Dkt. Slaa: Nilijiona ndani ya moyo wa Rais Magufuli

Flying under JPM Star..., kuna watu nadhani hawajaona hii Fursa.. JPM was a polarizing leader and a propaganda machine.... am sure wengine wengi watakuja kusafiria nyota yake.. Bila kusahau a dead man can do no wrong...

That's Politics 101
Nani asafirie nyota ya mwendazake,labda mwehu kama Sabaya na Makonda.
 
Kuna watu bado hawaamin kwamba Magufuli alikuwa anapendwa sasa ngoja uchaguzi ufike halafu atokee mgombea aseme yeye ataofuata nyayo za JPM uone shangwe Lake.
 
Nani asafirie nyota ya mwendazake,labda mwehu kama Sabaya na Makonda.
Nadhani hujui Politics..., JPM aliweza kuwagawa watu kuna waliompenda kindakindaki, pia zile propaganda zake ilionekana kwamba tulikuwa kwenye njia sahihi (na sababu ameondoka kabla ya muda) na walioingia kuna mambo yanafanyika inaonekana huenda alikuwa ana point na huenda alivyokuwa anasema tunaibiwa na sasa yanayotokea huitaji expert wa conspiracy theory kuonyesha kwamba JPM alikuwa anaongea ukweli (hata kama ilikuwa kweli au sio kweli); Hivyo wanasiasa watumia matukio wanaweza kusema zile ndoto na ile ahadi aliyowaahidi JPM mimi nitaitekeleza...,

Mfano issue ya Machinga haikuwa sustainable kwa muda mrefu kuendelea kubangaiza mitaani (wala haikuwa kuwatetea sababu kulikuwa hakuna sera ya kuboresha maisha yao na kuondokana na uchuuzi wao) ila wao waliamini hivyo kwamba huyo ndio anayewatetea na bila huyo wangeishi kama wakimbizi (sasa bado huoni kwamba kuna mtaji wa kura hapo)? By the time wanashituka kwamba hakuna kinachoendelea miaka mitano au kumi imepita amekuja kiongozi mwingine...

Hizo ndio siasa zetu piga uongo na Propaganda pata madaraka, fanya vitu vidogo vidogo vya kuonekana leo na sio muda mrefu hayo ya kesho muachie mwingine...
 
Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.

Fact fact fact
 
Aisee...huyu jamaa alikuwa anakula raha au karaha ?.......yaani akiamua kumtembelea mmoja mmoja kwa zamu anatumia takribani miezi 6 mpaka 7 kwa mwaka ili akamilishe mzunguko kisha aanze tena.


Hii biashara haramu inahitaji kujilipua kweli kweli ili kupunguza au kuitokomeza.

Hongera Dr. Slaa kwa kuipamba 'legacy' ya JPM na kuwakumbusha Watz mema ya aliyekuwa Rais wao wa 5.
Amatus Liyumba.
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.

Shukuru Mungu hujapigwa risasi mzee!
 
Hivi hawa wazee hua wanafeli wap jamaniii? si akafuge tu jamanii au hela zote Hua wanahonga tu? Mbona kina Mwandosya hawapo hivii? Kwa kweli Chadema ilimsitiri tu... Alikua anaihitaj Chadema kuliko hata Chadema inavyomuhitaji.... Mushumbusi kabeba hela zote anaanza kulia lia njaa 2.. Ningekua mimi ningetulia tulii nifuge nilime kidogo nitengeneze michongo ya mirad ya wafadhili mana alikua nchi nzuri tu kashindwa Kurd hata na mradi wa maji kijijini kwake?
 
Jamani kutoka ni kazi,nawaheshimu sana wale walio toka yaani kuuaga umasikini ila salute ka walio toka bila kuwa watumishi serikalini.

Hata ukiongea nao wana akili za ziada

Sasa huyu babu alionekana ametoka alipokuwa karibu na washika nchi ma ziara ya Canada Sweeden leo anakuja na njaa zilezile za akina polepole,

Alikuwa anamsifia mama sasa baada polepole kuipiga vijembe serikali akapata teuzi nae anataka kupita humohumo kapiga U-turn
Weee ni kichaaa hamtakaa mfute legacy ya Magufuli Kwa sababu ya ukabila wenu na uchu wa Madaraka.Magufuli ni icon ya uongozi uliotukuka kwa kizazi hiki cha nyoka itachukua mia
💯 kumpata rais aliyejali wanyonge
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Dr.Slaa umesema ukweli ngoja waje WAURU waanze kutukana
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Mbona hakusimamama kuyasema haya akiwa hai, yaonekana ana lake jambo kwa waliopo sasa
 
Weee ni kichaaa hamtakaa mfute legacy ya Magufuli Kwa sababu ya ukabila wenu na uchu wa Madaraka.Magufuli ni icon ya uongozi uliotukuka kwa kizazi hiki cha nyoka itachukua mia
💯 kumpata rais aliyejali wanyonge
Legacy inawapa msongo wa mawazo,yule ni rais kichaa haojawahi kutokea,alikuwaanafanya restructuring bila kufuata principle za uchumi,Kaumiza watu wengi sana
 
Back
Top Bottom