Mimi nitaanza chiniWala hata hakuna haja ya kujichosha kuangalia huko chini unamaliza tu hapo juu fasta.
Mimi nitaanza chiniWala hata hakuna haja ya kujichosha kuangalia huko chini unamaliza tu hapo juu fasta.
Dawa yake ni kugeuza karatasi, Lodi lofa na mwanae wanakuwa namba mojaHaitawasaidia. Namba 1 ingekuwa ni vyama vinavyoanza na A lakini Tume imeshinikizwa kuweka CCM kwanza! Na kuweka C nyingine mwisho kabisa (CHADEMA)! Haki iko wapi?
Utaweza unadhani ni kama kuficha ID YAKO KWENYE jfKisipoeleweka kuingia barabara I ni haki yetu ya kikatiba.
Ni wiki ijayo tu usiwe na shaka, haki isipotendeka tutaitafuta.Utaweza unadhani ni kama kuficha ID YAKO KWENYE jf
NEC wametumia vigezo gani CCM kuwa juu ya ACT-Wazalendo? Wafahamu kwamba sio kila kilicho juu ni kizuri!Haitawasaidia. Namba 1 ingekuwa ni vyama vinavyoanza na A lakini Tume imeshinikizwa kuweka CCM kwanza! Na kuweka C nyingine mwisho kabisa (CHADEMA)! Haki iko wapi?
Wao wenyewe walimtangaza Tundu Lissu baada ya kumcharaza risasi kama tembo. So usifikiri kuwa vijijini hawamjui !! UnajidanganyaHuyo Bibi Atakae Mpigia kura Tundu Lissu Nani mkuu ?
Ninyi wengi Mnamjua Tundu Lissu ikiwemo na hawa watu Robert Amsterdam, Jeffrey Smith, Pompoe, Maria Salungi Nk Ndio Maana mnawez kumuelezea vizuri Tundu Lissu
Watu wa Vijijini hawamjui Tundu Lissu wanamskia skia tuu juu juu
Lakini ukisema MAKUFULI hakuna asie Mjua Mzee
Lisu akifanya hivyo atakuwa hana tofauti na ccm inavyotudharau Watanzania....Lissu nae aanze kuhamasisha umma uweke tiki majina ya mwisho chini kabisa ya karatasi,...maana hili nalo ni rahisi sana kuona.........kila mbinu ya NEC na maccm itakwama..........hata biblia ilisema wa kwanza atakua wa mwisho..na wa mwisho atakuawa kwanza....huu uhalisia utajitokeza kwa lissu...kama muujiza wake wa kupona risasi 16...
Anafikiri kirahisirahisi hivyoMgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine
Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu
Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
Huna ubavu huo dogo usidhani nchi huwa inachezewa kama karata jaribu uone.Ni wiki ijayo tu usiwe na shaka, haki isipotendeka tutaitafuta.
Wakati wa kushinda umefika. TUTASHINDA ili kuwaokoa waTz wenzetu waliopotea huko CCMKaratasi ya kura ili iwe fair ilitakiwa ziwe randomly printed, yaani karatasi hii chama flani kipo juu, karatasi nyingine chama kingine kipo juu, completely random. Kuweka mtu moja juu ukimpa bibi kachoka anafungua karatasi anaweka tiki moja anaondoka unahisi ataweka chini kabisa au juu?
Ina maana hakutakua na haki!Huna ubavu huo dogo usidhani nchi huwa inachezewa kama karata jaribu uone.
HahahaHaitawasaidia. Namba 1 ingekuwa ni vyama vinavyoanza na A lakini Tume imeshinikizwa kuweka CCM kwanza! Na kuweka C nyingine mwisho kabisa (CHADEMA)! Haki iko wapi?
Mbumbu wewe unajifanya unajua lakini si lolote si chochote hata maisha yako ni ya kubangaiza tu.Lisu akifanya hivyo atakuwa hana tofauti na ccm inavyotudharau Watanzania.
