beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Familia ya Hayati Dkt. John Magufuli imeiomba Serikali kuchunguza na kuchukua hatua dhidi ya watu waliojisajili mtandaoni kwa kutumia jina la Familia hiyo kwakuwa wanapotosha Jamii
Ngusa Samike ameeleza hayo kwa niaba ya Familia ya Hayati Dkt. Magufuli wakati akitoa neno la shukrani baada ya mazishi, ambapo amesema kumekuwa na taarifa zikizunguka kupitia mitandao
Video:
Ngusa Samike ameeleza hayo kwa niaba ya Familia ya Hayati Dkt. Magufuli wakati akitoa neno la shukrani baada ya mazishi, ambapo amesema kumekuwa na taarifa zikizunguka kupitia mitandao
Video: