stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,386
- 3,495
..kutokujua kusoma na kuandika kumekua mtaji mkubwa wa maccm kwenye chaguzi....wewe hujui hili ..ama unajifanya kutojua....na kama uko chadema na hulijui hili basi unachangia kwenye kupoteza kura zenu....jua kuwa huko vijijini kwenye wapiga kura wengi ignorance ndio mtaji wa maccm....hutaki unaacha...
magu ana followers 1M, lissu ana folllowers 150K, kwamba sisi 1M hatujui kusoma na kuandika ama? we unadhan tumefikaje mpaka kufollow page ya magu na tukaacha ya mbelgiji? acha dharau dogo! na hata ivo uchaguzi hamshindi hata mpigiwe kura na nchi mbili