Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,351
- 6,477
Labda kwa mujibu wa PhD ya hesabu hakuna tofauti.Tafadhali aliye jirani / karibu na Mkurugenzi huyu wa NEC tena ( Poti wangu kabisa ) wa 'Kizanaki' aniulizie kwanini hii takwimu ya Idadi kamili ya Vituo vya Kupigia Kura nchi nzima inabadilika badilika?
Leo tumetajiwa ni 81,567 ila Wiki iliyopita niliona mahala sasa sijui ile 'Takwimu' aliitoa Yeye au labda hicho Chombo cha Habari cha Mtandaoni 'Kilikengeuka' ambapo idadi yake niliona ni 81,511. NEC wawe nalo makini sana hili.