Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Mkuu magari yamefanya nini?

Hoja ya msingi ni hii:
Mapato yamepungua kwakuwa bidhaa nyingi zilikuwa zinatoka Uchina ambako upo mdororo wa kiuchumi, Sawa.
Lakini, Sehemu kubwa ya mapato ilikuwa Ina changiwa na uingizaji wa Magari Nchini,
Ambao taarifa za Ndani ni kuwa umeporomoka kupita maelezo,

Ina maana Gari nazo zinatoka Uchina?

Kuna mambo hayawekwi bayana.
Kwa sababu wanazozijua Wenyewe wahusika,
- Yetu Macho.

Nimejaribu kufafanua nilichokielewa mie.
 
Subiri na bandari ya Berbera ikamilike mtaona mashua za samaki tu maana hata Mombasa cha mtoto
Khaa ww cwez shushia ka gari kangu ka mkopo Somalia. Utaishia ku download picha online. Watu wakateke Wakasomemeze vitu vya mlipuko alafu kasukumiziwe kwa kina njoroge.
 
Nime vema kulipa kodi. Shida ni urasimu wa bandari ya dar...kwanza ukiwauliza mbona mzigo umefika mda na nilipia ila hautoki? Utaskia ohh kwanza inabidi uongeze kodi...ulichajiwa chini walikosea,,,, yaani utachukukia paka basi.
 


Tanzania traders ditch Dar port for Mombasa
Apr. 07, 2016, 5:00 am
By MARTIN MWITA @mwitamartin

A section of the Port of Mombasa

The Tanzania business community is gradually increasing its use of the Port of Mombasa citing too many bureaucracies at Dar-es-Salaam port.

An importer said Tanzanians are afraid of using their own port because of strictness, “where port management is afraid of making decisions for fear of annoying the presidency”.

The Tanzania Ports Authority staff are reportedly wary of an action by President John Magufuli, who sacked four senior officers including director general Awadhi Massawe and the authority’s board chairman Joseph Msambichaka in December.

The purge, said to “root out corruption and inefficiency at the port” saw at least 25 people sacked, including eight middle-level managers.

The slow decision-making has since been blamed for bureaucracies at the port handing over a brisk business to Mombasa, which is already clearing goods destined for Tanzania through the Single Customs Territory.

“More Tanzanian traders are now using Mombasa port to import their wares,” another importer told the Star.

The Kenya International Freight and Warehousing Association confirmed increased activities in clearing cargo destined for Tanzania.

“Things have changed because of the new systems in place which have made importing through Mombasa faster and better. People are coming to Mombasa,” Kifwa chairman for Mombasa region, Eric Gitonga said in a telephone interview.

The East Africa Online Transport Agency said its Tanzanian clients and investors are on a wait-and-see situation.

“Uncertainty in Tanzania’s political environment is one of the issues coming up in regional forums currently. People are slowing down on investments and imports in Tanzania,” said EAOTA marketing director Nyambura Gitonga.

Tanzania imports through Mombasa were 204,000 tonnes in 2015, up from 187,000 tonnes in 2014, Kenya Ports Authority data shows.

“Tanzania’s use of the Port of Mombasa is increasing,” said KPA principal communication officer Hajj Masemo. The management has noted increased transit volumes to the neighbouring country.

Kenya is banking on the newly opened Taveta/Holili One-Stop Border Post to increase its trade with Tanzania.

The OSBP commissioned on February 27, has reduced the time trucks take to be cleared from 33 hours to nine hours.

Total transit cargo to the hinterland through the Port of Mombasa increased by 8.2 per cent from 7.2 million tonnes in 2014 to 7.7 million tonnes in 2015.

Tanzania has three per cent share, with Mombasa serving mainly Northern Tanzania areas of Tanga, Arusha and Usangi.
 
Huo ni uingo live live,wafanyabiashara wengi wanaoagiza mzigo wa china sidhani ata kama wanataarifa hiyo ya kushuka kwa soko la china wai wanajua kununua na kuuza,...hii takwimu ni ya kusadikika tuu hakuna kitu kama icho.
 
