rich gang
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,552
- 908
alafu police wanasema tuko salama kabisaNimetafakari sana namna watu wanavyojazwa khofu kubwa kwa sasa, mauaji ni mengi sana kila kona ya nchi yapo yanayoropitiwa kimkakati na mengine hayaripotiwi kimkakati, naomba kufahamu kwanini tunajazana khofu kwa kutoa uhai wa watu wetu?....