Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,410
- 25,936
Awe na amani tu mzee wanguLabda ubinasfi, roho nyeusi kwa wengine, utendaji wa matamko, ubaguzi, kujenga chuki ndani ya chama... Nk.
Kama wapo wanaompenda watamchagua, hasipochaguliwa pia sio mwisho wa maisha