SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
Mungu amekwisha mkataaAliyemwambia tunamchagua ni nani
Mungu amekwisha mkataaAliyemwambia tunamchagua ni nani
Hivi kwaakili yako unadhani JPM atashindwa uchaguzi!?Kapita kurudi kwako chato, hata kwa kuiba kura hapati kitu, kumbuka mwaka huu hakuna kumuachia Mungu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kwani Jiwe amewahi shinda uchaguzi gani? Tuanzie hapoHivi kwaakili yako unadhani JPM atashindwa uchaguzi!?
Endelea kuwa namatumaini mfu.
Chaguzi zote za Chato ubunge wa mwaka 2000 mpaka kwenye uchaguzi wa Urais 2015.Kwani Jiwe amewahi shinda uchaguzi gani? Tuanzie hapo
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yuko sahihi Magufuli.Hussein Mwinyi ni kijana muaminifu na anayejiheshimu sana.Sijawahi hata siku moja kusikia tendo lake lolote ovu tofauti ni wanasiasa wengi au watoto wengine wa marais wastaafu.Kiukweli anastahili zawadi ya Urais Zanzibar.He is just too good to be true.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema Waziri wa Ulinzi anauwezo mkubwa hata wa kupindua nchi kwa kuwa vifaa vyote viko chini yake
Aidha amemsifu Dkt. Hussein Mwinyi, ambaye ni mgombea urais Zanzibar kuwa alikuwa waziri wa Ulinzi kwa miaka 11 na hakuwa na tamaa ya kutaka kupindua nchi
Kutokana na sifa hizo amesema atapata wakati mgumu kumpata Waziri wa Ulinzi mwenye kaliba ya Dkt. Hussein Mwinyi kwa muhula wa 2020-2025
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni viwanja vya Mnazi Mmoja, Zanzibar
Chaguzi zote za Chato ubunge wa mwaka 2000 mpaka kwenye uchaguzi wa Urais 2015.
Alishinda na mpinzani wake mkuu Lowasa karudi nyumbani kama atakavyo rudi nyumbani Lissu hapo baadae.
Kweli hauko serious, huyu jiwe alishinda 2015????
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Jiwe hajawahi kushinda uchaguzi wowote, sema 2015 alitangazwa tu na tume. Hata humo ndani ya fisiemu hawezi shinda ndiyo maana ikawekwa fomu moja kukwepa aibu. Hata angewekwa ashindane na wewe lazima ungeshinda na wao wanalijua hilo.Alishinda na mpinzani wake mkuu Lowasa karudi nyumbani kama atakavyo rudi nyumbani Lissu hapo baadae.