Kwahiyo hajapandisha mishahara!Sasa mbona hapo anasema amepandisha mishahara???
Kama sielewi vile!
Huyo ndiyo Magu mara nimetembea ulimwengu mzima mara sijasafiri nje ya nchi isipokuwa nilipokwenda masomoni haelewekiKwahiyo hajapandisha mishahara!Sasa mbona hapo anasema amepandisha mishahara???
Kama sielewi vile!
Katika yote uliyo yaorodhesha hakuna hata moja linalo husiana na usawa. Mfano wa wafanyakazi kutoongezwa mishahara/kutopandishwa madaraja havihusiani na wanafunzi kukaa chini.Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwani na wewe ni mtumishi wa Umma?? Rais wangu ni yupi?? Unashindwa kulink mawazo ya ubongo wako na mdomo wako?? by the way siwezi kuwalalamikia kwa sababu hawajui ni wapi wadai haki zao na kwa wakati gani.Washaurini basi wafute hiyo sheria maana waliiweka wao, mbona unawalalamikia watumishi as if walijitungia hiyo sheria? Rais wako anavunja sheria wewe uko busy kumshangilia, Je unafahamu kuvunja sheria ni kosa?
Unajiita kipanga Lakini ni kiazi! Huelewi tu! Ngoja 2025 utakuwa unamlilia JPM. Maendeleo ya nchi yanaanzia katika infrastructures siyo kugawa pesa kama njugu. Huoni sasa kenya na wazungu wana mpiga vita kwa vile anaimarisha miundombinu?Wananchi hawataki wagombea ambao hawajui shida zao; wagombea ambao wanaonekana kipindi cha kampeni tu. JPM analazimisha wananchi kuchagua ccm kwa nguvu, haiwezekani.
Mwananchi jua wewe ndio mwenye nguvu kipindi hiki, zitumie nguvu zako vizuri kuleta mabadiliko.
Huyu mtu si mzima, fisiemu kazi mnayoMgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Viwanja vya ndege vinajengwa na kukarabatiwa nchi nzima na watumiaji wake ni mamilioni ya watanzania na wageni...UBINAFSI ni kuacha kuwapa motisha watumishi wa umma, na kwenda kujenga airport ya kimataifa CHATO kijijini kwa Raisi.
Kama anaona wafanya kazi wanammalizia hela zake si awafukuze wote ili awe ameokoa matrilioni mengi akamalizie miradi yakeNa ndiyo maana hayupo mfanyakazi wa nchi hii mwenye akili zake timamu kichwani, anaweza kumfagilia huyo magufuli kwa chochote.
Kiufupi tu hana faida kwa wafanyakazi wa nchi hii. Amejawa tu na dharau, kiburi, roho mbaya na ya kikatili, ubinafsi, unafiki, ubaguzi, nk. Nachelea tu kumuombea mabaya kwa sababu na yeye ni binadamu kama mimi! ila kiukweli anatuzingua sana wafanyakazi.
Huu ndiyo ukweli. Kazi kwenu watumishi
Mkiona wafanyakazi wanawamalizia hela zenu muwafukuze tuu wote ili muokoe matrilion mengi ili mkamalizie miradi yenuViwanja vya ndege vinajengwa na kukarabatiwa nchi nzima na watumiaji wake ni mamilioni ya watanzania na wageni.
Ni wengi kuliko hao laki tano na nusu walioajiriwa serikalini.
Uchumi endelevu unatazama mahitaji ya kila sekta.
Achana nae, siku nyingine unapojibu comment check kwa "upana" humu ndni utakuta phd holder anabishana na muuza maaandazi vijiweni. au mtu aliyefeli hata darasa la saba.Bila shaka wewe utakua na PhD ya kubangua karanga! Wote ni wale wale tu. Mnakua na mavyeti mengi halafu mnakua na uelewa mdogo kwenye mambo ya kawaida kabisa.
Je, unafahamu kitendo cha Rais wako kusitisha mchakato wa wafanyakazi kupanda madaraja yao kwa mujibu wa taratibu za kiutumishi, amesababisha mishahara kwa wafanyakazi kuto kutofautiana?
Yaani aliyeajiriwa mwaka 2014 na yule atakaye ajiriwa mwaka huu wa 2020, mshahara wao utafanana? Uonevu wa kijinga kabisa! Muwe mnamuelimisha huyo mtu wenu. Anazingua.
Mchague mwenyewe mm namchagua lisu, na mapenzi yakulazimishana kumpenda magufuli ifikie hatua mkomeMagufuli ni jembe, watumishi tumchagueni.
Tatizo la Magufuri ni kutotii sheria, kupandisha mfanyakazi daraja na mshahara ni takwa la kisheria. Sheria za kazi zinamtaka muajiri kutekeleza hill. Tukisema anaendeshi nchi kwa akili na mawazo yake bila kufuata sheria, maana yake ndiyo hiyo. Na rais aliye chaguliwa kisheria na na aka APA kuilinda katiba, anatakiwe kuiendesha nchi kwa kufuata sheriaBila shaka wewe utakua na PhD ya kubangua karanga! Wote ni wale wale tu. Mnakua na mavyeti mengi halafu mnakua na uelewa mdogo kwenye mambo ya kawaida kabisa.
Je, unafahamu kitendo cha Rais wako kusitisha mchakato wa wafanyakazi kupanda madaraja yao kwa mujibu wa taratibu za kiutumishi, amesababisha mishahara kwa wafanyakazi kuto kutofautiana?
Yaani aliyeajiriwa mwaka 2014 na yule atakaye ajiriwa mwaka huu wa 2020, mshahara wao utafanana? Uonevu wa kijinga kabisa! Muwe mnamuelimisha huyo mtu wenu. Anazingua.
Wafanyakazi watakumbukwa tu kwani umuhimu wao sio wa kuuliza, kinachoendelea kufanyika katika miundo mbinu Kina kwenda kuyagusa mpaka maisha ya wajukuu wa hao wafanyakazi.Mkiona wafanyakazi wanawamalizia hela zenu muwafukuze tuu wote ili muokoe matrilion mengi ili mkamalizie miradi yenu
Viwanja vya ndege vinajengwa na kukarabatiwa nchi nzima na watumiaji wake ni mamilioni ya watanzania na wageni.
Ni wengi kuliko hao laki tano na nusu walioajiriwa serikalini.
Uchumi endelevu unatazama mahitaji ya kila sekta.
Kuna dhambi gani mbuga ya wanyama na hoteli kuwa ni za bwana mkubwa?...chato airport na mbuga ya wanyama iliyoanzishwa ni kwa ajili ya hoteli ya bwana mkubwa aliyojenga huko.
..lakini kwa sasa hivi hakuna ndege inatua Chato airport.
Kuna dhambi gani mbuga ya wanyama na hoteli kuwa ni za bwana mkubwa?.
Kuna waliokatazwa kuwa na mbuga zao na hoteli
zao?.
Hizo mbuga zinawapa ajira wakenya na waganda na sio watanzania?.
Ukiombwa uweke ushahidi hadharani kuwa hizi ni mali zake binafsi unaweza kuuweka?...uwanja wa ndege, mbuga ya wanyama, na hoteli, ni kwa faidayake yeye sio, kwa faida ya waTz.