Mm naamini na kupinga yoyite anayesema kwamba nchi inaweza kuendelea kwa kutegemea kodi pekee.Waseme huduma za jamii zitaimarika kama watu watalipa kodi.Tatizo la Wizara na TRA hawajiumizi kichwa katika kuongeza wigo wa walipa kodi na badala yake ni kuzidi kukamua hawa waliopo sasa.Matokeo yake lei incoming from investments za Mifuko ya hifadhi zinatwangwa withholding tax wakati sheria za Mifuko zinasema tofauti.Tena wanasema wafanyabiashara ndogo ndogo wasisumbuliwe na kodi.Nchi kama Malyasia hata mshona viatu analipa kodi na kuna Mfumo mzuri wa ufuatiliaji.Hapa kwety mtu ananunua mashati ishirini ya mitumba kwa mtaji wa shiringi elfu mbili.Anayapiga pasi na kwenda nayo mjini na huko anauza sbati mojashiingi elfu 15 mpaka 20 na kutengeneza shs laki nne.anarudi tena kununua mengine na kufanya yale yale na mnasema waachwe.kuna wauza mashati wangapi nchi nzima ? Ukirasimisha biashara za mama Ntilie nchi nzima na marching guys na wengine ukawatoza kodi kidogo tu.ni shs ngapi kwa wote.Ingekuwa mm ni mtunga sera,cha kwanza NIDA wamalize kazi yao ya kutoa ID kwa kila mwananchi na baada ya hapo kila sector ianze katika mifumo yake kutumia natio.al id kama identifier ya wananchi.ngoja niishie hapa kwa sasa
 
Magufuli anavyoendesha nchi tu ni sababu tosha ya mizigo kupungua, halafu mnalaumu China?

Sasa hivi hata mimi ningekuwa na biashara kubwa Tanzania na nina uwezo wa kuahirisha uzalishaji large scale kwanza niangalie upepo unavyoenda, ningeahirisha.

We nchi gani rais anaamka anakoroma anavyotaka bila hata aibu wala mpango?

Kama nina biashara na serikali Dar kwa nini uendelee kuwa na imani biashara itaendelea wakati serikali inahamia Dodoma ghafla bin vuu?

Kama unafanya biashara ya utalii na unahitaji kuagiza magari zaidi kwa nini uendelee kuagiza magari wakati unajua serikali imepandisha kodi kwa kuleta VAT kiholela hata kwa watu waliolipia safari zao kabla ya VAT kuwepo?

Ni kweli kuna global decline in shipping kwa sababu ya China. I read an article on this on The Wall Street Journal sometime in June or July of this year I believe. Lakini we usually do not register a blip on these trends according to a long time industry insider. Ni kama vile tumefulia kiuchumi kwa sababu zetu halafu tunasingizia global economic crisis wakati hatuna hata stock exchange wala export za maana to begin with

Magufuli is driving this economy aground. If he does not change, it will be only a matter of time before we face the music.

The Shipping Industry Is Suffering From China’s Trade Slowdown
 
Reactions: SMU
Dr Mpango taratibu anaanza kuchemsha.
Kama sababu za kukauka kwa mizigo bandarini anazotia ni hizo, basi tutegemee bandari yetu kuwa white elephant karibuni.

Dalili zote zinaonyesha inahitajika akili ya ziada kuongeza mapato kwa kuongeza mizigo kwa kuiongezea matumizi bandari yetu.
Statistics sawa lskini tunahitaji mtu wa ku think foward kurudisha heshima ya bandari yetu, maana tusiwe na mentality ya bandari kama geti la kodi tu.
 
Kaka umesema pointi ambayo siku zote nasema nalo ni tatizo. Waandishi wetu hakuna kitu cha maana wanachoandika ukakisoma ukakielewa, ni watu wa kucopy na kupaste tu hawafanya uchambuzi wa pumba na mchele, ili mradi wamesikia neno limetoka kwa mkuu basi wao wanaandika?
 
Ukweli wafanyabiashara hawapendi kulipa kodi, kama wameshindwa kufanya biashara hapa tanzania wapo huru kuondoka na kwenda kufunya nchi nyingine ambako watafanya ufisadi wao wa kutokulipa kodi.
Si kila wakati watu hubisha kufanya mambo bila ya sababu!
Mpango angewaita wafanya biashara na kuzungumza nao! Labda angejifunza mengi toka kwao pia!
Hizi mentality za kuona wafanyabiashara ni evils ni mbaya sana!
 
Si kila wakati watu hubisha kufanya mambo bila ya sababu!
Mpango angewaita wafanya biashara na kuzungumza nao! Labda angejifunza mengi toka kwao pia!
Hizi mentality za kuona wafanyabiashara ni evils ni mbaya sana!
"Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliyechangia senti kwenye kampeini uchaguzi uliopita"!
 
Khaa ww cwez shushia ka gari kangu ka mkopo Somalia. Utaishia ku download picha online. Watu wakateke Wakasomemeze vitu vya mlipuko alafu kasukumiziwe kwa kina njoroge.
Hahaha usiogope maana huko pametulia sio Mogadishu, ni Somaliland ambapo Dubai wametoa $449m kuijenga hiyo bandari.
Ila kuliendesha mpaka home itabidi ukodi vijana wa kisomali wakuletee hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…