Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 891
- 4,154
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha mitandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii. my sister pokea ushauri
Anacopy au kupakua katuni na picha mitandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii. my sister pokea ushauri