pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Changamoto zitatuliwe,
Muungano mbona mzuri tu faida kotekote
Au vipi au kuna upande unafaidika zaidi
Muungano mbona mzuri tu faida kotekote
Au vipi au kuna upande unafaidika zaidi
Hivi anafikiri ukali ndo unaleta tija?Huyu naye kila siku ntakuwa mkali mkali ashaiga tabia za mwendazake.
Watanzania tuna matatizo kibao, tatua kwanza ndiyo uje na hiyo mipasho yako.
Tena awe mkali kwelikweli. Kuuchezea muungano ni kosa kubwa
Kutembea na mkasi mfukoni.😀Bila Shaka Hajazijua
Anachosha sana na yeye.
Kila siku atakua mkali mkali kwani anamfokea nani?
Makamu ni wakutumwa tu
Ukali sio sifa ya kiongoz bora
Sawa ila tunataka muungano WENYE kutoa fulsa sawa,sio wazanzibar, sie tuwapende,lakini tukienda huko hatupati fulsa sawa kuanzia ajira,ardhi, na kupata nafasi za kisiasa,sie tulisha kubali kua ndugu,Sasa tupate fulsa sawa, so mh mpango anza na haya,Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa
Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Mpango hajui kazi za makamu wa Rais..
Makamu wa Rais hana uwezo wowote wa kucharukia mitazamo kinzani vinginevyo iatafitinishwa mpaka ataomba poohAkizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa
Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Mipasho!Upole ni tabia na ukali siyo sifa!
Tuhuma za kijinga hizo.Na mbaya zaidi sio mtanzania
Halafu jichunguze sana kama upo sawa kichwani huwezi ukawa unaunga mkono kila kitu kinacholetwa na viongozi wa ccm utakua una shida kichwani. Mtu aliyekamilika kifikra anatambua baya na zuri.jichunguze sana.Tena awe mkali kwelikweli. Kuuchezea muungano ni kosa kubwa
aff kweli tangu apewe ilo pande yeye kazi yake kufoka na vitisho tuAnachosha sana na yeye.
Kila siku atakua mkali mkali kwani anamfokea nani?
aff kweli tangu apewe ilo pande yeye kazi yake kufoka na vitisho tu
Huyu jamaa sijui vipi. Kwa mara ya tatu sasa on camera anairudia hii kauli ya “wanasema mimi mpole” and all that nonsenseMpango hajui kazi za makamu wa Rais..
Halafu jichunguze sana kama upo sawa kichwani huwezi ukawa unaunga mkono kila kitu kinacholetwa na viongozi wa ccm utakua una shida kichwani. Mtu aliyekamilika kifikra anatambua baya na zuri.jichunguze sana.