Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,386
Ww ndio unalialia kuhusu huyo Mwigulu, ndio maana nimekuta umwagize huyo Mwigulu auze yale madini mnayosema tunayo mengi, ili asitufanyie double taxation kwenye simu, na kuanzisha tena hizo Bureau de change.Jikite kwenye hoja acha kulialia