Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.

Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.

Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?

Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?

Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.
 
Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.

Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.

Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?

Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?

Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.


Nailaani ccm kwa kuzalisha na kumtengeneza mtz jamii yako
 
Tanzania tunao uwezo wa kukusanya hizo trillion 19 kama watu watalipa kodi....hivi hujui wanaolipa kodi hata milioni 4 hawafiki wakati Watanzania tuko Zaidi ya milioni 50?
Wanalipa kodi kwa biashara zipi? Unaua biashara halafu utegemee kukusanya kodi kutoka wapi? Tuna rais wa hovyo sana
 
Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.

Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.

Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?

Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?

Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.
Kama unataka uchambuzi wa kusifia huu ujinga nenda Lumumba
 
Wanajamii amani iwe kwenu,
Mtakumbuka mara baada ya uchaguzi mkuu na kuanza rasmi kwa majukumu ya serikali ya tano ya hapa kazi tu, Raisi Magufuli alijiaminisha yafutayo:
1 . Yeye ndiye Raisi bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa kwa ujumla.
2 . Angeweza kuufuta Upinzania wa Tanzania kabla ya mwaka 2020 .
3 . Bajeti ya Tanzania (master budget) ingeweza kuendeshwa kwa pato la ndani pekee.
4 . Watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Mwl Julius Nyerere na Mzee Mfaume Kawawa
5 . Wana- CCM wa leo ni wale wa miaka ya TANU na Afro Shirazi Part (ASP)
.
Nafafanua:
YEYE NI RAISI BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.
Tuanze kwa kutazama Sifa za ndani (inborn) za kiongozi bora,
a) Stable brain----Smart leader must have a stable brain and shall not have a moving brain.
Kiongozi mzuri hapashwi kuwa na ubongo unaotembea na mwili (Bioview)
b) Dialogist ----- Smart leader is conversational in nature (Mtu wa mijadala kwa asili)
c) Bihemisphere - Smart leader must be multitasking (Mtu wa kufanya mengi kwa ufanisi)
d) Flexibility --- Smart leader shall not be dormant ( Anafanya yale anayoshauriwa na wengi)
e) Introvert ------Smart leader must be an extrovert Asiwe ni mtu wa kujifikiria yeye
na watu wake (Gangstor) lazima afijirie juu ya wenzake zaidi.

Je ukifanya ”a comparative analysis” Dk Magufuli anasifa gani kati ya hizo? Mimi sitaki Majibu kwa sasa, Tabia hizi mtu anazaliwa nazo na si rahisi kuzibadili au kuziondoa kwa muhusika.
WAZO LA KUUFUTA UPINZANIA WA TANZANIA KABLA YA MWAKA 2020:
Upinzani si mtu flani wala chama flani “ Upinzani ni fikra” Tatizo lake anaamini upinzani ni Freeman Mbowe, Prof Lipumba au Maalimu Seif , Tena Dk Magufuli anaamini eti ataumaliza upinzani hizi ni ndoto tena za mchana kweupe tena huotwa na wapuuzi tu.
Wenye fikra za upinzani wako CCM, JWTZ, TISS, MT, PT, hata Ikulu ya Tanzania wapinzani wako, wako kwenye kila idara ya serikali.
Nawala si ajabu kuna watu wako CHADEMA, CUF ,ACT-Wazalendo ila hawana fikra za Upinzani.
Kwa taarifa tu tangu Dk Magufuli aingie madarakani idadi ya watu wenye mawazo pinzani imeongeza maradufu , Maana yake upinzani umekua Tanzania bara na Visiwani.
Upinzani sio kadi za chama,wala magwanda ya kaki bali ni fikra“Ideology” Mtu anayetaka kuondoa fikra pinzani kamwe hawezi kufanikiwa kwa kumfunga Godbless Lemma (Mb) wala Peter Lijualikali(Mb) wala kwa mzuia Mzee Edward Lowassa kufanya mikutano .


BAJETI YETU (Master Budget) INAWEZA KUENDESHWA KWA PATO LA NDANI:
Bajeti iliyopita ya Dk Magufuli ndio bajeti mbaya tangu kuumbwa kwa Tanzania , Takwimu zinaonesha kati Trioni 29.5 zilizopangwa kutumika kama financial budget ya mwaka 2016/2017 ni asilimia 36.4% ilipatikana huku kwenye maendeleo ni 33% pekee ndio ilitekelezeka huku pato letu likiwa ni Trioni 12.24 sawa na 40.31% pekee.
Cha ajabu tena mwaka huu ametenga kwenye hakuna kiprolata Tsh 31.6 yaani Tr 32, Huku fedha za ndani ikiwa ni zaidi ya Tr 19 kitu ambacho hakipo na hakiwezekani . Huku akiendeleza kuagusha uchumi wetu kwa kukopa ndani zaidi ya tr 6 nakufanya deni la ndani kukaribia Tr 20. Magufuli sioni future ya hii serikali, Hapa najua wanauchumi mtanielewa vizuri.
Lazima tuwapigie magoti wazungu watusaidie na sisi tuimarishe democrasia inchini
.
WATANZANIA WA SASA SI WALE WA ENZI ZA MWL JULIUS NYERERE NA MZEE
MFAUME RASHIDI KAWAWA:

Watanzania hawa si wala wa enzi zile, lazima kama kiongozi usome alama za nyakati , Fanyia kazi mambo haya;
a) Swala la mkuu wa mkoa wa Dar-es saalam
b) Hali ngumu ya maisha kwa wananchi
c) Acha vyama vya siasa vifanye shughuli zao
d) Acha misigano na wazungu


“Msemakweli Mpenzi wa Mungu”
Tanzania is the only county we have
Mkuu Vugu Vugu thanks kwa A Good Analysis. Ila kufuatia hamasa ya rais wetu kuangalia kipindi kama cha Shilawadu then Watanzania wengi ni wafuatiliaji issues kama za Shilawadu, hivyo bandiko kama hili full packed with concrete issues, usitegemee kupata wachangiaji wengi.

Mimi nimemfanyia a simple psychoanalysis nikagundua kuna some traits of some deep rooted neurosis hivyo kuna baadhi ya mawazo, kauli na matendo yanakuwa triggered na subconscious mind. Kumlaumu ni kumuonea bure.

Paskali
 
Wanajamii amani iwe kwenu,
Mtakumbuka mara baada ya uchaguzi mkuu na kuanza rasmi kwa majukumu ya serikali ya tano ya hapa kazi tu, Raisi Magufuli alijiaminisha yafutayo:
1 . Yeye ndiye Raisi bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa kwa ujumla.
2 . Angeweza kuufuta Upinzania wa Tanzania kabla ya mwaka 2020 .
3 . Bajeti ya Tanzania (master budget) ingeweza kuendeshwa kwa pato la ndani pekee.
4 . Watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Mwl Julius Nyerere na Mzee Mfaume Kawawa
5 . Wana- CCM wa leo ni wale wa miaka ya TANU na Afro Shirazi Part (ASP)
.
Nafafanua:
YEYE NI RAISI BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.
Tuanze kwa kutazama Sifa za ndani (inborn) za kiongozi bora,
a) Stable brain----Smart leader must have a stable brain and shall not have a moving brain.
Kiongozi mzuri hapashwi kuwa na ubongo unaotembea na mwili (Bioview)
b) Dialogist ----- Smart leader is conversational in nature (Mtu wa mijadala kwa asili)
c) Bihemisphere - Smart leader must be multitasking (Mtu wa kufanya mengi kwa ufanisi)
d) Flexibility --- Smart leader shall not be dormant ( Anafanya yale anayoshauriwa na wengi)
e) Introvert ------Smart leader must be an extrovert Asiwe ni mtu wa kujifikiria yeye
na watu wake (Gangstor) lazima afijirie juu ya wenzake zaidi.

Je ukifanya ”a comparative analysis” Dk Magufuli anasifa gani kati ya hizo? Mimi sitaki Majibu kwa sasa, Tabia hizi mtu anazaliwa nazo na si rahisi kuzibadili au kuziondoa kwa muhusika.
WAZO LA KUUFUTA UPINZANIA WA TANZANIA KABLA YA MWAKA 2020:
Upinzani si mtu flani wala chama flani “ Upinzani ni fikra” Tatizo lake anaamini upinzani ni Freeman Mbowe, Prof Lipumba au Maalimu Seif , Tena Dk Magufuli anaamini eti ataumaliza upinzani hizi ni ndoto tena za mchana kweupe tena huotwa na wapuuzi tu.
Wenye fikra za upinzani wako CCM, JWTZ, TISS, MT, PT, hata Ikulu ya Tanzania wapinzani wako, wako kwenye kila idara ya serikali.
Nawala si ajabu kuna watu wako CHADEMA, CUF ,ACT-Wazalendo ila hawana fikra za Upinzani.
Kwa taarifa tu tangu Dk Magufuli aingie madarakani idadi ya watu wenye mawazo pinzani imeongeza maradufu , Maana yake upinzani umekua Tanzania bara na Visiwani.
Upinzani sio kadi za chama,wala magwanda ya kaki bali ni fikra“Ideology” Mtu anayetaka kuondoa fikra pinzani kamwe hawezi kufanikiwa kwa kumfunga Godbless Lemma (Mb) wala Peter Lijualikali(Mb) wala kwa mzuia Mzee Edward Lowassa kufanya mikutano .