Kwamba hatujui kusoma, kwamba kura tunapiga kwa maelekezo, kwamba huu ndio uchaguzi wa kwanza Tanzania, kwamba miaka yote huwa tunaoneshwa tupige wapi?
Mnaweza kutueleza na madiwani wenu wapo namba ngapi na wabunge?
Mambo ya kijinga kama haya yanafanyika kwenye Taifa lililojaa watu wasiojuwa kusoma na kuandika.
Nadhari elimu hii inahitajika zaidi huko Dodoma kulikojaa mambumbumbu.
Mkuu me kwa upande wangu nimeona iyo ni poa sana haita wachanganya mawakala wetu mkuu kila baya na wema wake apo wamejiloga 70% ya wapiga kura wa upinzani ni wale walio na elimu tofauti na wa ccm! Amini hakuna kituo CCM watapata kura 100Haitawasaidia. Namba 1 ingekuwa ni vyama vinavyoanza na A lakini Tume imeshinikizwa kuweka CCM kwanza! Na kuweka C nyingine mwisho kabisa (CHADEMA)! Haki iko wapi?
Kama unakaa kwa shemeji yako bwerere hapo buza utayajuaje ya vijijini?Huyo Bibi Atakae Mpigia kura Tundu Lissu Nani mkuu?
Ninyi wengi Mnamjua Tundu Lissu ikiwemo na hawa watu Robert Amsterdam, Jeffrey Smith, Pompoe, Maria Salungi Nk Ndio Maana mnaweza kumuelezea vizuri Tundu Lissu.
Watu wa Vijijini hawamjui Tundu Lissu wanamsikia sikia tuu juu juu
Lakini ukisema MAKUFULI hakuna asie Mjua Mzee
..kutokujua kusoma na kuandika kumekua mtaji mkubwa wa maccm kwenye chaguzi....wewe hujui hili ..ama unajifanya kutojua....na kama uko chadema na hulijui hili basi unachangia kwenye kupoteza kura zenu....jua kuwa huko vijijini kwenye wapiga kura wengi ignorance ndio mtaji wa maccm....hutaki unaacha...Lisu akifanya hivyo atakuwa hana tofauti na ccm inavyotudharau Watanzania.
Kwamba hatujui kusoma, kwamba kura tunapiga kwa maelekezo, kwamba huu ndio uchaguzi wa kwanza Tanzania, kwamba miaka yote huwa tunaoneshwa tupige wapi?
Mnaweza kutueleza na madiwani wenu wapo namba ngapi na wabunge?
Mambo ya kijinga kama haya yanafanyika kwenye Taifa lililojaa watu wasiojuwa kusoma na kuandika.
Nadhari elimu hii inahitajika zaidi huko Dodoma kulikojaa mambumbumbu.
Mimi ni mtumishi wa umma. Kura yangu siwezi kuipeleka kwa kiongozi dhalimu aliyenitesa kwa miaka mitano.
Nasema hadharani kwamba nitamchagua Tundu Lissu kwa maendeleo ya kweli.
Huyo dikteta akalime nyanya chungu huko Geita.
Baadhi ya vijiji wanamfahamu, wanamtambua kuwa ni yule anayetaka wanaume kwa wanaume waoane Kama ilivyo huko ulaya...kwenye baadhi ya vilabu vya pombe wanazungumzia Hilo na wanalaani Sana...Huyo Bibi Atakae Mpigia kura Tundu Lissu Nani mkuu?
Ninyi wengi Mnamjua Tundu Lissu ikiwemo na hawa watu Robert Amsterdam, Jeffrey Smith, Pompoe, Maria Salungi Nk Ndio Maana mnaweza kumuelezea vizuri Tundu Lissu.
Watu wa Vijijini hawamjui Tundu Lissu wanamsikia sikia tuu juu juu
Lakini ukisema MAKUFULI hakuna asie Mjua Mzee