Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka. Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi. Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;
Umepewa mtego kuwa na mamlaka ya kufuta Kodi kama waziri wa fedha; walio nyuma ya ajenda hii wakishanufaika wewe utatolewa kafara na "narratives" zitatengenezwa ili uongekane hufai kwa chochote kile. Mawaziri wa fedha waliowahi kuwa na nguvu hii waliangushwa kwa aibu.
Sasa umejiingiza kwenye mkenge wa "watakatishaji pesa" kupitia bureaux de change. Nimekuona unazungza lakini uso wako hauna furaha kabisa.
Kama ni shinikizo jiuzulu ili historia ije kujitetea laa sivyo hiza nene mbeleni. Teta na Rais au jiuzulu mapema.
Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka. Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi. Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;
Umepewa mtego kuwa na mamlaka ya kufuta Kodi kama waziri wa fedha; walio nyuma ya ajenda hii wakishanufaika wewe utatolewa kafara na "narratives" zitatengenezwa ili uongekane hufai kwa chochote kile. Mawaziri wa fedha waliowahi kuwa na nguvu hii waliangushwa kwa aibu.
Sasa umejiingiza kwenye mkenge wa "watakatishaji pesa" kupitia bureaux de change. Nimekuona unazungza lakini uso wako hauna furaha kabisa.
Kama ni shinikizo jiuzulu ili historia ije kujitetea laa sivyo hiza nene mbeleni. Teta na Rais au jiuzulu mapema.