BAJETI YETU (Master Budget) INAWEZA KUENDESHWA KWA PATO LA NDANI:
Bajeti iliyopita ya Dk Magufuli ndio bajeti mbaya tangu kuumbwa kwa Tanzania , Takwimu zinaonesha kati Trioni 29.5 zilizopangwa kutumika kama financial budget ya mwaka 2016/2017 ni asilimia 36.4% ilipatikana huku kwenye maendeleo ni 33% pekee ndio ilitekelezeka huku pato letu likiwa ni Trioni 12.24 sawa na 40.31% pekee.
Cha ajabu tena mwaka huu ametenga kwenye hakuna kiprolata Tsh 31.6 yaani Tr 32, Huku fedha za ndani ikiwa ni zaidi ya Tr 19 kitu ambacho hakipo na hakiwezekani . Huku akiendeleza kuagusha uchumi wetu kwa kukopa ndani zaidi ya tr 6 nakufanya deni la ndani kukaribia Tr 20. Magufuli sioni future ya hii serikali, Hapa najua wanauchumi mtanielewa vizuri.
Lazima tuwapigie magoti wazungu watusaidie na sisi tuimarishe democrasia inchini
.
WATANZANIA WA SASA SI WALE WA ENZI ZA MWL JULIUS NYERERE NA MZEE
MFAUME RASHIDI KAWAWA:

Watanzania hawa si wala wa enzi zile, lazima kama kiongozi usome alama za nyakati , Fanyia kazi mambo haya;
a) Swala la mkuu wa mkoa wa Dar-es saalam
b) Hali ngumu ya maisha kwa wananchi
c) Acha vyama vya siasa vifanye shughuli zao
d) Acha misigano na wazungu


“Msemakweli Mpenzi wa Mungu”
Tanzania is the only county we have
Mkuu watu kama wewe ni wachache sana katika nchi hii.
Asante kwa uchambuzi mzuri
 
Mkuu Vugu Vugu thanks kwa A Good Analysis. Ila kufuatia hamasa ya rais wetu kuangalia kipindi kama cha Shilawadu then Watanzania wengi ni wafuatiliaji issues kama za Shilawadu, hivyo bandiko kama hili full packed with concrete issues, usitegemee kupata wachangiaji wengi.

Mimi nimemfanyia a simple psychoanalysis nikagundua kuna some traits of some deep rooted neurosis hivyo kuna baadhi ya mawazo, kauli na matendo yanakuwa triggered na subconscious mind. Kumlaumu ni kumuonea bure.

Paskali
Uko sahihi kabisa mkuu vijana wengi wa kitanzania hawazitendei haki akili walizopewa na Muumba.
 
m
Wanajamii amani iwe kwenu,
Mtakumbuka mara baada ya uchaguzi mkuu na kuanza rasmi kwa majukumu ya serikali ya tano ya hapa kazi tu, Raisi Magufuli alijiaminisha yafutayo:
1 . Yeye ndiye Raisi bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa kwa ujumla.
2 . Angeweza kuufuta Upinzania wa Tanzania kabla ya mwaka 2020 .
3 . Bajeti ya Tanzania (master budget) ingeweza kuendeshwa kwa pato la ndani pekee.
4 . Watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Mwl Julius Nyerere na Mzee Mfaume Kawawa
5 . Wana- CCM wa leo ni wale wa miaka ya TANU na Afro Shirazi Part (ASP)
.
Nafafanua:
YEYE NI RAISI BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.
Tuanze kwa kutazama Sifa za ndani (inborn) za kiongozi bora,
a) Stable brain----Smart leader must have a stable brain and shall not have a moving brain.
Kiongozi mzuri hapashwi kuwa na ubongo unaotembea na mwili (Bioview)
b) Dialogist ----- Smart leader is conversational in nature (Mtu wa mijadala kwa asili)
c) Bihemisphere - Smart leader must be multitasking (Mtu wa kufanya mengi kwa ufanisi)
d) Flexibility --- Smart leader shall not be dormant ( Anafanya yale anayoshauriwa na wengi)
e) Introvert ------Smart leader must be an extrovert Asiwe ni mtu wa kujifikiria yeye
na watu wake (Gangstor) lazima afijirie juu ya wenzake zaidi.

