Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
hii inadhihirisha kuwa wana ccm wa leo ni wale wa enzi za tanu na afro shiraz part.


elimu elimu elimu.

tafuteni watu wakuwafundisha kujenga hoja kwani mnatia aibu mnajidhalilisha kabisa.mm huwa naamini wafuasi wa ccm ni vichaa.na comment yao inadhihirisha ilo.
 
Tukiwa na watu wenye weledi kama ww na kufanya uchambuzi wa mambo kama hivi naamini kuwa Watanzania wengi watapata uelewa na kufahamu mengi sana.

Mimi ni angazie suala la Bajeti nakumbuka Mh Magufuli wakati wa kampeni alikuwa anatuaminisha kuwa Tanzania ni Nchi tajiri tunaweza kufanya mabadiriko makubwa sana katika Uchumi wetu tukaubadiri kutoka ulivyo sasa kuja kuwa uchumi wa Viwanda, naamini hivi sasa kishaanza kujua kuwa jitihada zaidi zinahitajika ili Nchi ibadirike kutoka ilipo kwenda kwenye uchumi wa Viwanda.

Suala la makusanyo ya Kodi hadi hivi sasa naona lina suasua maana tulikuwa tunatangaziwa makusanyo kila mwezi, ila kwa sasa naona wamesimamisha kutangaza nafikiri ni baada ya kuonekana mapato yanashuka kila mwezi.

Tukubaliane tu kuwa tuna safari ndefu ya kujenga Nchi yetu si yeye pekee Mh Raisi kuwa ndiye atakaye tupeleka katika mafanikio ni Watanzania wote bila kujali Vyama, kabila,jinsia, ukanda wala dini ndiyo wenye jukumu hili.

Mungu ibariki Tanzania.
Mkuu ahsante! Ushauri mzuri. Shida iliyopo ni kwamba badala ya kupiga hata mbele ni Aisha tumesimama au tunarudi nyuma. Ingekuwa visiting kungekuwa na mashauriano kabla ya maamuzi mengi. Inavyoonekana ni kama mambo mango ni ya kukurupuka bile thinking through.
 
Tanzania tunao uwezo wa kukusanya hizo trillion 19 kama watu watalipa kodi....hivi hujui wanaolipa kodi hata milioni 4 hawafiki wakati Watanzania tuko Zaidi ya milioni 50?
Hongera, kwa akili yako kila mtanzania anastahili kulipa kodi bila kujali yuko chekechea, shule ya msingi nakadhalika, kwa kuwa tu sensa imesema tunakaribia milioni hamsini.
 
Tanzania tunao uwezo wa kukusanya hizo trillion 19 kama watu watalipa kodi....hivi hujui wanaolipa kodi hata milioni 4 hawafiki wakati Watanzania tuko Zaidi ya milioni 50?
Kwahiyo mkuu hao ambao hawalipi rais anawaogopa?
 
Naomba kuuliza hili la kuwa baadhi ya mawazo, kauli na matendo yanakuwa triggered na subconscious mind umelijua sasa au toka mwanzo...!?
Je waliomuweka hapo ikimaanisha chama chake wanalijua hili au vp..
mambo ya references za deep rooted neurosis recorded and stored on the subconscious mind ni very hard ku detect until ibapotokea a trigger mechanism. Hata ma psychopath huwa wako hivi.

Niliwahi kugusia jambo kama hili kwenye mada yangu kuhusu Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!.

Hivyo kuna mawazo, maneno, kauli na vitendo mnaweza kumlaumu mtu kumbe mnamuonea bure.

Paskali
 
Anaetucheleweshea maendeleo ni jecha salum jecha baada ya kufuta matokea ya uchaguzi zanzibar
Bila kujua matamko ya kurudia uchaguzi yanamaliza pesa za walipa kodi wanatumia pesa nyingi kuzuia chakula chao
 
mambo ya references za deep rooted neurosis recorded and stored on the subconscious mind ni very hard ku detect until ibapotokea a trigger mechanism. Hata ma psychopath huwa wako hivi.

Niliwahi kugusia jambo kama hili kwenye mada yangu kuhusu Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!.

Hivyo kuna mawazo, maneno, kauli na vitendo mnaweza kumlaumu mtu kumbe mnamuonea bure.

Paskali
Anyway unaeleweka , ila kwa bahati mbaya swali hujajibu. .
 
Umeongea mengi yenye ukweli lakini hapo pa kuwapigia magoti wazungu umevurunda mkuu...unamaanisha tuendelee kuwa tegemezi sio?...pumbaaaavu kabisa wewe.
 
Hata
Umeongea mengi yenye ukweli lakini hapo pa kuwapigia magoti wazungu umevurunda mkuu...unamaanisha tuendelee kuwa tegemezi sio?...pumbaaaavu kabisa wewe.
ukitukana bado tupo kwenye Mbekeko. hujamsikia BASHITE wa magogoni alivyofurahia pesa za W.Bank?, Means hatuwezi simama pekeetu.
 
Tuna andika sana embu tumuache afanye vile anataka tayari tumekula ngombe mzina let finish mkia 5 yrs ndio msema kweli
 
Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.

Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.

Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?

Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?

Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.
Enough......
 
Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.

Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.

Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?

Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?

Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.
Watu ka nyinyi si mfe tuuu
 
Umeme wa maji ndiyo umeme pekee wenye tija kwa nchi yetu.

Shida ya miradi ya hydro ni kwamba inatumia miaka mingi mno kuijenga, kiasi kwamba utawala unaouanzisha mara nyingi siyo ule utaoufungua. Pia miradi hii inahitaji kila mwaka mwekezaji azamishe hela bila ya kuonekana mafanikio. Kwa serekali kama zetu hizi hili ni tatizo kwani kila mwaka priority zinabadilka.

Solution ni miradi ya hydro ijengwe na sekta binafsi. Lakini huku nako unaktana na tatizo la kuwa mwekezaji wa aina hiyo lazima asite kuthubutu kuzamisha mabilioni ya dollar kwa mradi ambao mwisho wake mteja ni Tanesco. Tanesco hii hii ya maamuzi ambayo hayako balanced na inayoshaft watu iliypingia nayo mikataba (aka bob mazishi). Solution ya pili hapa ni kubinafsisha Tanesco na kutawanya majukumu yanayofanywa na Tanesco katika mafungu matatu;

I. Uzalishaji ufanywe na makampuni mengi binafsi
II. Usafirishaji ufanywe na kampuni moja kubwa
III. Usabazaji ufanywe na makampuni ya kiwilaya, yatayopitishwa na halmashauri husika na kupewa leseni na EWURA.

Nje ya hapo, tutabaki tunacheza na vimiradi vya majenereta ya mafuta na gesi.
Nimekuelewa kama ulivyokusudia
 
Back
Top Bottom