Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

Waachieni mashee hatutaki longolongo au tunaendelea kumshitakia Mungu,na nyinyi mtakufa kwa magonjwa yasiyojulikana hawa wansema moyo wengine corona.Mpaka Mashee watoke,kusemea maneno hayo unawapiga dongo mashee.mwenye akili analifahamu hilo.
 
Waachieni mashee hatutaki longolongo au tunaendelea kumshitakia Mungu,na nyinyi mtakufa kwa magonjwa yasiyojulikana hawa wansema moyo wengine corona.Mpaka Mashee watoke,kusemea maneno hayo unawapiga dongo mashee.mwenye akili analifahamu hilo.
We hujui makosa yao. Na ukipata muda tafuta video zao uone jinsi walivyokuwa wanachochea ugaidi na uasi. Wale mungu amewanusuru mimi sikupata URAIS ila ningekuwa Rais wale mafala ningewatoboa toboa kwa pini kama chujio kisha wanalazwa kwenye chumvi mpaka akili ziwakae sawa. Kisha mwisho nang'oa meno yao taratiiibu huku nawapoza na iodine solution. Ningehakikisha wale wanabanikwa wanakuwa kama samaki wakavu (NG'ONDA) kwa lugha ya kule Kusini.
 
Anachosha sana na yeye.

Kila siku atakua mkali mkali kwani anamfokea nani?
Halafu anajifanya Magu ......

Eti sitakubali.

Mpango wewe ni nani ???

Just a ceremonial post with no authority.

Huyu mtu ana umimi sana, asije kumroga bi mkubwa ili awe Rais.

Huwezi hata kuamrisha polisi, hao watu wa kuchezea muungano utawafanyaje wewe.

Hivi ukisema serikali haitakubali ........unakufa??
 
Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa

Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Mpango anavyoongea ni kama vile yeye ndiye rais...kazi ipo kwa kweli. Au hajui mipaka yake bado?
 
Halafu anajifanya Magu ......

Eti sitakubali.

Mpango wewe ni nani ???

Just a ceremonial post with no authority.

Huyu mtu ana umimi sana, asije kumroga bi mkubwa ili awe Rais.

Huwezi hata kuamrisha polisi, hao watu wa kuchezea muungano utawafanyaje wewe.

Hivi ukisema serikali haitakubali ........unakufa??
Jamaa mshamba sana. Bado ana hangover ya Chato
 
Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa

Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"

Ripoti ya CAG ya Jan-March isomwe kama rais alivyoagiza, mambo ya upole na ukali wake tutayajulia huko huko. Muungano ni mambo outdated, tuna mahitaji ya muhimu kuliko uwepo wa huo muungano.
 
Back
Top Bottom