Je ukifanya ”a comparative analysis” Dk Magufuli anasifa gani kati ya hizo? Mimi sitaki Majibu kwa sasa, Tabia hizi mtu anazaliwa nazo na si rahisi kuzibadili au kuziondoa kwa muhusika.
WAZO LA KUUFUTA UPINZANIA WA TANZANIA KABLA YA MWAKA 2020:
Upinzani si mtu flani wala chama flani “ Upinzani ni fikra” Tatizo lake anaamini upinzani ni Freeman Mbowe, Prof Lipumba au Maalimu Seif , Tena Dk Magufuli anaamini eti ataumaliza upinzani hizi ni ndoto tena za mchana kweupe tena huotwa na wapuuzi tu.
Wenye fikra za upinzani wako CCM, JWTZ, TISS, MT, PT, hata Ikulu ya Tanzania wapinzani wako, wako kwenye kila idara ya serikali.
Nawala si ajabu kuna watu wako CHADEMA, CUF ,ACT-Wazalendo ila hawana fikra za Upinzani.
Kwa taarifa tu tangu Dk Magufuli aingie madarakani idadi ya watu wenye mawazo pinzani imeongeza maradufu , Maana yake upinzani umekua Tanzania bara na Visiwani.
Upinzani sio kadi za chama,wala magwanda ya kaki bali ni fikra“Ideology” Mtu anayetaka kuondoa fikra pinzani kamwe hawezi kufanikiwa kwa kumfunga Godbless Lemma (Mb) wala Peter Lijualikali(Mb) wala kwa mzuia Mzee Edward Lowassa kufanya mikutano .


BAJETI YETU (Master Budget) INAWEZA KUENDESHWA KWA PATO LA NDANI:
Bajeti iliyopita ya Dk Magufuli ndio bajeti mbaya tangu kuumbwa kwa Tanzania , Takwimu zinaonesha kati Trioni 29.5 zilizopangwa kutumika kama financial budget ya mwaka 2016/2017 ni asilimia 36.4% ilipatikana huku kwenye maendeleo ni 33% pekee ndio ilitekelezeka huku pato letu likiwa ni Trioni 12.24 sawa na 40.31% pekee.
Cha ajabu tena mwaka huu ametenga kwenye hakuna kiprolata Tsh 31.6 yaani Tr 32, Huku fedha za ndani ikiwa ni zaidi ya Tr 19 kitu ambacho hakipo na hakiwezekani . Huku akiendeleza kuagusha uchumi wetu kwa kukopa ndani zaidi ya tr 6 nakufanya deni la ndani kukaribia Tr 20. Magufuli sioni future ya hii serikali, Hapa najua wanauchumi mtanielewa vizuri.
Lazima tuwapigie magoti wazungu watusaidie na sisi tuimarishe democrasia inchini
.
WATANZANIA WA SASA SI WALE WA ENZI ZA MWL JULIUS NYERERE NA MZEE
MFAUME RASHIDI KAWAWA:

Watanzania hawa si wala wa enzi zile, lazima kama kiongozi usome alama za nyakati , Fanyia kazi mambo haya;
a) Swala la mkuu wa mkoa wa Dar-es saalam
b) Hali ngumu ya maisha kwa wananchi
c) Acha vyama vya siasa vifanye shughuli zao
d) Acha misigano na wazungu


“Msemakweli Mpenzi wa Mungu”
Tanzania is the only county we have
Maneno kuntu.
 
Umeme wa maji ndiyo umeme pekee wenye tija kwa nchi yetu.

Shida ya miradi ya hydro ni kwamba inatumia miaka mingi mno kuijenga, kiasi kwamba utawala unaouanzisha mara nyingi siyo ule utaoufungua. Pia miradi hii inahitaji kila mwaka mwekezaji azamishe hela bila ya kuonekana mafanikio. Kwa serekali kama zetu hizi hili ni tatizo kwani kila mwaka priority zinabadilka.

Solution ni miradi ya hydro ijengwe na sekta binafsi. Lakini huku nako unaktana na tatizo la kuwa mwekezaji wa aina hiyo lazima asite kuthubutu kuzamisha mabilioni ya dollar kwa mradi ambao mwisho wake mteja ni Tanesco. Tanesco hii hii ya maamuzi ambayo hayako balanced na inayoshaft watu iliypingia nayo mikataba (aka bob mazishi). Solution ya pili hapa ni kubinafsisha Tanesco na kutawanya majukumu yanayofanywa na Tanesco katika mafungu matatu;

I. Uzalishaji ufanywe na makampuni mengi binafsi
II. Usafirishaji ufanywe na kampuni moja kubwa
III. Usabazaji ufanywe na makampuni ya kiwilaya, yatayopitishwa na halmashauri husika na kupewa leseni na EWURA.

Nje ya hapo, tutabaki tunacheza na vimiradi vya majenereta ya mafuta na gesi.
 
umeongea ukweli, sema vijana wa team magu watakusurubu

kwanza. umemsema vibaya boss wao hujamsifia
pili. umeeleza mambo magumu kuelewa team lumumba (shemeji zake lipumba)
Team Lumumba Shemeji zake Lipumba,people should know it,very good indeed.
 
Back
Top Bottom