Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,851
- 12,088
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akipokea ndege ya Abiria, Boeing 737-Max 9, leo Oktoba 3, 2023.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema bado kuna malalamiko ya wateja wa ATCL kuhusu huduma za usafiri ikiwemo kuahirisha safari au kusogeza mbele muda wa kuanza safari hasa kiwanja cha ndege cha Mwanza na vinginevyo.
Baada ya kupokea ndege hii mpya, matarajio ya watanzania ni kuona ATCL sasa inamaliza kabisa kero hiyo ya kuahirisha au kufuta safari.
Aidha, ameitaka Wizara ya Uchukuzi ifuatilie kwa ukaribu ubora wa huduma unaotolewa na ATCL.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema bado kuna malalamiko ya wateja wa ATCL kuhusu huduma za usafiri ikiwemo kuahirisha safari au kusogeza mbele muda wa kuanza safari hasa kiwanja cha ndege cha Mwanza na vinginevyo.
Baada ya kupokea ndege hii mpya, matarajio ya watanzania ni kuona ATCL sasa inamaliza kabisa kero hiyo ya kuahirisha au kufuta safari.
Aidha, ameitaka Wizara ya Uchukuzi ifuatilie kwa ukaribu ubora wa huduma unaotolewa na ATCL.