Dkt. Ndyanao Balisidia aliyeimbiwa mwimbo wa harusi na kaka yake Patrick Balisidia miaka ya 70

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1646539520335.png


Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.

Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.

Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.

Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.

 
dah hivi yule mtoto wake patrick balisidya ...white hivi naye mwanamusic aliacha kula ngada? alikuwa anakaa mikocheni
 
I take this girl to Hospita,If police come tell him,Chonya of Chilonwa me.Alisikika Chonya akiongea,Kisha watu wakasema,Unasema Mshamba unamuona anaongea Kingereza?Apumzike kwa Amani Ndyanao Balisidia.
Umenikumbisha mbali Sana, barikiwa Mkuu.
 
I take this girl to Hospita,If police come tell him,Chonya of Chilonwa me.Alisikika Chonya akiongea,Kisha watu wakasema,Unasema Mshamba unamuona anaongea Kingereza?Apumzike kwa Amani Ndyanao Balisidia.
Kwani alifariki lini Ndyanao Balisidya?
 
View attachment 2140540

Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.

Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.

Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.

Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.


Asante kwa historia nzuri...
Wimbo wa 'Kuoana ni jambo la sifa' huwa unanikumbusha mbali sana....
Thx
 
Harafu huyo amejaribu kufanana na wewe kwenye profile ya ID yako
 
Back
Top Bottom