Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Mbunge wa Kigamboni, Faustine Ndugulile ameuliza bungeni kuhusu mikakati ya serikali kufanya mapitio ya ada za usajili wa mifumo ya malipo(fintech apps) pamoja na mikakati ya kuboresha mazingira ya kazi kwa wabunifu wa malipo ya mtandao.
Zaidi ya hayo, ameulizia mpango wa serikali kuhurusu matumizi ya mfumo wa malipo wa Paypal ili kurahisisha malipo kwa vijana wajasiriamali wanaofanya kazi mitandaoni.
Zaidi ya hayo, ameulizia mpango wa serikali kuhurusu matumizi ya mfumo wa malipo wa Paypal ili kurahisisha malipo kwa vijana wajasiriamali wanaofanya kazi mitandaoni.