Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,638
- 40,853
Uzalendo ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoWe naye kichwa cha panz
Uzalendo ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoWe naye kichwa cha panz
Nchi hii kila mwanasiasa anayo bei yake, duniani pote ni binadamu wachache sana wasioweza kununulika.Atachezea virungu?
Bado mnaongea vitisho wakati mzee kasema yuko kwake ka chill ???
Dr Slaa has a ball and half, sio wa kutishwa na RC, tena Chalamila of all the people, Slaa alipanda kwenye uwanja wa mpira uswahilini kweupee, Mwembe Yanga Temeke, akawasamburua mawaziri wakuu na amiri jeshi na wakuu wa itifaki na usalama wa taifa, sembuse RC Chalamila ? Give me a freaking break....
Haswaa. "Ukinizingua, nakuzingua"Duh.........
Inaelekea sasa tumeingia katika kale kamchezo kanakosema piga nikupige!😀
we unadhani uko na mapoyoyo kama mlivyo kwenye ukoo wenu.ShitSana tena, wewe una kipi cha kushindana nae? Ushawahi kuwa hata monitor darasani?
Naona umeghadhibika, jibu maswali:we unadhani uko na mapoyoyo kama mlivyo kwenye ukoo wenu.Shit
Ongeza; marope: Huyu je, alikuwa anajielewa?Kwanini Dar hatakiwi mkuu wa mkoa anayejielewa?
Angalia hii list
Makonda
Kunenge
Makala
Chalamila
Ni Bora hata tukae bila mkuu wa mkoa.
Hizo kelele ni za kutafuta atupiwe ulaji, kama ilivyokuwa kwa yule aliyepewa ubalozi malawi na sasa yupo kuba.Dr Slaa kawageuka CCM pamoja na kula ugal wao uko ubalozin
Kama Dr. Mihogo?Nchi hii kila mwanasiasa anayo bei yake, duniani pote ni binadamu wachache sana wasioweza kununulika.
Toa utaahira wa ukoo wako hapa,huyo mama ana uhusiano gn na dpword?,Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Kwa kawaida kiongozi mjinga huteua wajinga wenzie,sio bahati mbaya chalamila kuwa rc darKumwita kiongozi mkuu wa mkoa aliyeaminiwa na mhe. Rais baada ya kufanyiwa vetting ya kutosha ni tusi kubwa sana. Slaa analazimika kumwomba radhi RC Chalamila.
Kwa nn aukatae?Alitakiwa aukatae ule uongozi aliopewa, hiyo ingempa credit kubwa sana
We hata huelewi, mtu kuwa mjinga ni tusi? Maneo ya lugha chafu aliyotoa ni yapi?Mzee Slaa bwana!!
ila haipendezi kwa mzee kutoa matamshi ya dharau na matusi.
uzee ni heshima na busara sio kutoa lugha chafu.
Sema wanakuwa wakuu wa mkoa Dar slam; atumike vizuriNa pia ukiwa mzee hustahili kuwa mnafiki. Unatakiwa utoe kauli zilizo nyoka. Chalamila is not a leader, ni comedian. Lakini kwa sababu nchi hii wale watu wa ajabuajabu, ndiyo wanaokuwa viongozi, basi na yeye yupo hapo.
Hapo ndipo tatizo lilipo; siku zote binadamu huwa ni mbinafsiKwa nn aukatae?