Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Hali hii imepelekea uongozi wa mamlaka ya bandari kufuta bandari kavu hii ni baada ya wafanya biashara kuikimbia.
Chanzo itv

Mapato yakoje? maana tunajua huko nyuma makontena na bandari kavu zilikuwa nyingi lakini mapato kidogo!
 
Ni bora kabisa ipungue, maana kumbe lile rundo la makontena lilikuwa haliwezi kodi, bora hata kubaki hata na kontena moja ila liwe linalipa kodi
 
Mamlaka ya Bandari nchini TPA imesema inakabiliwa na upungufu wa mizigo ambapo sasa kwa siku inahudumia magari 1500 tu tofauti na uwezo wake wa kuhudumia magari 3500 kwa siku yatokayo nje ya nchi na kuwa kutokana na hali hiyo hawawezi kupeleka magari kuhifadhiwa bandari kavu kwani hata yenyewe haina mzigo wa kutosha.(ITV)
 
Mutaita majina yote, mnayemwita dikteta uchwara ni mukombozi wa wengi, sasa majipu yanawiva, Kama muliziwea kuvuna kwenye shamba la bibi poleni sasa limewekwa kufuli sasa ni kazi tenda za kuiuzia selikali nyanya moja millions moja wakati nyanya zimetoka kwenye shamba la bibi umepita sasa ni kazi. Accept it and move on.
Hao watumbuaji wana majipu sehemu nyeti zao
 
Kweli bandari ilikuwa shamba la bibi. Pamoja na upungufu wote huo mapato yakapanda toka bilion 200 hadi bilion 517
 
Ukitaka kujua kuwa unafiki ni asili yetu,tafuta thread ya home shopping center kuingiza makontena bila kulipa ushuru.
 
Yasepe makwepa kodi hayo pumbav, sasa hv Tz sio shamba la bibi tena...!
Wewe ni mkurupukaji pia hujui lolote kuhusu biashara na miiko yake hivyo ni haki yako kujiona uko sawa kwa unacho kisema lakini mda utaongea na watu msio elewa na kutafakari kama wewe mtaelewa na kutafakari
 
Mwaka huuuuu tutakufaaaa
Noma kabisa....na mvua ikinyesha roboti la matope linaharibika,
Wakenya huwa wanapambana majukwaani lakini hawagusi uchumi wao.
sisi ili mtu apate sifa basi awachukie matajiri
Kuna bandari kibaooooo mombasa,beira au south afrika,ukizingua wanakumwaga,ona sasa wanaingia gharama kuunda timu ya kampeni kuwasaka wateja wakato mkuu alisema ambaye hataki bandari ya dar asijeei
 
Nina masikitiko makubwa sana kwa kufikia hapa tulipo fikia
Mmawia naomba unijibu: Wakati bandani inajaa meli na sasa ambapo haijai kuna tofauti gani katika maisha ya mtu wa kawaida? Mimi sioni. Meli zilipojaa ni kina Home Shopping walikuwa wanafaidi.
 
Back
Top Bottom