo na uharamu wowote toka ktk uzalishaji hadi usambazaji ndipo tunaweza kuipata picha halisi ya demand ya kitu hicho sio wajanja fulani kuzua demand kwa kuficha bidhaa wakitegemea ukosekanaji wa bidhaa hizo utapandisha demand yake na hivyo bei ya vitu hivyo kupanda.

Free market economy haifanyi kazi hivyo hata kidogo, na wala sii kweli kuwepo kwa regulations ni Usocialist kwani Canada na nadhani nchi za Nordic wanazo regulations na price control.. Ni majuzi tu serikali ya Canada wametangaza kupanda kwa bei ya bidhaa nyingi, hivyo sidhani kama wao hawafahamu free market economy inavyotakiwa kuwa ila muhimu zaidi wanafahamumazingira waliyopo na ni Taifa gani wanataka kulijenga..

Leo hii wasomi wetu wanapinga hatua muhimu sana zinazotakiwa kuthibiti mirija inayowanyonya wananchi kwa sababu vitabu havikusema hivyo..Jamani mwee somo lolote la uchumi huandikwa kwa kuzingatia uhalali na usawa ktk mchakato mzima wa kibiashara baina ya mahitaji na usambazaji.

Leo hii sukari inaletwa nchini na kufichwa ktk maghala kwa sababu sukari inayozalishwa ndani haitoshi na pia ghali kuliko hiyo inayotoka nje. Na sii sukari tu karibu kila kitu nchini ni ghali sana kuliko kinachotengenezwa nje na ndio maana leo hii Tanzania ni nchi ya kuagiza mali,viwanda vyetu vinafungwa kutokana na gharama kubwa ya uzalishaji bidhaa ile ile..

Tanzania haina misingi bora ya uzalishaji, hatuna kabisaa.. Na kibaya zaidi hatujui ni Taifa la aina gani tunataka kulijenga zaidi ya kudai Amani na Utulivu, mfumo ambao hakuna ktk somo lolote la uchumi.
.
Hivi kweli kutokana na shida ya umeme iliyosababishwa na Tanesco au niseme serikali basi Tanesco wapandishe bei kwa sababu demand ya umeme ni kubwa?..
Kwa nini watu tunashabikia uzembe na ushenzi wa watu kwa kutumia elimu hali vitabu havisemi hivyo?

Leo hii kujaza mtungi wa gas ni ghalikuliko nchi yeyote ya Ulaya au America na saababu haifahamiki wala serikali hailitazami hilo. Nyumba zinakodishwa kwa kulipia mwaka mzima na kadhalika hii kweli ndio free market economy?.
Tanzania tuna kila sababu ya kuwa na regulations hadi siku tutakapoweza kuwa na uwezo wa kuzalisha,kusambaza sawa na mahitaji yanayotokea lakini sii kuunda demand ili kuuza kwa faida kubwa zaidi jambo ambalo limetufikisha kukubali bidhaa na madawa feki kwa sababu hatuna hila....
Nakuombeni mkumbuke sana Watu na Mazingira kwani kina Patel wanapenda sana kuwasomeni hivi pasipo kuwatazama wao na njama zao za kiuchumi..
Uhujumu Uchumi hauna nafasi ktk free market economy..
 
Mnabishana bure tu na hakuna muafaka.

Hizi Regulatory bodies ambazo Fareed ameshazitaja nyingi zinajiendesha kwa kwa levies ambayo supplier anailipa lakini mwisho wa siku consumer anabebeshwa zigo. EWURA wanakula pasenti kwa kila unit ya umeme, kila cubic metre ya maji n.k ambapo kwa akili ya kawaida organization kama hiyo itahitaji fedha za kujiendesha which is to say their earnings increases as prices go higher.
Sasa unatarajia EWURA wamwonee huruma mlaji ili wao wakose mafao?? Serikali imeziunda na kisha kuziacha zijiendeshe.

Wanaozungumzia body ya kumlinda mlaji wanapoint za msingi zaidi kuliko kutetea the so called price regulatory.

Jambo moja wengi mnalisahau ni kwamba nchi iko kwenye dilema, CCM hawaeleweki maana wanaamini kwenye ujamaa na kujitegemea huku wakitenda kibepari. Mara mia Chadema wanasema wao ni mlengo wa kati.

Ukija kwenye katiba ndo balaa inanza kwa madaha " SURA YA I: Jamhuri ya Muungano, Vyama vya Siasa, Watu na Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea"
3-1 inajinadi "Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya Kijamaa yenye kufuata mfumo wa vyama vingi"

We got to go back to the drawing board and re-draft our priorities, price regulatory bodies may not be an issue once we address what kind of a nation and/or a people we want!
 
What we need is:

1) True competition

2) Subsidy to the basic and necessary goods.

"Experience" inatufundisha kuwa "price control" na "regulatory bodies" hazina uwezo wa kupunguza bei bali bei huzidi.
 
Back
Top Bottom