Ernesto Sheka
Senior Member
- Oct 24, 2010
- 102
- 0
Qo we have a price regulatory board in Tanzania?If not;Can we have it in a economy which is not socialistic?
Swali:Tuna bodi ya kufuatilia bei za bidhaa Tanzania?Kama hapana;Tunaweza kuwa nayo katika uchumi usio wa kijamaa?
Isije kuwa yale ya kujadili mabadiliko ya katiba bila kuifahamu katiba au ahadi ya mgombea ya kudhibiti bei za bidhaa bila kueleza mikakati!
Mungu Ibariki Tanzania.
Swali:Tuna bodi ya kufuatilia bei za bidhaa Tanzania?Kama hapana;Tunaweza kuwa nayo katika uchumi usio wa kijamaa?
Isije kuwa yale ya kujadili mabadiliko ya katiba bila kuifahamu katiba au ahadi ya mgombea ya kudhibiti bei za bidhaa bila kueleza mikakati!
Mungu Ibariki Tanzania.