Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

At the end of the day atarudi naaneno mengi sanaa ya kusifia hiyo bajeti yake wakati in reality it's nearly impossible to achieve such a budget
Utalipa kodi wakati kipato huna.... We pimbi nini....!!!!! Alafu mijitu mingine sijui inafikiri kwa kitumia nini..!!!
 
Tanzania tunao uwezo wa kukusanya hizo trillion 19 kama watu watalipa kodi....hivi hujui wanaolipa kodi hata milioni 4 hawafiki wakati Watanzania tuko Zaidi ya milioni 50?
Kodi inatokana na mapato. Inawezekana hao milioni 4 ndio wenye mapato yanayostahili kukutwa kodi.
 
Thibitisha kwa utafiti ukioufanya wewe siyo quotations kibao bila kuonesha cha kwako, kufanya hivyo nikui-deceive akili yako mwenyewe.
 
Jicho langu halikupata kushuhudia maelezo mazuri kama haya!
 
Tatizo team milembe inaongozwa na mzee wa NGUVU KIFARU AKILI KISODA
 
Wewe inaonyesha ni kati ya zile appointments za mkulu kutoka kwenye mavyuo hasa lichuo la UDSM,,,,,, unachefua wewe sio mtoa mada,,,,,, ukweli ni uwezo wetu mdogo tunataka mambo makubwa... Trillion 12 na ushee ndio tunakusanya ndani,,, hizo Trillion 7 na ushee atatoa wapi? Pia kujishusha kwa wafadhili ni muhimu hakuna namna nyingine tunayoweza fanya kwa sasa.... Viwanda kama Arusha General Tyre,, Mufindi Paper Mills, Mwatex na vingine vingi vingeweza kufufuliwa kwa bajeti ya mwaka mmoja lkn hata hamlioni hilo,,,,, kilimo pembejeo kwa wakulima hakuna kabisa,,,,,, hivi wewe umemjibu mtoa mada unatokea wapi wewe?!!!?! Au ni bashite toka kolomije nini!? Useless kabisa........
Nenda kajikombe kwa wazungu wako. Sisi tunawataka waje kwa mambo ya ukweli. Unauliza hizo mil 7 atatoa wapi? Huu tu inaonyesha jinsi gani ulivyo mtu wa chini sana. Wewe endelea kuchoma mahindi huko nankulukulu.
 
Nenda kajikombe kwa wazungu wako. Sisi tunawataka waje kwa mambo ya ukweli. Unauliza hizo mil 7 atatoa wapi? Huu tu inaonyesha jinsi gani ulivyo mtu wa chini sana. Wewe endelea kuchoma mahindi huko nankulukulu.
Nakula keki ya taifa kwa uhakika kabisa lkn kwenye ukweli pasemwe,,,,,, nimekuuliza hizo 7 trillion kufikia 19 pato la ndani atatoa wapi, we unaniuliza tena mimi,,,, hizo kumi na mbili za wafadhili pia atatoa wapi kama si hao wazungu? Kabla ya kupinga hoja za watu muwe mnafikiria kutumia kichwa sio mda wote siasa zenu za mahaba niue,,, mtaolewa ndoa za mikeka,,,,, acha kuchefua akili za watu,,,,,,,, ukikaa na watu kama kina Daudi Bashite ndio mshee mawazo hayo mtaelewana kockup!!!!!!!
 
Nakula keki ya taifa kwa uhakika kabisa lkn kwenye ukweli pasemwe,,,,,, nimekuuliza hizo 7 trillion kufikia 19 pato la ndani atatoa wapi, we unaniuliza tena mimi,,,, hizo kumi na mbili za wafadhili pia atatoa wapi kama si hao wazungu? Kabla ya kupinga hoja za watu muwe mnafikiria kutumia kichwa sio mda wote siasa zenu za mahaba niue,,, mtaolewa ndoa za mikeka,,,,, acha kuchefua akili za watu,,,,,,,, ukikaa na watu kama kina Daudi Bashite ndio mshee mawazo hayo mtaelewana kockup!!!!!!!
Nikiendelea kubishana na wewe nitakutukana bure. Ngoja niishie hapa maana ahauna ulijualo. Kwa heli.
 
Thinking out aloud. If all deposits by all, regardless of source be charged 0.1% and no other tax, with majority of people having bank / mobile bank account, probably our government will have more than what it could spend on all developments.
Watu walipe kodi kwa kitu gani wanachoingiza?sekta zinazochukua watu mengi sio rasmi, mf mama lishe,machinga na wakwangua ardhi sijui ndio mnawaita wakulima.Wakupe kodi ipi kama sio kukamua damu kwa ng'ombe ambae hana maziwa!!Magu nchi imeinshinda[/QUOTE
 
Thinking out aloud. If all deposits by all, regardless of source be charged 0.1% and no other tax, with majority of people having bank / mobile bank account, probably our government will have more than what it could spend on all developments.
We now have Goods & Services Tax in India replacing 17+ other taxes resulting in ease of administration and possibility of much greater collection than before. And because the tax transactions are computerized, there is ease of compliance. Many more people now have bank / mobile bank accounts with Jan Dhan Yojana, etc. In time to come it is worth emulation in our country. But we also need strong action on obliging gold miners to prevent massive loss of revenue. We need committed local quality gold miners who can maximize and optimize mining of wealth from our uniquely richly endowed mother earth. As Wazalendo, if we have reverence for our mother earth, we shall do our best to optimize utilization of our natural resources. Organic farming maintaining and increasing quality of soil and Solar power generation being unlimited resource will also comprise preferred options.
 
Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
Wewe ni punga kweli.vyama vya upinzani ndio walipewa mamlaka ya kuongoza nchi?
Upinzani ni fikra,tambua hilo...shubamitiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom