Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine

45076859-040B-4525-AC5E-7FF6843110F4.jpeg


Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"

Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu

Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
 
JPM keshashinda leo kaomba "connection" ya wabunge na madiwani. Hakika anastahili mafiga matatu ili Amsterdam na vibaraka wake wachanganyikiwe
Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine

Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"

Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu

Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
 
Karatasi ya kura ili iwe fair ilitakiwa ziwe randomly printed, yaani karatasi hii chama flani kipo juu, karatasi nyingine chama kingine kipo juu, completely random. Kuweka mtu moja juu ukimpa bibi kachoka anafungua karatasi anaweka tiki moja anaondoka unahisi ataweka chini kabisa au juu?
 
Hahahh
Kushoto kulia, kushoto kulia
Wapo wanaopinga jitihada zako
Wanaona Aibu wanaogopa, wanaogopa

Sina Chama Lakini Nampa MAGUFULI
Siwezi kumpa Mtu kula akaweke rehani Madini Yetu
Mimi ni mtumishi wa umma. Kura yangu siwezi kuipeleka kwa kiongozi dhalimu aliyenitesa kwa miaka mitano.

Nasema hadharani kwamba nitamchagua Tundu Lissu kwa maendeleo ya kweli.

Huyo dikteta akalime nyanya chungu huko Geita.
 
Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine

Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"

Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu

Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
Ni jambo jema!
 
Karatasi ya kura ili iwe fair ilitakiwa ziwe randomly printed, yaani karatasi hii chama flani kipo juu, karatasi nyingine chama kingine kipo juu, completely random. Kuweka mtu moja juu ukimpa bibi kachoka anafungua karatasi anaweka tiki moja anaondoka unahisi ataweka chini kabisa au juu?
Haina tatizo, kokote watakapo elekezea kichwa, tunachinja tu! Wabibi na wababu hao wanaotegemewa ni asilimia chache tu ya wapiga kura! Ni vizuri pia CCM nao wakaokota kura chache hapa na pale, lakini Rais ni Lissu!
 
Karatasi ya kura ili iwe fair ilitakiwa ziwe randomly printed, yaani karatasi hii chama flani kipo juu, karatasi nyingine chama kingine kipo juu, completely random. Kuweka mtu moja juu ukimpa bibi kachoka anafungua karatasi anaweka tiki moja anaondoka unahisi ataweka chini kabisa au juu?
Huyo Bibi Atakae Mpigia kura Tundu Lissu Nani mkuu?
Ninyi wengi Mnamjua Tundu Lissu ikiwemo na hawa watu Robert Amsterdam, Jeffrey Smith, Pompoe, Maria Salungi Nk Ndio Maana mnaweza kumuelezea vizuri Tundu Lissu.

Watu wa Vijijini hawamjui Tundu Lissu wanamsikia sikia tuu juu juu
Lakini ukisema MAKUFULI hakuna asie Mjua Mzee
 
Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine

Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"

Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu

Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
#JPM is the best president ever
 
Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine

Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"

Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu

Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
NEC wametumia akili sana juu mpangilio wa wagombea.
 
Back
Top Bottom